Sio kila mzungu ni paroko
Siyo kila mvaa kanzu ni Sheikh ---wangine wameficha mabusha nk.
Sio kila mzungu ni paroko
Clouds FM wana misemo yao kupitia kwa kina Dina Marios ukisikia matangazo yale ya kanga moja, au kipindi cha asubuhi Bonge anapomalizia huwa anatoa msemo. Na yote hiyo nimewahi kuisikia huko!
mi mbona nina pesa lkn tabia yangu ni ileile kama ya kabla sijazikamata?
mhhh, huo msemo umenitia kizunguzungu kabisa...1.una bahati ya mbwa,kupendwa na mzungu!
hapo kwenye red...naongezea kuwa,...mashimo mengine huingizwa mguu mdogo wa tatu!1-sio kila shimo lakuingiza mguu
2-mwanamke asingiziwi mtoto
3-ukimpnda mtoto wa kambo ..............malizieni
Teja hakatai hela