Misri kujenga Bwawa la Umeme wa Stieglers: Serikali itupe msimamo tumesimamia wapi kuhusu mgogoro wetu na Misri juu ya haki ya maji ya ziwa Victoria

Missile of the Nation

JF-Expert Member
May 24, 2018
13,504
51,099
Kwa miaka mingi Misri imekuwa ikidai kuwa ina haki ya kuingilia matumizi ya maji ya ziwa Victoria kwa nchi ambazo zipo katika chanzo cha ziwa hilo, hii ni kutokana na mkataba wa kikoloni ambao Misri iliingia na Waingereza na kuwapa haki kubwa sana ya maji yatiririkayo kwenda katika nchi ambayo yatokayo huku Afrika mashariki na Ethiopia.

Kwa miaka mingi Misri imekuwa ikifanya figisu kila mara tulipokuwa tukionyesha jitihada za kuyatumia maji ya ziwa victoria kwa kiwango kikubwa kujinyanyua.
Jitihada zetu za kuushinda ubabe huu wa misri zilitupelekea kuunnganisha nguvu na nchi za Ukanda huu wa Afrika mashariki kutangaza kwamba hatukubali madai ya Misri.
Katika Ukanda huu sisi ndiyo wakubwa zaidi kieneo, na kwa idadi ya watu na pia kwa asilimia za umiliki wa ziwa victoria

  • Swali ninalojiuliza na ningependa kufahamu je Wamisri kutujengea Stieglers kumeambatana na sisi kuwapa Concenssions zozote juu ya haki ya maji ya ziwa victoria?

  • Je kwa Msaada huu wa kujengewa Stieglers, uwezo wetu wa kidiplomasia wa kuongoza nguvu na Juhudi za kuukataa mkataba wa kikoloni uliowapa wamisri haki juu ya Ziwa victoria utakuwaje?

  • Yameshatolewa madai mbalimbali humu JF kuwa Misri inawapa kitu kidogo baadhi ya watu potential ili kukwamisha juhudi zetu za kuclaim haki ya kutumia maji ya ziwa victoria , je serikali inatuleza nini?
  • Hiyo habari ipo hapa: Kuna viongozi wanaolipwa na serikali ya Misri ili tusitumie maji ya ziwa Victoria - JamiiForums

Kwa sasa nchi yetu imepambwa na maji kila kona lakini yana mgogoro, Ziwa Victoria hatuna uhuru nalo ipasavyo, Ziwa Nyasa tuna mgogoro na Malawi, Kule baharini tuombee Muungano udumu maana ukilegea Wazanzibari watadai bahari kuu. Tukichezea urithi wa Maji tutajikuta sisi ni watu tuliozunguukwa na maji lakini yana wenyewe

WIZARA YA MAMBO YA NJE TUNAOMBA MAJIBU!
TUELEZENI, JE DIPLOMASIA YETU JUU YA KUTETEA RASILIMALI ZIWA VICTORIA IMESIMAMIA WAPI BAADA YA WALE TUNAOGOMBANA NAO KATIKA HILO SUALA YAANI WAMISRI KUTUSAIDIA KWENYE STIEGLERS?
 
Misri ni ndugu zetu ndio maana mradi huu hatukuufanya kwenye mto kagera unaotiririsha maji kuelekea misri sababu ndugu zetu wa misri wangekosa maji japo kuwa wananchi wa kagera hawana umeme. Hii inaonyesha ni namna gani tumewapenda.makofi yalitiririka haswa ya maofisa wa misri

-JPM
 
Jiandae kuuzwa mzee.
Tunarudi enzi zileeeeeee 1900s

Kama wanasheria wetu wameingia mkataba na wamisri kama mikataba ile ya madini, basi ni disaster rafiki yangu!. usije ukakuta kwenye mkataba kuna sentensi inayotutaka tutambue haki zote za Wamisri juu ya ziwa victoria, na wanasheria wetu walivyo wavivu wa kusoma wakaoverlook kitu kama hicho!
 
Misri ni ndugu zetu ndio maana mradi huu hatukuufanya kwenye mto kagera unaotiririsha maji kuelekea misri sababu ndugu zetu wa misri wangekosa maji japo kuwa wananchi wa kagera hawana umeme. Hii inaonyesha ni namna gani tumewapenda.makofi yalitiririka haswa ya maofisa wa misri

-JPM
Unafahamu nini Kuhusu Rusumo?
 
Pamoja na mengi uliyoyaandika nimeona hapo uliposema..." au kwa kujengwa kwa MSAADA hiki bwawa la Stieglers Gorge..."
Fahamu kuwa hili bwawa halijengwi kwa MSAADA..inasemekana/tetesi vyombo cha habari vya Misri leo vimeripoti kwamba ni mkopo kutoka Benki za huko kwao ukidhaminiwa na serikali yao.
 
Kama wanasheria wetu wameingia mkataba na wamisri kama mikataba ile ya madini, basi ni disaster rafiki yangu!. usije ukakuta kwenye mkataba kuna sentensi inayotutaka tutambue haki zote za Wamisri juu ya ziwa victoria, na wanasheria wetu walivyo wavivu wa kusoma wakaoverlook kitu kama hicho!
Kama bado una imani na hawa wanaojiita wasomi mzee UTAUMIA, hawa ndio MAWAKALA wa kutupeleka UTUMWANI au KUZIMU.
 
Pamoja na mengi uliyoyaandika nimeona hapo uliposema..." au kwa kujengwa kwa MSAADA hiki bwawa la Stieglers Gorge..."
Fahamu kuwa hili bwawa halijengwi kwa MSAADA..inasemekana/tetesi vyombo cha habari vya Misri leo vimeripoti kwamba ni mkopo kutoka Benki za huko kwao ukidhaminiwa na serikali yao.

Anayekudhamini ili ukopeshwe amekusaidia kwa namna moja au nyingine!

Mimi na wewe hatujui makubaliano ya hiyo dhamana kati ya serikali yetu na Misri ni nini, usije ukakuta sharti ni sisi kugive up madai yetu ya haki ya kutumia maji ya ziwa victoria kadri tunavyohitaji!
 
Kwa miaka mingi Misri imekuwa ikidai kuwa ina haki ya kuingilia matumizi ya maji ya ziwa Victoria kwa nchi ambazo zipo katika chanzo cha ziwa hilo, hii ni kutokana na mkataba wa kikoloni ambao Misri iliingia na Waingereza na kuwapa haki kubwa sana ya maji yatiririkayo kwenda katika nchi ambayo yatokayo huku Afrika mashariki na Ethiopia.

Kwa miaka mingi Misri imekuwa ikifanya figisu kila mara tulipokuwa tukionyesha jitihada za kuyatumia maji ya ziwa victoria kwa kiwango kikubwa kujinyanyua.
Jitihada zetu za kuushinda ubabe huu wa misri zilitupelekea kuunnganisha nguvu na nchi za Ukanda huu wa Afrika mashariki kutangaza kwamba hatukubali madai ya Misri.
Katika Ukanda huu sisi ndiyo wakubwa zaidi kieneo, na kwa idadi ya watu na pia kwa asilimia za umiliki wa ziwa victoria

  • Swali ninalojiuliza na ningependa kufahamu je Wamisri kutujengea Stieglers kumeambatana na sisi kuwapa Concenssions zozote juu ya haki ya maji ya ziwa victoria?

  • Je kwa Msaada huu wa kujengewa Stieglers, uwezo wetu wa kidiplomasia wa kuongoza nguvu na Juhudi za kuukataa mkataba wa kikoloni uliowapa wamisri haki juu ya Ziwa victoria utakuwaje?

  • Yameshatolewa madai mbalimbali humu JF kuwa Misri inawapa kitu kidogo baadhi ya watu potential ili kukwamisha juhudi zetu za kuclaim haki ya kutumia maji ya ziwa victoria , je serikali inatuleza nini?
  • Hiyo habari ipo hapa: Kuna viongozi wanaolipwa na serikali ya Misri ili tusitumie maji ya ziwa Victoria - JamiiForums

Kwa sasa nchi yetu imepambwa na maji kila kona lakini yana mgogoro, Ziwa Victoria hatuna uhuru nalo ipasavyo, Ziwa Nyasa tuna mgogoro, Kule baharini tuombee Muungano udumu maana ukilegea Wazanzibari watadai bahari kuu. Tukichezea urithi wa Maji tutajikuta sisi ni watu tuliozunguukwa na maji lakini yana wenyewe

WIZARA YA MAMBO YA NJE TUNAOMBA MAJIBU!
TUELEZENI, JE DIPLOMASIA YETU JUU YA KUTETEA RASILIMALI ZIWA VICTORIA IMESIMAMIA WAPI BAADA YA WALE TUNAOGOMBANA NAO KATIKA HILO SUALA YAANI WAMISRI KUTUSAIDIA KWENYE STIEGLERS?
walitangaza tenda, wakajitokeza watu wengi, lakini hao wameshinda. hivyo hawajengi kwa msaada au kwa makubaliano juu ya ziwa victoria waters, isipokuwa nafikiri kama serikali ilivyofanya kwa SGR construction kuweka wanajeshi, serikali inapasa iweke wanajeshi na wataalamu wetu waungane kwenye ujenzi ili wajue wanafanyaje ktk ujenzi wao, TISS ndio wakati wao huu sasa, kwasababu isijekuwa hao jamaa wanajenga lakini wanajenga kimaandalizi ya namna gani wanaweza kuliteketeza, kuligegua au kuleta uharibifu wowote ule kama tukiwakazia kwenye maji ya victoria au kama (huko mbeleni) watageuka kuwa maadui zetu. mfano mzuri ni kwamba ukiita mtu akujengee nyumba, uwe unaforesee kuwa mtu huyo ni potential enemy pia baadaye, hivyo unaweka na mazingira ya kurescue incase siku moja atarudi kwenye nyumba ileile kukushambulia ujiteteeje, kwasababu yeye atakuwa anajua in and out nyumba yako yote, ubovu uko wapi, udhaifu, strength etc. hivyohivyo na kwenye bwawa, wasije kujenga lakini wakaweka sehemu ambayo hata ukimtuma mtu mmoja tu akategua just within minutes hatuna bwawa tena. precautions kama hizo ni za lazima kwa serikali kwasababu tunawajua waarabu, sio ndugu zetu hao hata wewe ukiwaita ndugu zako wao wanakujua kwamba wewe sio ndugu yao na hawana compromise kwenye maji ya mto Nile kwasaababu kwao ndio uhai wao kabisa, viwanda vyao na maisha yao yote, uchumi etc vinategemea hayo maji na wako tayari hata kuingia vitani kulinda maji ya mto Nile. je? ikitokea wanaingia vita nasi?

swali la muhimu lingine, wakijenga wao, je? maintenance watakuwa wanafanya wao maisha yote au tutaachiwa wataalamu wa kitz watakaoendeleza maintenance? isije kuwa ukitokea ubovu lazima ukawaite wao waje wafanye repair. hapo ndio maana tunasema lazima tusiwaamini sana tusijekuwa watumwa wao milele, lazima mainjinia wa kibongo wainginzwe humo na wajue kila kona ya ujenzi inavyofanyika na ubora wake.
 
miezi sita ni mobilazation ya vifaa...

miaka 3 ni utekelezaji usiku na mchana
 
walitangaza tenda, wakajitokeza watu wengi, lakini hao wameshinda. hivyo hawajengi kwa msaada au kwa makubaliano juu ya ziwa victoria waters, isipokuwa nafikiri kama serikali ilivyofanya kwa SGR construction kuweka wanajeshi, serikali inapasa iweke wanajeshi na wataalamu wetu waungane kwenye ujenzi ili wajue wanafanyaje ktk ujenzi wao, TISS ndio wakati wao huu sasa, kwasababu isijekuwa hao jamaa wanajenga lakini wanajenga kimaandalizi ya namna gani wanaweza kuliteketeza, kuligegua au kuleta uharibifu wowote ule kama tukiwakazia kwenye maji ya victoria au kama (huko mbeleni) watageuka kuwa maadui zetu. mfano mzuri ni kwamba ukiita mtu akujengee nyumba, uwe unaforesee kuwa mtu huyo ni potential enemy pia baadaye, hivyo unaweka na mazingira ya kurescue incase siku moja atarudi kwenye nyumba ileile kukushambulia ujiteteeje, kwasababu yeye atakuwa anajua in and out nyumba yako yote, ubovu uko wapi, udhaifu, strength etc. hivyohivyo na kwenye bwawa, wasije kujenga lakini wakaweka sehemu ambayo hata ukimtuma mtu mmoja tu akategua just within minutes hatuna bwawa tena. precautions kama hizo ni za lazima kwa serikali kwasababu tunawajua waarabu, sio ndugu zetu hao hata wewe ukiwaita ndugu zako wao wanakujua kwamba wewe sio ndugu yao na hawana compromise kwenye maji ya mto Nile kwasaababu kwao ndio uhai wao kabisa, viwanda vyao na maisha yao yote, uchumi etc vinategemea hayo maji na wako tayari hata kuingia vitani kulinda maji ya mto Nile. je? ikitokea wanaingia vita nasi?

swali la muhimu lingine, wakijenga wao, je? maintenance watakuwa wanafanya wao maisha yote au tutaachiwa wataalamu wa kitz watakaoendeleza maintenance? isije kuwa ukitokea ubovu lazima ukawaite wao waje wafanye repair. hapo ndio maana tunasema lazima tusiwaamini sana tusijekuwa watumwa wao milele, lazima mainjinia wa kibongo wainginzwe humo na wajue kila kona ya ujenzi inavyofanyika na ubora wake.

Katika nchi za kiafrika, Hivi hujui kuwa anayetangaza tenda ana uwezo wa kuamua tenda apewe nani?

Pia ukizingatia makampuni mengi ya nchi zilizoendelea hayakuwa na interest na mradi huu kutokana na uwezekano wa kukosa credit kwenye taasisi za kifedha kutokana na huu mradi kupingwa sana kutokana na issues za Mazingira?
 
Katika nchi za kiafrika, Hivi hujui kuwa anayetangaza tenda ana uwezo wa kuamua tenda apewe nani?

Pia ukizingatia makampuni mengi ya nchi zilizoendelea hayakuwa na interest na mradi huu kutokana na uwezekano wa kukosa credit kwenye taasisi za kifedha kutokana na huu mradi kupingwa sana kutokana na issues za Mazingira?
kwahiyo? malizia sentence zako sasa.
 
Hilo swali ukute hata namba 1 hajui jibu lake, Mkulu yeye anawaza utekelezaji tu hana habari na diplomasia imekaaje as long as anatoa cash kwakwe everything is Ok.

Tujipe muda, kuna mengi yanakuja siku za usoni
 
Kwa miaka mingi Misri imekuwa ikidai kuwa ina haki ya kuingilia matumizi ya maji ya ziwa Victoria kwa nchi ambazo zipo katika chanzo cha ziwa hilo, hii ni kutokana na mkataba wa kikoloni ambao Misri iliingia na Waingereza na kuwapa haki kubwa sana ya maji yatiririkayo kwenda katika nchi ambayo yatokayo huku Afrika mashariki na Ethiopia.

Kwa miaka mingi Misri imekuwa ikifanya figisu kila mara tulipokuwa tukionyesha jitihada za kuyatumia maji ya ziwa victoria kwa kiwango kikubwa kujinyanyua.
Jitihada zetu za kuushinda ubabe huu wa misri zilitupelekea kuunnganisha nguvu na nchi za Ukanda huu wa Afrika mashariki kutangaza kwamba hatukubali madai ya Misri.
Katika Ukanda huu sisi ndiyo wakubwa zaidi kieneo, na kwa idadi ya watu na pia kwa asilimia za umiliki wa ziwa victoria

  • Swali ninalojiuliza na ningependa kufahamu je Wamisri kutujengea Stieglers kumeambatana na sisi kuwapa Concenssions zozote juu ya haki ya maji ya ziwa victoria?

  • Je kwa Msaada huu wa kujengewa Stieglers, uwezo wetu wa kidiplomasia wa kuongoza nguvu na Juhudi za kuukataa mkataba wa kikoloni uliowapa wamisri haki juu ya Ziwa victoria utakuwaje?

  • Yameshatolewa madai mbalimbali humu JF kuwa Misri inawapa kitu kidogo baadhi ya watu potential ili kukwamisha juhudi zetu za kuclaim haki ya kutumia maji ya ziwa victoria , je serikali inatuleza nini?
  • Hiyo habari ipo hapa: Kuna viongozi wanaolipwa na serikali ya Misri ili tusitumie maji ya ziwa Victoria - JamiiForums

Kwa sasa nchi yetu imepambwa na maji kila kona lakini yana mgogoro, Ziwa Victoria hatuna uhuru nalo ipasavyo, Ziwa Nyasa tuna mgogoro na Malawi, Kule baharini tuombee Muungano udumu maana ukilegea Wazanzibari watadai bahari kuu. Tukichezea urithi wa Maji tutajikuta sisi ni watu tuliozunguukwa na maji lakini yana wenyewe

WIZARA YA MAMBO YA NJE TUNAOMBA MAJIBU!
TUELEZENI, JE DIPLOMASIA YETU JUU YA KUTETEA RASILIMALI ZIWA VICTORIA IMESIMAMIA WAPI BAADA YA WALE TUNAOGOMBANA NAO KATIKA HILO SUALA YAANI WAMISRI KUTUSAIDIA KWENYE STIEGLERS?
Kwa kifupi wenzetu wajue tumewauza mchana kweupe.
 
Back
Top Bottom