FredKavishe
JF-Expert Member
- Dec 4, 2010
- 1,090
- 318
Kuna John Mnyika, Tambwe Hizza na Dr Mvungi.
Twende kazi
Twende kazi
Jamani mbona tambwe anaendelea kufutuka tu?? Unene wa aina hiyo siyo kawaida kwa mwanaume mwenye majukumu. Anakula nini huyo mlopokaji??
Tambwe Hiza!!Hao itv wametomia kigezo gani kumualika Mtu wa aina hii au swala la KATIBA wanataka kuligeuza kuwa Propoganda?Ndo kazi ya huyu cjawahi kumsikia akiongea point hata 1tu katika maisha yangu.
big up mnyika tuelimishe wananchi huo ni mfano wa vijana wa chama namuona tambwe anadesa kwa mnyika kaegesha tumbo tu na anakaribia kupasuka
si kasha chukua chake mapema
Mropokaji kwelikweli... Sijui hata anazungumzia nini hapa. Naona anajaribu kudefend badala ya kujenga hoja za msingi. Kanenepeana mpaka akili nayo imejaa mafutaJamani mbona tambwe anaendelea kufutuka tu?? Unene wa aina hiyo siyo kawaida kwa mwanaume mwenye majukumu. Anakula nini huyo mlopokaji??
Huyu tambwe sijui tambo anaongea nini?
Tambwe anasema katiba inapatikana kulingana na mahitaji. wapinzani ndo wanaisaka sana katiba
Duuu, basi amechukua mapema share kubwa sana.
kwanza anabore sana hata uzungumzaji wake wakivivu kishenzanamwaga upupu mtupu eti wananchi hawaitaji katiba mpya
Yaani huyu jamaa anakiri kabisa mbele ya watz wote kwamba katiba ilishirikisha wananchi,anauhakika