Pelekaroho
JF-Expert Member
- Sep 15, 2010
- 1,599
- 368
kama kweli mh. Pinda ameaamua kustep down, basi na aendelee na msimamo wake, na wala asikubali kuombwa kuendelea kwa namna yoyote, maana bosi wake ni kigeugeu hakawii kukubali kumvusha ngambo ya mafuriko na kisha kumtosa katikati ya maji yenye kasi. Pinda usipindishe maamuzi yako.