Huu nao ni ufahari wa Kishamba mno
Wow! CCM hakika ni janga la taifa! Ilianza hivi.Tumezowea kuyaona haya Nigeria:
View attachment 2759718
Kumbe na kwetu napo hali ingali ni hiyo hiyo...
Tena kwenye V8Hata ingekuwa wewe ni dereva kwenye huo msafara ungeona raha
Hata ingekuwa wewe ni dereva kwenye huo msafara ungeona raha
Hata hawa wengine wakitimba ikulu usishangae ikawa hivi hivi ..
Ndo huwa hivyo mara zote, wstu wanaongea tu😅Hata hawa wengine wakitimba ikulu usishangae ikawa hivi hivi ..
Raha sana😀😀Tena kwenye V8
Hahaha unapangua gia tu...njia nyeupeeeHata ingekuwa wewe ni dereva kwenye huo msafara ungeona raha
Umejuaje mkuu
Wamepakia umati wa kwenda kusikiliza mkutano wa hadhara aendako kiongoziTumezowea kuyaona haya Nigeria:
View attachment 2759718
Kumbe na kwetu napo hali ingali ni hiyo hiyo...
Henda wamepakia umati wa kwenda kusikiliza mkutano wa hadhara aendako kiongozi
Ushamba mzigo
Kwanini awe nao wengi kiasi hicho kama anayependwa na kila mtuUmati si tulishakubaliana huletwa kwa ma FUSO, trekta na ma TOYO?
Humo ni mwendo wa wasiojulikana .
Kwanini awe nao wengi kiasi hicho kama anayependwa na kila mtu