Mizizi aina ya dawa na si kila mzizi ni dawa ipo special inategemea unataka umwite mpenzi wako wa zamani au unataka umkamate mpenzi wako asikohoe au unataka mpenzi wako asiende kwa nyumba ndogo sasa kuna dawa za kienyeji aina ya mizizi au miti shamba.
Ni kweli hizo dawa zinafanya kazi au ni Imani tu,maana navyoelewa mimi chochote unachotumia ukiamini kuwa kitakusaidia inakua kama dawa,kwa mfano nikiamini kwa % nyingi kuwa nikitaka kumpata Fidel80 kwa kutumia mbinu fulani ni kweli naweza kumpata,Je sasa na hiyo tunaweza kusema ni dawa(Mizizi)