Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,701
Ahahahaaah!!labda ndio zake...joking tu!
Ahahahaaah!!labda ndio zake...joking tu!
Hahahaha babuk. Nalog off1. Matunda hayapikwi
2.Msaada hauna risiti
3.Hodi ya chooni haijibiwi
4.Mashindano ya umiss hayafanyiki gizani.
5.Ndimu changa haina maji
6.
Ukiwa na pesa huwezi ficha tabia yako. Nalog offhahahahahahah...kumbe pesa inafunua kila kilchojificha eeeeh!!!
duuh, halaf hiyo helmet yako kiboko.....
hiyo kiboko......hapo kwenye red...ndio maana nina mipano mingi ambayo haietekelezeki...........
sio kila mchina ni mkandarasi
kuku kuku jogoo jina
1. Maskini haishiwi ndoto.
2. Heri karipio la rafiki, kuliko busu la mnafiki.
3. Wakijifanya mapaka, sisi paka tupo.
mhhhhh!...ndimu changa haina maji...ina maanisha under 18?
Ukiona manyoya,ujue keshaliwa
-hawala hana TALAKA