Arabela
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 3,127
- 2,227
Jaman wapendwa napenda kuchukua fursa hii kuwashkuru wote walionipigia kura na wasionipigia na my campaign managers Slave, zubedayo_mchuzi, Baba V, @st.paka mweusi, Kipipi na figganigga kufanikisha kuwa mshindi no.2. Pia nimshukuru Ruhazwe JR kwa kuratibu zoezi zima pamoja na kuwasilisha zawadi kwa uongozi wa jf. Pia salam zangu za dhati ziende kwa uongozi wa jf kwa kuongeza kiasi cha pesa kwenye zawadi zetu na kuziwasilisha kwetu. Pia pongezi kwa washiriki wenzangu. Nawapenda wote and may Jf live long
Last edited by a moderator: