Ngoma ikilia sana hupasuka
Heri kulala juu ya dari kuliko kuliko kukaa mwanamke mgomvi.
Ni heri kula mboga za majani kwa amani kuliko nyama iliyonona kwa ugomvi.
1. Matunda hayapikwi
2.Msaada hauna risiti
3.Hodi ya chooni haijibiwi
4.Mashindano ya umiss hayafanyiki gizani.
5.Ndimu changa haina maji
6.
Hii yote ni ya kugandamizia Clouds!!!
1.Ukiona manyoya,jua kaliwa
2.Kuchamba kwingi kuondoka na mavi
fafanua kidogo hapo kuhusu clouds
ahaaaa...sasa nimekuelewa...lkn huenda pia hao clouds wanaitoa hiyo misemo kwa hao waloitaja....Clouds FM wana misemo yao kupitia kwa kina Dina Marios ukisikia matangazo yale ya kanga moja, au kipindi cha asubuhi Bonge anapomalizia huwa anatoa msemo. Na yote hiyo nimewahi kuisikia huko!
Utakula ulikopeleka mboga
Umejuaje??Penzi la kuku halinogi la bata karaha
Umejuaje??