Mitambo ya Dowans sasa kuwashwa - Waziri Mkuu Pinda

Baada ya kila kitu kukamilika ndipo tutajua la kufanya...watu tupo makini, hawawezi kucheza na rasilimali zetu kiasi hiki...
 
Waziri Mkuu Mizengo Pinda leo ametamka rasmi kuwa TANESCO itaingia mkataba mpya na Dowans wa kuzalisha umeme.

Amesema mitambo ya Dowans itawashwa muda wowote kuanzia sasa licha ya kesi iliyopo mahakamani kuhusu tozo ya ICC.

Akizungumza na waandishi wa habari baada ya kuhutubia mkutano ulioandaliwa na The Economist kwenye hoteli ya Kempinski jijini Dar es Salaam, Pinda alisema kuwa ni vyema SONGAS au kampuni nyingine binafsi inakununua mitambo ya Dowans siku zijazo ili iendelee kuzalisha umeme nchini.

Alisema hivi sasa kuna upungufu wa 160MW kwenye gridi, hivyo 100MW ya Dowans ingesaidia kupunguza makali ya mgao.

Pinda alisema serikali kununua mitambo ya Dowans imeleta maneno mengi kuwa haiwezekani serikali ikanunua mitambo iliyotumika, hivyo ameona suluhisho ni kwa SONGAS au mfanyabiashara mwingine mkubwa anunue mitambo ya Dowans na aingie kwenye mkataba wa muda mrefu na TANESCO wa kuzalisha umeme.

Tayari Baraza la Mawaziri limetoa kibali kwa TANESCO kuingia mikataba ya kukodi umeme kama ya Richmond/Dowans ili kupata 260MW.

Sasa hivi inasubiriwa bodi ya wakurugenzi ya TANESCO itoe tamko rasmi kuwa serikali itaingia mkataba mpya na DOwans.

Kweli mafisadi wa Dowans wataendelea kupora pesa za wavuja jasho wa Tanzania!

Gesi haitoshi na hii ni kwa sababu mitambo ya kuzalishia, kusafishia na kusafirishia gesi hiyo ni midogo kuzidi mahitaji ya sasa. Kwa maana hiyo kwa sasa hakuna gesi itakayoweza kuendesha mitambo mingine ya umeme zaidi ya hii iliyopo sasa. Wanasiasa wamelisahau hili.
 
ISIDINGO INAENDELEA, HATA IPTL NI WALE WALE, IPTL NAYO ILIKUJA KUFUNIKA TATIZO LA UMEME KWA STAHILI SAWA NA DOWANS. (IPTL SAGA)BONGORADIO :: View topic - IPTL SAGA AND CORRUPTION IN TANZANIA. MTOTO WA KIKE MUUZA MAEMBE KWENYE SAHANI YENYE THAMANI YA SHILINGI 1000/=ASIYE NA UHAKIKA WA CHAKULA NYUMBANI ANAPEWA ELFU KUMI NA LIZEE LIKICHUKUA MAEMBE NA MUUZA MAEMBE. KUNA HUTU HAPA??? HIVI KWELI WATANZANIA WOTE AKILI ZETU ZIMEISHIA HAPA. INATISHA , INASIKITISHA NA INA AIBISHA. SOMA KAKIPANDE KADOGO , ZIADA NENDA KWENYE BONGO REDIO.

How this project was hatched, resisted, and eventually commissioned is the subject of this chapter.

Chronology of Main Events
1994
Drought leads to power shortages as hydro catchment areas run dry. State power utility Tanesco invites emergency solutions, eventually settling for two turbines financed by foreign aid.

1994
Joint venture set up between Mechmar Corporation of Malaysia (70%) and VIPEM of Tanzania (30%) known as Independent Power Tanzania Ltd (IPTL)

August 1994
IPTL sign a Memorandum of Understanding to provide electricity under an Independent Power Project arrangement as a ‘fast track’ measure, but a ‘medium to long term solution’ is proposed in November.

Nov 1994 – June 1995
IPTL starts negotiations with Tanesco through KTA Tenaga Sdn Bhd (Malaysia-engineering), Fieldstone Private Capital Group (USA-finance), and Long and Co. and Clyde and Co. (UK-legal affairs)

May - June 1995
IPTL and Tanesco sign a 20 year Power Purchasing Agreement (PPA) to build and run a 100 megawatt slow-speed diesel (SSD) power plant at Tegeta, Dar es Salaam at a cost of $163.5 million, including an Engineering Procurement and Construction contract (EPC) price of $126.39, and with a ‘reference tariff’ of $4.2 million per month plus 3.25 US cents per kWh of electricity actually produced. The final tariff will depend on actual costs incurred.

February 1995 - January 1996
Without informing Tanesco, IPTL negotiates with Wärtsila to build a cheaper medium-speed diesel (MSD) plant. Wärtsilä’s EPC bid increases by 33%, from $85.7 million to $114.2 million, even though the scope of the project falls considerably.

February 1997
EPC contract signed.

May 1997
Mechmar/IPTL obtain $105 million loan from Sime Bank and Bank Bumiputra.

September 1997
Tanesco requests full documentation on actual costs incurred in order to negotiate final power purchase tariffs. IPTL produces the EPC at the end of February 1998.

April 1998
Tanesco issues Notice of Default to IPTL for unilateral substitution of MSD facility.

April-October 1998
Tanesco attempts unsuccessfully to negotiate a lower tariff reflecting the ‘actual, verifiable and prudently incurred cost’ to IPTL of building an MSD plant — as opposed to the contracted SSD plant.

November 1998
Tanesco requests arbitration before the International Centre for the Settlement of Investment Disputes (ICSID) after IPTL fails to justify cost structure and payments, including $6.4 million payments to Omni Technical Management Establishment and Prime Consolidated Establishment.

November 1999
IPTL takes Tanesco to court, claiming interim payments of $3.6 million a month. IPTL wins the case in March 1999, but execution of the ruling is stayed pending Tanesco’s appeal.

May 2000
Two Tanzanian officials sign affidavits claiming they were offered bribes by IPTL director James Rugemalira. A third admits accepting a bribe.

February 2001
ISCID finds that IPTL was overpriced by $23.5 million but that the contract still stands since TANESCO was aware of the switch from SSD to MSD.

July 2001
Minister for Energy and Minerals announces that IPTL will start generating 100MW of electricity in October 2001, and that the SONGAS natural gas project will start in September.

January 15 2002
IPTL starts supplying power to the national grid for 13 US cents per unit.

March 1 2002
VIPEM petitions the Tanzanian High Court to wind up IPTL.

Dar es Salaam, 6 October 1997
Board members of the local chapter of Transparency International (TI) meet with Robert McNamara and Ahmedou Ould-Abdallah, respectively Co-Chairman and Executive Secretary of the Washington-based Global Coalition for Africa (GCA). GCA is a high-level policy forum linking African governments, their northern partners, and non-government groups working on African development issues. Michael Wiehen, former World Bank director and founder member of Transparency International, is the third member of the team. Their mission is to lobby selected African presidents, including Tanzania’s Benjamin Mkapa, to endorse a major anti-corruption statement and a practical initiative in cleaning up public procurement championed by TI. Mkapa, who became Tanzania’s third post-independence president in October 1995, ran on an anti-corruption ticket and in December 1996 published the report of the anti-corruption commission that he set up on coming to power.

The former Mauritanian diplomat and senior UN official, Ould-Abdallah, expresses surprise at the extent of official corruption in Tanzania and the apparent impunity of the corrupt. ‘Even in my country, they would not have such an easy time of it!’ he tells us with feeling. (People are questioning whether Mkapa has the power or the will to deal decisively with corruption, including those named in the commission’s report. No senior official has been jailed for corruption to date).

It is McNamara’s turn to speak. Already in his eighties, the former president of the Ford Motor Company, US Secretary of Defense during the Vietnam war, and president of the World Bank from 1968 to 1981, is still driven by an obsessive sense of personal mission.

‘Have you people heard of this Malaysian power project?’ he asks without ceremony. ‘I saw things like this when I was President of the Bank! This stinks of grand corruption!’ He stabs the air with his right index finger. ‘I’m going to talk about this at the press conference tomorrow!’ We agree to monitor the IPTL project and to keep GCA informed of developments. The same day I start to find out more about this ‘Malaysian’ power project.

About twenty-five journalists turn up at the press conference the following morning, including Nizar Fazal, bookkeeper turned investigative journalist, and fearless anti-corruption campaigner. McNamara fulminates about ‘this power project’ that will inflate electricity prices if it goes ahead, but stops short of naming IPTL. Fazal asks, somewhat tongue in cheek, whether the UN could not deploy a mobile military unit to help reinstate African presidents who are overthrown for attempting to fight corruption. McNamara replies that he does not think Tanzania has yet reached this point.
 
Kuwasha mitambo ya Downs ni sawasawa na Mkeo kufile kesi ya divorce mahakamani halafu anaendelea kulala na mumewe kabla kesi haijawa finalised

Mkuu Zero; Umesomeka!!

Na sisitiza kuwa MAADILI NA UADILIFU KAZINI vitangulie faida nyingine yeyote.

Ikiwa ni lazima mkeo adhalilishwe ili apone ugonjwa sugu au vinginevyo afariki dunia unachagua nini?

Lets not be cheap ...we should stay noble ..whatever the case!!

If it takes we have to stay in darkness let it be so!!!
 
Watanzania hatujajua hatma ya deni la dowans mpaka sasa!mh pinda anatangaza serikali kuingia mkataba mwingine na dowams haaa!hi si sawa na kula matapishi uliyo yatapika
 
Haya... mi yangu macho nasubiri hiyo movie script waanze tena kuibadili, maana starring anabadilika kila wakati na storyline inabadilika lakini ukweli unabaki pale pale.... Dowans ni kampuni ya kitapeli iliyojichomekeza katika makubaliano ya Richmond na Tanesco kitapeli.... haya mengine ni geresha tu...
Mi nasema wawashe tu maana wanatingisha kibiriti....
 
kuhusu ule mzigo ndo wamesamehe au?du kama bado wanatudai kweli sisi shamba la bibi kwani ule mzigo c watosha kuagiza kamtambo kapya/WADAU HEBU NI JUZENI

mkuu swala hapa ni kulipa deni tu ukitaka kujua kama ule mzigo unafaa kununua mtambo mungine waulize UWT, Mkurugenzi wa takukuru na mwanasheria mkuu wao wanajua
 
Tatizo watanzania mnapenda majibu rahisi kwa maswali magumu.
Kwani hayo maji mtera yameanza leo kukauka? Sasa ilishindikana nini kutafuta suluhisho la kudumu muda wote huo? Kila siku dharura?
Huo mkataba mnaushabikia mnajua una nini?
Jamani hii nchi inachosha!

Ila cha moto tutakiona!
 
Waziri Mkuu Mizengo Pinda leo ametamka rasmi kuwa TANESCO itaingia mkataba mpya na Dowans wa kuzalisha umeme.

Amesema mitambo ya Dowans itawashwa muda wowote kuanzia sasa licha ya kesi iliyopo mahakamani kuhusu tozo ya ICC.

Akizungumza na waandishi wa habari baada ya kuhutubia mkutano ulioandaliwa na The Economist kwenye hoteli ya Kempinski jijini Dar es Salaam, Pinda alisema kuwa ni vyema SONGAS au kampuni nyingine binafsi inakununua mitambo ya Dowans siku zijazo ili iendelee kuzalisha umeme nchini.

Alisema hivi sasa kuna upungufu wa 160MW kwenye gridi, hivyo 100MW ya Dowans ingesaidia kupunguza makali ya mgao.

Pinda alisema serikali kununua mitambo ya Dowans imeleta maneno mengi kuwa haiwezekani serikali ikanunua mitambo iliyotumika, hivyo ameona suluhisho ni kwa SONGAS au mfanyabiashara mwingine mkubwa anunue mitambo ya Dowans na aingie kwenye mkataba wa muda mrefu na TANESCO wa kuzalisha umeme.

Tayari Baraza la Mawaziri limetoa kibali kwa TANESCO kuingia mikataba ya kukodi umeme kama ya Richmond/Dowans ili kupata 260MW.

Sasa hivi inasubiriwa bodi ya wakurugenzi ya TANESCO itoe tamko rasmi kuwa serikali itaingia mkataba mpya na DOwans.

Kweli mafisadi wa Dowans wataendelea kupora pesa za wavuja jasho wa Tanzania!
Yaliyotokea Misri,Tunisia na Libya sio bahati mbaya! Na walioandama ni binadamu kama sisi, ila tunazidiana uvumilivu tu!
 
duu mitambo kuwashwa???hivi hawa viongozi wetu wameletwa na nani???JAMANI NISIDIENI JE HUU SI UTAWALA WA SHETANI??????


Kweli wahenga walisha sema sikio la kufa halisikki dawa, pamoja na mambo yote yanayo tokea tunisia, libya, misri, nk, bado hapa tanzania kuna viongozi wenye jeuri hivi na kudharau wananchi.Maana hata kama ni tamaa ya kujilimbikizia mali hamuoni za wenzenu zinavyo kuwa freezed, tumieni basi hata busara kidogo wakati mnataka kujilimbikizia hizo mali, hebu jaribuni kumuuliza khadaffi na mubaraka leo ni vipi wana amani moinyoni mwao wanapofaidi matunda ya matendo na mali walijichumia kwa dhuluma, tena kuwadhulumu wananchi maskini.
 
Nilisema kule nyuma, na ninasema tena, sio tuu tumeingia mkataba mpya, hata deni tutalipa!.

Huu ni ushindi mnono kwa mafisadi. Inasikitisha sana! Pinda alishasema hawa watu ni hatari, na kweli tunaona.
Wamefanikiwa kumweka Makinda, then January na agenda zao sasa zinasonga mbele. Wamefanikiwa kuliondoa suala hili katika baraza la mawaziri kuwakwepa wapambanaji na kutwika mzigo TANESCO, Wamefanikiwa.
Wamemleta Tapeli ili kuficha mmiliki halisi,wamefanikiwa.
RA alikana kuijua Dowans na Al adawi alikana kuijua Dowans, leo wameweza kuiteka serikali na kuifanya ikubaliane na kila wanachosema, serikali ifanye kama wanavyotaka tena kwa masharti yao. Tunajua Dowans ni zao haramu la Richmond, kuingia nao mkataba ni kukana mimba na kukubali mtoto. Nchi ina wenyewe sisi wananchi tuna bendera, pesa inanunua kila kitu, next ni mnada wa roho zetu.
Kwa hili la Dowans ninahakika hata shetani anaona aibu akilisikia.
so sad.
 
huna kitu kaka, yaelekea una undugu na makamba january

Kama kweli nyie wazalendo basi mjue kuna zaidi ya Dowans inanitia shaka nadhani kuna kitu kwenye hii Dowans ndio maana ikitajwa wote mnaruka uwiiiii, jamani tumevamiwa na longo longo jingiiiii hamjengi haja za msingi kwanini Dowans isiwasheshwe. Pengine hamfahamu kuwa IPTL yenye mkataba wa miaka 20 ndio ni kampuni ya kufua umeme ghali maradufu ya Dowans mbona yenyewe mmeinyamazia? au yenyewe haikuingia mkataba na tenesco kwa kutumia hila? Sisi wananchi lazima tuwe na upeo wa kujiuliza mambo tusikurupushwe na wanasiasa kisha tukawa tunaitikia viitikio vyao.

Umeme wa Dowans lazima uwashwe ili kuwapunguzia makali wananchi! utasaidia kuongeza production viwandani! sioni tatizo la kuwashwa mitambo ya Dowans ikiwa maslahi ya taifa yataangaliwa upya katika huo mkataba mpya. Sitapenda kulalama na kuropoka mpaka pale nitakapojua IPTL, AGGREKO na SONGAS WASAFI kiasi gani.......

My take.

Tuache ushabiki wa kishamba tuchambue hoja ili kujenga hoja...............
 
Huu ni ushindi mnono kwa mafisadi. Inasikitisha sana! Pinda alishasema hawa watu ni hatari, na kweli tunaona.
Wamefanikiwa kumweka Makinda, then January na agenda zao sasa zinasonga mbele. Wamefanikiwa kuliondoa suala hili katika baraza la mawaziri kuwakwepa wapambanaji na kutwika mzigo TANESCO, Wamefanikiwa.
Wamemleta Tapeli ili kuficha mmiliki halisi,wamefanikiwa.
RA alikana kuijua Dowans na Al adawi alikana kuijua Dowans, leo wameweza kuiteka serikali na kuifanya ikubaliane na kila wanachosema, serikali ifanye kama wanavyotaka tena kwa masharti yao. Tunajua Dowans ni zao haramu la Richmond, kuingia nao mkataba ni kukana mimba na kukubali mtoto. Nchi ina wenyewe sisi wananchi tuna bendera, pesa inanunua kila kitu, next ni mnada wa roho zetu.
Kwa hili la Dowans ninahakika hata shetani anaona aibu akilisikia.
so sad.
sina la kuongeza
 
duh,nimekukubali kaka hii sikujua unajua humu kuna magreat thinker lakni sio.mi mgeni humu ila nishajua kuna jamaa humu wana lao jambo tu na sivingine na wengi wako majuu yani oovyo hasa

Tena hao wanaoishi majuu ndio hovyo kabisa mie siwaelewi eti tatizo lao ni nani mmiliki wa Dowans kwanini hawataki kujua wamilikiwa wa IPTL, Songas, Aggreko na Tanpower? Ukiwauliza kwanini Dowans wanatutoza capacity charge mil 152 na IPTL mil 300 halafu tunataka kumjua mwenye 5owans hatutaki kumfahamu IPTL mwenye mkataba wa miaka 20 wataikwepa hiyo hoja! Agrrrrr nimechoka kama u great thinker wenyewe ndio uko hivi!
 
Mliwalipa bili yamiezi tisa ya umeme?(24mil $),kwanini tuwe na mgao wakati mashine zipo?...tukubali hatuna jinsi,washa jenereta achana na wapiga kelele!
 
duh,nimekukubali kaka hii sikujua unajua humu kuna magreat thinker lakni sio.mi mgeni humu ila nishajua kuna jamaa humu wana lao jambo tu na sivingine na wengi wako majuu yani oovyo hasa

Tena hao wanaoishi majuu ndio hovyo kabisa mie siwaelewi eti tatizo lao ni nani mmiliki wa Dowans kwanini hawataki kujua wamilikiwa wa IPTL, Songas, Aggreko na Tanpower? Ukiwauliza kwanini Dowans wanatutoza capacity charge mil 152 na IPTL mil 300 halafu tunataka kumjua mwenye 5owans hatutaki kumfahamu IPTL mwenye mkataba wa miaka 20 wataikwepa hiyo hoja! Agrrrrr nimechoka kama u great thinker wenyewe ndio uko hivi!
 
watanzania tunatakiwa tubadillike tuwe kama wenzetu wa Mozambique ambao waliandamana kwa bei ya mkate kupanda. Maneno peke yake hayatoshi '' action people!
 
Back
Top Bottom