Miss World 2008

Yo Yo

JF-Expert Member
May 31, 2008
11,217
1,702
Hii kitu imeshaisha? huwa siangalii kwa saana sababu vipaja vya washiriki ni aibu...anyway nani kashinda? Nasreen vipi, kama kawaida wabongo ni vichwa vya wendawazimu?
 
Asante YO YO kwa kutustua. Binafsi nilijisahau kuwa mambo ni leo. Ngoja sasa niingie duniani kufuatilia.
 
Na demu wetu je? Hata kumi bora hakunusa!? Tuhabarishe.
 
Miss World 2008 Winners and Results

Miss World 2008: Miss Russia
1st Runner-up: Miss India
2nd Runner-up: Miss Trinidad and Tobago

Five Finalists
Miss India
Miss Trinidad and Tobago
Miss Angola
Miss Russia
Miss South Africa

Fifteen Semi-Finalists

Miss Russia, Miss Mexico, Miss Barbados, Miss Trinidad and Tobago, Miss Iceland, Miss Venezuela, Miss Ukraine, Miss Croatia, Miss Brazil, Miss Angola, Miss Kazakhstan, Miss Puerto Rico, Miss Spain, Miss South Africa, Miss India
 
Russian crowned Miss World winner

Je kuna haja ya kuwa na independent agency ya kusimamia haya mashindano ya sanaa na vipaji hapa Tanzania? Manake naona kama kamati ya Ms. Tanzania is under serious doubt! kama hipo kwa ajili ya kwakuza na kuwalea dada na mabinti zetu kwa manufaa ya umma. Naomba kuwakilisha hoja


Kseniya Sukhinova from Russia competed against 107 contestants
Russian contestant Kseniya Sukhinova has won the Miss World 2008 competition at a ceremony in South Africa.

Trindad and Tobago's Gabrielle Walcott was second runner-up and India's Parvathay Omanakuttan was first runner-up, from among 109 contestants.

Millions of people were expected to watch the annual pageant, being held in Johannesburg.

It was the sixth time that South Africa has held the event, more than any other country.

South Africa organisers were said to be keen to calm concerns about the country's ability to host the 2010 FIFA World Cup.

For this first time in the competition's history, viewers in 180 countries had the opportunity to vote for one of the semi-finalists through the internet.

An international jury decided the winner.

Miss Sukhinova is from Siberia, studying for an engineering degree.
BBC NEWS | Africa | Russian crowned Miss World winner
 
Russian crowned Miss World winner

Je kuna haja ya kuwa na independent agency ya kusimamia haya mashindano ya sanaa na vipaji hapa Tanzania? Manake naona kama kamati ya Ms. Tanzania is under serious doubt! kama hipo kwa ajili ya kwakuza na kuwalea dada na mabinti zetu kwa manufaa ya umma. Naomba kuwakilisha hoja


Kseniya Sukhinova from Russia competed against 107 contestants
Russian contestant Kseniya Sukhinova has won the Miss World 2008 competition at a ceremony in South Africa.

Trindad and Tobago's Gabrielle Walcott was second runner-up and India's Parvathay Omanakuttan was first runner-up, from among 109 contestants.

Millions of people were expected to watch the annual pageant, being held in Johannesburg.

It was the sixth time that South Africa has held the event, more than any other country.

South Africa organisers were said to be keen to calm concerns about the country's ability to host the 2010 FIFA World Cup.

For this first time in the competition's history, viewers in 180 countries had the opportunity to vote for one of the semi-finalists through the internet.

An international jury decided the winner.

Miss Sukhinova is from Siberia, studying for an engineering degree.
BBC NEWS | Africa | Russian crowned Miss World winner

TUnahitaji coach kutoka Venuzeula sasa. Maana mabinti zetu wazuri sana na wana mvuto mkubwa sana. Popote Duniani. Tatizo ushamba na uigizaji. Hatuwezi pata Mvenezuela mmoja ku-coach namna ya kuacha kushangaa bila sababu?
 
hheheh kip on dreamin guys n kupiga kelele kama kawa...
hiyo ndo tz yetu n it wil neva change 4 a meanwhile...labda tu wenye kushika mpini wapoteee wooote kwa mpigo!
tulishaambiwa hiyo kitu ni mali ya hao kina lundenga na patel kwa bongo,so stay tuned msubirie kusikia ya mwaka 2009 yafanyika wapi na kiingilio bei gani
 
Nafikiri wakina dada wa kiTz wenye qualities za miss world hawana interest ya hiyo michuano. Huyu tuliyemtuma mwaka huu amesema " my interest is to become a medical officer, i am studying international relations" hivyo vitu viwili vinauhusiano gani? simsingizii nimesikia kwenye website ya ms world. Wanakremishwaga au ni software tu mbovu? kyeleeuhwi eh! Si waongeage tu ki swahili? mbona wengine wanastick to mother tongue zao?
 
Nafikiri wakina dada wa kiTz wenye qualities za miss world hawana interest ya hiyo michuano. Huyu tuliyemtuma mwaka huu amesema " my interest is to become a medical officer, i am studying international relations" hivyo vitu viwili vinauhusiano gani? simsingizii nimesikia kwenye website ya ms world. Wanakremishwaga au ni software tu mbovu? kyeleeuhwi eh! Si waongeage tu ki swahili? mbona wengine wanastick to mother tongue zao?

Nadhani sekta hii nayo yahitaji 'MARCIO MAXIMO' wa warembo kutoka Venezuela,mbona Taifa Stars kwa kupitia MAXIMO wameweza kwenda CHAN
 
Lundega et al kazi yake ni kupiga mikasi warembo wetu na kufanya ukwawadi kwa wakwale wa ngono Tanzania. Ulitegemea nini?
 
Nadhani sekta hii nayo yahitaji 'MARCIO MAXIMO' wa warembo kutoka Venezuela,mbona Taifa Stars kwa kupitia MAXIMO wameweza kwenda CHAN

Balantanda nahisi Lundenga atakuwa amekusikia.. au JK yuko tayari kumlipa huyo nguli wa walimbwede.
 
Miss World 2008 Winners and Results

Miss World 2008: Miss Russia
1st Runner-up: Miss India
2nd Runner-up: Miss Trinidad and Tobago

Five Finalists
Miss India
Miss Trinidad and Tobago
Miss Angola
Miss Russia
Miss South Africa

Fifteen Semi-Finalists

Miss Russia, Miss Mexico, Miss Barbados, Miss Trinidad and Tobago, Miss Iceland, Miss Venezuela, Miss Ukraine, Miss Croatia, Miss Brazil, Miss Angola, Miss Kazakhstan, Miss Puerto Rico, Miss Spain, Miss South Africa, Miss India

m stil tryin kusoma mara mbili mbili kuhakikisha kuwa tanzania yetu haimo jamaniiiii??nisaidieni maana yawezekana uzee wanijia vibaya!

mhm na sasa tutaambiwa visingizio gani?cd haikutumwa?au mshiriki alichelewa kwenda?
 
Lundega et al kazi yake ni kupiga mikasi warembo wetu na kufanya ukwawadi kwa wakwale wa ngono Tanzania. Ulitegemea nini?

Ushirombo unakaushahidi ukatupe hapa forum au ndo mambo ya 'gametheories' na abstract allegation?
 
Nafikiri wakina dada wa kiTz wenye qualities za miss world hawana interest ya hiyo michuano. Huyu tuliyemtuma mwaka huu amesema " my interest is to become a medical officer, i am studying international relations" hivyo vitu viwili vinauhusiano gani? simsingizii nimesikia kwenye website ya ms world. Wanakremishwaga au ni software tu mbovu? kyeleeuhwi eh! Si waongeage tu ki swahili? mbona wengine wanastick to mother tongue zao?

Nkamangi, wenyewe wanasema kwamba 'yai' deal! wajifunze kwa wenzao wa russia na America ya Kusini. Lundenga, angekuwa mzalendo wa kweli angeshawafundisha na kupiga chepuo kuakikisha kwamba lugha ya taifa letu ' Kiswahili' inakuwa sehemu ya lugha za mashindano.
 
Balantanda nahisi Lundenga atakuwa amekusikia.. au JK yuko tayari kumlipa huyo nguli wa walimbwede.


Mkuu,
Jk asije akapita hapa akakusikia ,atapata sababu ya kuruka viwanja,na ukichanganya tena anavyopenda totoz,aisee usitutafutie balaa.
 
Ushirombo unakaushahidi ukatupe hapa forum au ndo mambo ya 'gametheories' na abstract allegation?

Mkulu nadhani umetoka Bongo muda mrefu!! Hii kitu ipo wazi, wakati wa kambi za mammiss wee tembelea uone magari yanavyopishana, na vimwana wanavyoruka mna mabazazi. Ukitaka miss yeyote wee longa na Lundenga atakupa namba na yeye akuambia muwezeshe miss mavazi etc na yeye lazima umpoze....
 
Mkuu,
Jk asije akapita hapa akakusikia ,atapata sababu ya kuruka viwanja,na ukichanganya tena anavyopenda totoz,aisee usitutafutie balaa.

Mkuu Ben, trip ya safari hii America ya Kusini , kituo Rio de Jeneiro kisha huyo kwa Hugo Chavez !
 
Mkulu nadhani umetoka Bongo muda mrefu!! Hii kitu ipo wazi, wakati wa kambi za mammiss wee tembelea uone magari yanavyopishana, na vimwana wanavyoruka mna mabazazi. Ukitaka miss yeyote wee longa na Lundenga atakupa namba na yeye akuambia muwezeshe miss mavazi etc na yeye lazima umpoze....

Duh Kazi kweli kweli... kwa hiyo wanaku'Rod Blagojevich' !!
 
Back
Top Bottom