Kuezeka ndo Kazi coz haina ujanja wa kusema utapaua kidogo kidogo unatakiwa uwe na kesh mkononi
Na kwa mtanzania wa kawaida hawezi kununua kiwanja magomeni ajenge, nazungumzia hata huko periphery (ulikokudharau) bado kuna watu wanakatisha tamaa wenzao. Kumiliki nyumba Kivule it's much better than kupanga Kinondoni, kwa mtazamo wangu.
mbona unamtisha?
Hongera lakini bati umechemka zimeshapitwa na wakati, jeshini kuna connection ya kupata bati za kisasa kwenye duty free shop zao. Halafu usije kufanya kosa lingine ukapiga chupingi hiyo nyumba chupingi imeshapitwa na wakati ukipiga.
Mi nimeweza kwa kujipanga na kipato changu ni kidogo. Vijana tusitishwe na wanaotaja mamilioni ili kujenga nyumba. Hii inakaribia kuisha na sijafikisha hata m 20!
Mi nimeweza kwa kujipanga na kipato changu ni kidogo. Vijana tusitishwe na wanaotaja mamilioni ili kujenga nyumba. Hii inakaribia kuisha na sijafikisha hata m 20!
Narekodi, na naamini haitafika m35, Maana milango na madirisha almost tayari yapo, mambo mengini ya tiles, gypsum na wiring najua mdogo mdogo yatafanyika tu.Kafikia hatua nzuri sana kwasababu wengine hapo wanahamia kabisa..
Naamini utakuwa unarekod hesabu zako kama hutojali ukimaliza tupe hesabu kamili mkuu.
Hiyo mpaka hapo 42m[/QUOTE
Salute