Bogas Tambwe na mambo ya Lancaster. Anabishana na Mvungi. Kweli jamaa full propaganda
wananchi hawakutaka katiba mpya ndo maana wakaichagua ccm. Tambwe
Huyu akili anazo kweli?Tambwe. Wapinzani tu ndo hawaitaki katiba
Ni bosi msaidizi kutoka katika kitengo cha ulopokaji cha ccm.
Katika hilo namuona yuko sahihi. Kama wananchi waliipa ushindi CCM na ishu ya katiba mpya si ajenda yao. It means wananchi hawataki katiba mpya. Wakati mwingine tujilaumu kuwa sisi watanzania ni wajinga. Na ninasema with confidence swala la katiba mpya chini ya CCM halitakuwepo.Yaani ni full Upupu.... eti wananchi wamewachagua CCM kwa kuwa hawataki katiba mpya. Kwamba wangetaka katiba mpya wangechangia CUF, CHADEMA au vyama vingine vilivyokuwa na issue ya kubadili katiba katika Manifesto zao... Yani jamaa kilaza.... mh!