Miongoni Mwa Mazuri ya Kikwete: "Has Good Sense of Humour"

This is exactly what is happening now, tunasikia shule hazina mashimo ya vyoo na hao wanakijiji na mabwana afya wa wilaya wanaruhusu watoto wanakwenda shule bila vyoo. Wakati hao hao watu wana pesa za kuzuia vipindupindu, wanazipeleka wapi? utawakuta wanakwenda kwenye restaurants na kukusanya rushwa badala ya kwenda kuweka mikakati watoto wakapata vyoo.

Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni. Kikwete kawawekea mashule, basi hata mashimo ya vyoo mnashindwa? hata madawati? hata nyumba za walimu? mpaka aje Kikwete kuwahamasisha?

Wabunge kazi yao kutafuta waandishi wa habari na kwenda nao kutoa handouts ili waonekane wanafanya la maana. Sijaona hata mmoja akiwakusanya wananchi na kuwa nao bega kwa bega katika mikakati ya kujitengenezea mashimo ya vyoo wala madawati wala nyumba za walimu, utasikia kapeleka bati alizopewa na barick jimboni kwake. What a way.

Hakuna hata mbunge mmoja anaekuja na mkakati wa kusema ntazifanya shule zangu ziwe mfano wa kuigwa kwa kuwafanya wanachi wa jimbo langu waziendeshe kwa ufanisi mkubwa kabisa.

Kamanda you are very right

ila sasa mimi hili naligeuza kuwa baya la JK....

wewe ni rais, ukiamua wananchi wote watavaa uniform kwenda kazini na jumamosi watadeki barabara na mataulo!! Unafanya nini na hilo rungu ulilopewa??? unasafiri, unapunzika, unachekacheka, ukishaona pametulia unakuja mbio bila soni unaanza kusema "ile aisee, nilisaini kwa presha tu" au hawa jamaa balaa hawa, wamenichemsha kweli hadi nikaamua kwenda kusherehekea chama kule chini, au naskia kuna stafu kafiwa hapo chini, haijalishi ngoja na mimi niende msibani (bila kujua uwepo wako kwenye misiba mingine ni inconvenience kwa kila mtu, si ajabu hadi maiti yenyewe inapata shida kutokana na ulinzi na protocols

IF I HAD 24 HOURS, NINGEBEBA BAKORA YANGU NA KUHAKIKISHA WANANCHI, WATENDAJI, WANASIASA NA VIONGOZI WANATIMIZA WAJIBU... KWA SASA KILA MTU ANARELAX KWANI WANAJUA KIKINUKA, MKULU HUWA ANAPISHIA MBALI

Kwangu mimi mtu anayemchekea nyani na kuyavua mabua siwezi kumuita charming au mtu wa watu, ntasema huyo muuaji na ana lake jambo, killing while smilling!!
 
Kikwete kafanya mazuri mengi sana.

Ningependa na ningefurahi Kikwete angechaguwa mikoa miwili tu iliyokuwa mwisho kimaendeleo akamleta mzungu mmoja kila mkoa kuwa RC na kila wilaya za huo mkoa Mzungu mmoja kuwa DC na mmoja kuwa DD. na mmoja kuwa DFD, Halafu uone mabadiliko katika hiyo mikoa miwili. Wizi ungekwisha, rushwa ingekwisha na mikoa ingekuwa inatamanika kwa miaka 3 tu na kwa hiyo miaka mitatu hiyo mikoa itaondoka kuwa ya mwisho na kuwa ya kwanza kwa maendeleo.

Mzungu = wa Mungu

Afrika (derived from Afri t) = wa shetani.

hivi kuna mtu kazungumzia race hapa?? umeanza vyema sasa na wewe unahamia kulekule...
 
Zomba nalazimika kukujibu haliyakuwa tupo nje ya topic. kumbe tatizo sio JK tatizo ni sisi kuwa Waafrika, maana hata ukimuweka Slaa bado sio mzungu, is that wahat you means? jitambue mkuu

That is exactly what I mean. Slaa kafanya nini katika maisha yake ambacho anaweza kutuonesha kuwa hapa nimefanya hiki na hiki na hiki, tuone kuwa ni mfano wa kuigwa, sana sana namsikia akihubiri tu, talkers are never doers, kama nyerere, alikuwa a good talker but never a good doer. Lets be honest, mambo amabayo tulikuwa tuyafanye miaka 50 nyuma ndio anayafanya leo Kikwete. Kilikuwa kinatushinda nini kujenga mashule? kilikuwa knatushinda nini kujenga mabarabara? kilikuwa kinatushinda nini kuruhusu kampuni zenye ujuzi zije kutafuta mafuta? exploration ya mafuta ilianza kufanywa na waingereza 1950s Nyerere alipopata madaraka akasitisha. Why?
 
Zomba nalazimika kukujibu haliyakuwa tupo nje ya topic. kumbe tatizo sio JK tatizo ni sisi kuwa Waafrika, maana hata ukimuweka Slaa bado sio mzungu, is that wahat you means? jitambue mkuu

siamini kama slaa atafanya afanyavyo JK, hata mkapa hakufanya hivyo... kiongozi anatakiwa kusimama na kukemea tabia tegemezi, na aponde wabunge wa handouts

the dude is just enjoying ignorance ya maskini wasio na kitu na umbumbu wao
 
hivi kuna mtu kazungumzia race hapa?? umeanza vyema sasa na wewe unahamia kulekule...

Ukiisoma vizuri post yangu inaonesha wazi kwanini nimebainisha hizo race, sasa unataka tuongee kama majuha, bila kutoa wazo na kuainisha kwanini tumetoa hilo wazo?

Na hapo nikimaanisha kuwa bila kutumia hawa wa mungu sisi wa afriti hatuwezi kitu, si unaona hata gas na mafuta wanakuja wao kutuonesha iko wapi. Hoteli nzuri za mbugani zinapata tuzo kuwa ni hoteli bora katika dunia ni kwa kuwa zinaendeshwa na hawa wa mungu. Na Kikwete kafanya kazi kubwa sana kuwaomba waje, kila akisafiri anawaaambia waje kuwekeza, na matunda yake tunayaona, gas kedekede, hoteli za kitalii zinapata tuzo za dunia.

Sasa tunamuomba awalete ma "administrators" wa kizungu awape mikoa miwili, halafu tuone hawa wa mungu na sisi nani zaidi. Bila hivyo mawee. Tutaedelea kuona kampuni za wazungu ndio nzuri na zinalipa vizuri, sasa kwa nini tusihamishie kutoka kampuni kuja serikali zinazoendeshwa na wa mungu.
 
Nitamkumbuka kwa kuwa kimya hata kunakuwa na burning issue!

Kwi kwi kwi, teh teh teh, sasa burning issue inayoweza kutatuliwa na walio chini yake kwanini ifikie mpaka yeye aingilie? ndio hayo mtamwambia mpaka vyoo vya shue aje kuwachimbia wakati mnaweza kuwafanyia maandaamano madiwani wenu mpaka wahahakikishe vyoo vinapatikana, tenaa vya kisasa. Ni jambo dogo sana. Shule isiyokuwa na choo mnakutana na madiwani, mnawapa muda wakishindwa mnawang'oa. Wataokuja lazima waweke vyoo, sasa nyinyi mnangoja Kikwete aje mumshtakie, Mheshimiwa Rais tumejengewa shule lakini vyoo vilisahauliwa, ns bado mnaacha injinia wa wilaya anadunda mitaani.
 
hata mazuri ya Kikwete yamegeuka na kuwa kero na mabaya

ni sawa na mchezaji mtaalam wa chenga lakini hatoi pasi kwa wenzie
wala kusikiliza kocha
mwisho huwa mzigo kwa timu
pamoja na chenga zake

Mawazo yako na avatar yako ni vitu tofauti.
 
Mkuu MTM, human beings are not static, we are dynamic, we change with time!. Some us changes for the better, some changes for the worse!. Mimi naamini nilijikwaa tuu mahali nikaanguka, nitaamka, nitajifuta vumbi na kusimama tena kuendelea na safari for the better!.
Ingependeza kama ungeiweka hivi 'some of us change for.................
 
Kwa hili lazima tumpongeze JK, he is very considerate kwa wenzetu hawa!, na hata kama unaambiwa "asante", kwa nini usiwe ni mtu wa kupokea shukran!.
Pia sifa nyingine kubwa ya JK ni mtu wa shukrani anayekumbuka fadhila!. Hebu waangalie watu mbalimbali waliomsaidia kufika hapo alipo jinsi alivyowakumbuka!.
JK ni mwema jamani, na kabla hajamaliza kipindi chake hiki, kuna watu mtasikia wametupwa balozi hizi na zile kabla hajaondoka!. Huu sio wema?.

Mtazamo, kitendo cha turning weakness into streghth ni uwezo mkubwa, hivyo JK ana uwezo mkubwa transformation. Nilimsikiliza sana pale alipozungukia mawizara, he had a good vision na good plans ila watendaji wake ndio wamemlet down!. He is so kind, he can't just fire anybody!. Hata akikutana na Mama Nyoni, atamwambia sorry ni Pinda ila tulia kidogo watu wasahau nitakupeleka ubalozini nchi moja nzuri, ukatulie!, nikishakupeleka pia nitakua naitembelea nchi hiyo mara kwa mara!.
Zuri lingine ni kulinda marafiki wake pale anapohisi kuwa wanafanya madudu..hii ni moja ya sifa nzuri ya mkuu wa kaya,ana uwezo mkubwa wa kukulinda rafiki yake hata kama unafanya madudu.Namkubali kwa hili.
[Hizo tatu hapo juu nimeziweka pamoja kwa sababu zinahusiana] Hili la kulinda marafiki tunalisema ni zuri kweli au kwa kejeli? Tukumbuke tu kuwa haya mambo ya urafiki, ya udugu na kulipa fadhila binafsi kwa kutumia mali ya umma ndiyo masuala ambayo yamekuwa yakiitafuna TZ miaka nenda miaka rudi. Ni sababu hiyo ya kulipa fadhila kwa waliomfadhili ndio maana akawa amezungukwa na watendaji wabovu na anashindwa kuchukua maamuzi magumu kwa sababu "mfadhiliwa [ni sawa na] mtumwa [wa aliyemfadhili].

Shule za Sekondari nyingi wakati wa Kikwete, kuliko za wakati wa marais wote waliomtangulia pamoja na za wakoloni, zote ukichanganya hazifikii hata nusu ya shule alizojenga Kikwete kwa miaka 5 tu ya mwanzo.

Kabla hujarudi jiandae kutuambia hizo shule zina waalimu wa hadhi gani. Kujenga shule si kuweka majengo tu bila madawati. Pia usisahau kutupa habari jinsi alivyofanikiwa kumaliza tatizo la umeme.

Nini ambacho hujakielewa?

Mashule yanayokosa madawati utakuta yote yapo vijijini na utakuta vijiji hivyo hivyo vinakata miti na kuuza mbao na kuuza kuni badala ya kujitengenezea madawati ya shule zao, wanangoja handouts na au kufanyiwa.

Kikwete kajenga mashule kwa kuwahamasisha hao hao kwenye kata zao na sasa ilikuwa wakati muafaka hao kwenye kata kuweka mikakati ya kujisaidia kuziendesha kwa ufanisi, kama kukusanyika na kujitengenezea madawati japo mawili au matatu kila wiki. Leo baada ya miaka 6 kungekuwa hakuna shida a madawati. Inabidi watanzania wajuwe kujituma wasingoje kutumikiwa tu.
[Na hizo hapo juu nimeziweka pamoja kwa sababu tunazungumzia mada moja] Kama kitomeo tu, hapa ninakumbuka riwaya ya Shaaban Robert ya Kusadikika, pale wananchi wa nchi fulani walipotakiwa kujenga barabara pana wakadai zina kazi gani wakati mguu wa binadamu hauzi upana wa inchi 7".

Tukubali ukweli kuwa rushwa na kukosa uwajibikaji ndio unaotuangusha. Badala ya kutuma rasilimali na juhudi zetu, tunasubiri kila kitu kifanywe na Kikwete (serikali). Hivi leo imekuwa ada, sio kusafisha mtaro wa maji machafu bali tunatupa takataka na mifuko ya plastiki huku tunasubiri serikali kuu ije kutusafishia.

ANGALIZO KWA WATANZANIA: Tanzania haitaendelea kwa kubadilisha viongozi, hata tupate kiongozi mtendaji mwenye kila sifa ikiwa sisi wenyewe hatukubadilika, tutabaki kupiga kwata la mdundiko au mbwakachoka, hatua kumi mbele, ishirini nyuma.
 
Binafsi nitamkumbuka kwa,

  • Kuanza kwa vitendo ujenzi wa barabara za magharibi na kuziunganisha tangu uhuru.
  • Barabara ya Nzega-TBR.
  • Urambo-TBR
  • Kuinyenyua kanda ya magharibi hususan kumteua Pinda anayeunyenyua mkoa wa Rukwa/Katavi.
  • Kupendelea wanawake ktk nafasi nyingi (hata kama hawawezi)
  • Hajionyeshi ni nani adui wake, anacheka na wote na anateta na wote.
  • Amenyenyua hali ya mishahara ya askari nchini.
  • Amewasaidia wakazi wa Dar kila wanapokumbwa na dhoruba za mabomu, mafuriko.
  • Anapita mitandaoni na kujumuika nasi.
  • Amezuia ardhi ya Tanzania kutumiwa na EAC kama sehemu ya maridhiano.
  • Ni rais wa kipekee kuhudhuria misiba na mazishi kila apatapo taarifa, na hata awepo nje ya nchi kwa baadhi ya nyakati hurejea.
  • Ndie rais mwenye ulinzi mkali zaidi kulinganisha na waliomtangulia.
  • Amekuwa fair kuzingatia gender na RIKA ktk uteuzi wa nafasi nyingi serikalini/chama.
 
Kwi kwi kwi, teh teh teh, sasa burning issue inayoweza kutatuliwa na walio chini yake kwanini ifikie mpaka yeye aingilie? ndio hayo mtamwambia mpaka vyoo vya shue aje kuwachimbia wakati mnaweza kuwafanyia maandaamano madiwani wenu mpaka wahahakikishe vyoo vinapatikana, tenaa vya kisasa. Ni jambo dogo sana. Shule isiyokuwa na choo mnakutana na madiwani, mnawapa muda wakishindwa mnawang'oa. Wataokuja lazima waweke vyoo, sasa nyinyi mnangoja Kikwete aje mumshtakie, Mheshimiwa Rais tumejengewa shule lakini vyoo vilisahauliwa, ns bado mnaacha injinia wa wilaya anadunda mitaani.

kama hawatatui na yeye anakaa kimya --- inakuaje?
 
Nimekusoma Pasco but i am worried unaposema some of us change for the better, and some change for worse... (knowing if you are better or worse, could be a long term process, requiring external observation as well as a few notable milestones between the timelines) it is difficult to say if you are heading in the right direction without external views, IMO

But good luck in your endeavor but take it from me; something ahs changed and not to the good for you.... you have lost that neutrality and i even now see how opportunistic your are by tring to use JF views kwenye vipindi vyako unavyotaka ku-air. It is really bad when you think you are smart and can play with people philosophy thinking that it can always go your way

If you want to succeed, dont be a puppet! but if you want a joyride, then you can be one... My daughter has a toy, it closes its eyes when put asleep and opens the eyes whenever kept in upright position; and she loves it!!!

I AM SORRY BUT I AM WORRIED NA HIYO JOYRIDE UNAYOTAKA KUENJOY KWA MIGONGO YA JF

Goodbye and Goodluck

Hivi huyu MTM ndiye Mike Mckee? ni nje tu ya mada, lakini ningependa kujuwa, maana hii sentensi ya mwisho ina masimango, na masimango hayawezi kutolewa na mlowezi tu, hii ni kujiamini na kuona kuwa amevumbuwa gurudumu na hapendi wenzie waliboreshe na kusafiria.

Duhh! roho na fikra hizi unazipata Afrika tu (wa afriti kwa wa mungu huzioni hizi).
 
kama hawatatui na yeye anakaa kimya --- inakuaje?

Ana chukuwa bomba anakwenda hollywood kutafuta watalii na wawekezaji wataokuja kuweka mahoteli mazuri, kuja kututafutia gas na kuja kutuonesha watu wanavyoishi duniani. Nyie anawaacha kama mlivyo. "mzowea vya kunyonga vya kuchinja haviwezi".
 
Nitamkumbuka Rais Kikwete kama ifuatavyo.

[1] Ni Rais pekee dunia ambaye amehudhuria misiba mingi ya watanzania wa kawaida.

[2] Akianzisha jambo lake analisimamia vizuri ingawa anashindwa kuimazia vizuri Kujivua gamba,Taifa Stars,Umeme,shirika la ndege na mikataba ya madini.

[3] Uhuru wa habari umepanuka sana chini ya uongozi wake.

[4] Hajaongeza mke baada ya kupata madaraka

[5] Msimamo wake kuelekea EAC hasa suala la ardhi ya Tanzania ni jambo lingine zuri.

[6] Mchakato wa katiba hasa baada ya kukubali kukutana na vyama vya siasa na kukubali kuchukua baadhi ya hoja zao ni jambo kubwa kuliko yote.Kikwete anaweza kutuachia katiba bora,kwangu mimi katiba bora yawezakuwa goli kubwa na muhimu kuliko ujenzi wa barabara,machinga Complex,daraja la kigamboni na nk katiba bora ndiyo mambo yote hakuna kilicho baro kuliko katiba nzuri inayozingatia haki za wananchi na kuhakikisha rasilimali za taifa zinalindwa ipasavyo na kulinufaisha tiafa.
 
Mkuu MTM, thanks for being bold to call a spade a spade!.

If you were doing something before and you left it for something else which is more paying than what you were getting, yuo simply justfy the move!.

After a period of time you realise you were a better man before than what you are now, you decide to abandon what you do now and get set to do what you used to be, and plans ahead to do it in a better way!. In a planning stage you just say, channging for the better!.

The issue of neutrality is a bone of contentions. You are in a jungle struggling for existance, and survival is only for the fittest!. In order to survive one might find himself doing the things he should never have done if that is the one and only way to survive!. I'm survivor!.

Most preachers who claim to be men if God, are taking a joy ride by playing with peoples mind!. I'll also has to take a joy ride somewhere somehow but I will not play your mind away!. The use of jf mind was not a means but only a way!. As long as I have a means, I can always find my way out not necesarly through jf!. Hivyo don't worry kuwa ninataka kupanda juu kupitia mgongo wa jf!. The plan was to just to scratch my back and I'll scratch yours!. Mission abandoned!. Najipanga upya nitoke kivingine without jf!.

Hoja ya a puppet or not, the end will justfy the means!.

Thanks again Mkuu MTM,
Back to mazuri ya JK!
Pasco, this is very crude! so you are ready to rape even your own daughter for the sake of selfish survival!
 
Pasco, this is very crude! so you are ready to rape even your own daughter for the sake of selfish survival!

What has survival got to do with raping one's daughter? be realistic. Who is surviving by raping his daughter? what a tinker.
 
Ana chukuwa bomba anakwenda hollywood kutafuta watalii na wawekezaji wataokuja kuweka mahoteli mazuri, kuja kututafutia gas na kuja kutuonesha watu wanavyoishi duniani. Nyie anawaacha kama mlivyo. "mzowea vya kunyonga vya kuchinja haviwezi".
NILIKWAMBIA ACHA GANJA ... ONA SASA UMEMTETEA WEEEE MWISHO UNAMMALIZA KABISA... WE AFRI WAHED!!! LOL

BTW, MIKE MCKEE NDIO NANI??:rant:name calling
 
Back
Top Bottom