Profesa
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 905
- 624
Tunashuhudia mabadiliko ya gafla ya MJK kama mtu alieamka usingizini, akianza kurudia ile hali yake ya mwanzo alipoingia madarakani, mwenye nguvu, hoja nzito nzito na kauli zenye matumaini kama kiongozi, mwenye maono na hata kutoa amri tunazozitarajia kwa kiongozi na kuanza hata kujichanganya kwenye sekta nyeti na kuapear kwenye luninga akiwa na mambo mazito tu na mwenye kujiamini. Je Mheshimiwa huyu ambae tayari watu walikuwa wameanza kukata tamaa ndo kazinduka baada ya dozi ya kikombe cha babu? Ni vigumu kuamini ninayoona yuanatokea kaanza gafla kwa spidi ya ajabu... inanishawishi kuwaza kuwa kuna jambo la kiafya ya kipsycholojia, kimwili au hata kiroho iliyokuwa inamsumbua na yawezekana amepata matibabu muafaka. Mimi kama kada wa chama chake wa muda mrefu, huyu ndie mtu niliyuekuwa na mjua hapo mwanzo na kubadilika kwake kipindi hiki kilichopita kilinitia mashaka maana waliokuwa chini yake walianza kufanya mautumbo na hakuna aliyekuwa anawaambia kitu, na kushindwa kupata jibu chama hiki kinaelekea wapi... ingawa tunahitaji muda kujua kwa uhakika chama hiki kilichopoteza umaarufu kwa kiasi kikubwa kina mkakati gani kurudisha imani hasa kwa wasomi na watu waishio mijini....
Mfano ngalia: HabariLeo | Wanafunzi wanaofeli wamkera Kikwete
na Home?
pia Rais Kikwete Atembelea Mamlaka Zilizochini ya Wizara ya Fedha
Nasubiri kwa hamu nione kama hotuba yake ya mwisho wa mwezi itafananaje kama kuna improvements zozote hasa kama itaweza kuwa na solid directives za maana na positions za serikali kwenye maswala nyeti badala ya bables
Mfano ngalia: HabariLeo | Wanafunzi wanaofeli wamkera Kikwete
na Home?
pia Rais Kikwete Atembelea Mamlaka Zilizochini ya Wizara ya Fedha
Nasubiri kwa hamu nione kama hotuba yake ya mwisho wa mwezi itafananaje kama kuna improvements zozote hasa kama itaweza kuwa na solid directives za maana na positions za serikali kwenye maswala nyeti badala ya bables