Miongoni Mwa Mazuri ya Kikwete: "Has Good Sense of Humour"

kwa kweli ntamkumbuka sana kwa kutujengea shule za sekondari kila kata pamoja na kuwa zina changamoto ndogo ndogo lakini cheti cha form four nimepata
 
Miongoni mwa mazuri ya huyu bwana ni kusahau...alichukua dola kwa hisani ya wajuvi wa fitna namely fulani,fulani na fulani but kasahau kwamba dharau ya bwana Ben kudhani kua "hawa mabwana hawana madhara imekua advantage kwake kwa msaada wa hawa anaowachukulia as Ben alivyomchukulia yeye na marafiki zake....
 
Who the hell are you to question my education? I am simply better educated than you by 100 folds.
I am afraid you are not educated to that extend, otherwise you could have understood the simple adage which was posed to Pasco on the question of 'survival of the fittest'. You are obsessed with stupid arrogance!
 
Mimi namkubali JK na hasa pale aliposema kuwa President Bush alimwambia yeye ni "good man." aliongeza na kusema: unajua hawa watu weupe wakikuambia wewe ni good man basi ujue mambo yataanza kunyooka. misaada kede kede.
Duu! kauri za kimatonya hizo.............
 
I am afraid you are not educated to that extend, otherwise you could have understood the simple adage which was posed to Pasco on the question of 'survival of the fittest'. You are obsessed with stupid arrogance!

I am better of being arrogant rather than being an uneducated fool from an uneducated school, like you have shown, using parables not fit in our societal norms.
 
You ought to argue and not shouting. Your stupidity manifests itself through arrogant and empty shouts.

You had better make use of the language you are most familiar and comfortable with, your written English is not to a standard of debate in open forums. Go do your homework.
 
Tusisahau pia ujenzi wa Barabara hapa nchini. Nina hakika kila mkoa unashuhudia mradi mkubwa wa barabara. Daraja la malagalasi nasikia linajengwa, nasikia Sumbawanga inaunganishwa na Tunduma, nasikia.Tabora inaunganishwa na Nzega, nasikia Tabora inaunganishwa na Kigoma, nasikia Iringa inaunganishwa na Dodoma, nasikia Singida, Arusha na Manyara zinaunganishwa, nasikia Dodoma na Manyara zinaunganishwa, nasikia Mtwara na Ruvuma zinaunganishwa kupitia Tunduru, nasikia Tanga, Handeni, Korogwe na Morogoro zinaunganishwa pia nasikia Bukoba na Biharamulo zinaunganishwa. Zooooote hizo ni kwa lami siyo changarawe. Penye sifa na apewe sifa.

Pasco amesema tuongelee mazuri tu hapa. Huenda akaja na nyingine itakayoongelea aliposhindwa.
Duh!Kumbe JK ana mazuri?
Haya ni ya kweli?Ama na hii inaingia kwenye ile ya "California" ya Mwanza naDubai ya Kigoma sijui?lol
 
Naona hujasafiri nje ya nchi ndugu yangu. Nenda London kaulize nani pale alikuwa anamliwaza. Nenda Marekani kaulize ni akina nani waliolipiwa nauli kwenda kuweka joto kwenye viota vya mahaba. Don't even go there.
Sisi hapa kwetu Tanzania hatujui, hatujasikia, Kikwete ana vimada. Kama inabidi mpaka nisafiri mpaka London sijui na wapi huko nipeleleze basi I am right, his public image at home is unblemished in so far as fidelity to his wife is concerned, toka awe Rais. Ya huko Marekani na London sisi hapa sio tu hatuyajui, hatutaki kuyajua, kwa sababa inatosha kama akitua tu Nyerere International he checks his purile misbehavior at the lounge doors, anajiheshimu na kutuheshimu akishakanyaka ardhi ya Tanzania.

Kwa hilo namkubali, na huwa sifagilii fagilii viongozi kiholela holela mimi.
 
Pasco,

..JK huwa anachekesha sana haswa anapohutubia wa kinamama.

..nakumbuka alipohutubia UWT na kusema: " kina mama wa Tanzania endeleeni kuzaa wasichana wazuri...."

..kauli yake nyingine ya kuvunja mbavu and most humurous ni hii: " Ikiwa tutaruhusu wasichana waliojifungua kuendelea na shule basi matiti yao yatakuwa yanachirizika maziwa darasani..."

NB:

..kuhusu "uhendsam" wa JK nadhani nilianza kusikia ktk mahojiano ya Butiama Radio na Muhidin Michuzi. Yaani badala ya kueleza sifa za uongozi za JK, Michuzi aliishia kumsifia JK kwamba ni bonge la "hendsam".
 
"Has Good Sense of Humour" kwa kweli ukitembelea viongozi wengi wa nchi utoaona wanavyojaribu kuiga hiyo tabia ya Mwenyekiti wao. Mara nyingi watu wanaosikiliza watacheka lakini impact yake ni kua watu hawatakua serious na alichosema - imekuwa kama kasimulia tu hadithi ya kufurahisha. Ni kitu kati ya mazuri ama mabaya, itabidi maelezo zaidi.
 
Ukiwa waziri wa madini ndio nini? utapingana na waziri mkuu wako na Rais wa nchi? usituletee fikira za kitoto hapa.

Usitake kudanganya watu, huyo rafiki yake "Barrick" ni wa kampuni ipi?

Board of Directors


Howard L. Beck, Q.C.

Toronto, Ontario
Corporate Director
Mr. Beck has been a Director of Barrick since 1984.
C. William D. Birchall

Toronto, Ontario
Vice Chairman and Director, Barrick Gold Corporation
Mr. Birchall has been a Director of Barrick since 1984.
Donald J. Carty, O.C.

Dallas, Texas
Chairman, Porter Airlines Inc. and Virgin America Airlines
Mr. Carty has been a Director of Barrick since 2006.
Gustavo A. Cisneros

Santo Domingo, Dominican Republic
Chairman, Cisneros Group of Companies
Mr. Cisneros has been a Director of Barrick since 2003.
Peter A. Crossgrove, O.C.

Toronto, Ontario
Corporate Director
Mr. Crossgrove has been a Director of Barrick since 1993.
Robert M. Franklin

Toronto, Ontario
President, Signalta Capital Corporation
Mr. Franklin has been a Director of Barrick since 2006.
J. Brett Harvey

Canonsburg, Pennsylvania
Chairman, President and Chief Executive Officer, CONSOL Energy Inc.
Mr. Harvey has been a Director of Barrick since 2005.
Dambisa Moyo

London, United Kingdom
International economist and commentator on the global economy
Elected to the Board of Directors at the 2011 Annual General Meeting.
The Right Honourable Brian Mulroney, P.C.

Montreal, Quebec
Chairman of Barrick’s International Advisory Board
Senior Partner, Norton Rose OR LLP
Mr. Mulroney has been a Director of Barrick since 1993.
Anthony Munk

Toronto, Ontario
Managing Director, Onex Corporation
Mr. Munk has been a Director of Barrick since 1996.
Peter Munk, C.C.

Toronto, Ontario
Founder and Chairman, Barrick Gold Corporation
Prior to September 2006, Mr. Munk was also the Chairman of Trizec Properties, Inc.
Aaron W. Regent

Toronto, Ontario
President and CEO, Barrick Gold Corporation
Mr. Regent has been a Director of Barrick since February 2009.
The Honourable Nathaniel P. Rothschild

Klosters, Switzerland
Corporate Director
Founder and Co-Chairman, Vallar PLC, Co-Chairman, EN+ Group Limited
Mr. Rothschild has been a Director of Barrick since 2010.
Steven J. Shapiro

Houston, Texas
Corporate Director
Mr. Shapiro has been a Director of Barrick since 2004.
Audit Committee

S.J. Shapiro, Chairman
D.J. Carty
P.A. Crossgrove
R.M. Franklin

Compensation Committee

D.J. Carty, O.C.,Chairman
G.A. Cisneros
J.B. Harvey
S.J. Shapiro

Corporate Governance and Nominating Committee

R.M. Franklin, Chairman
H.L. Beck
D. Moyo

Corporate Responsibility Committee

P.A. Crossgrove, O.C., Chairman
C.W.D. Birchall
J.B. Harvey
D. Moyo
A.W. Regent

Finance Committee

C.W.D. Birchall, Chairman
H.L. Beck
A. Munk
N. Rothschild

Number of Registered Shareholders


18,547

Mkuu, Tanzania Royalt Exploration Company ni ya nani tena? Imekuwaje wameingia ubia na Stamico awamu ya pili ya utawala wa JK?
 
Ukiwa waziri wa madini ndio nini? utapingana na waziri mkuu wako na Rais wa nchi? usituletee fikira za kitoto hapa.

Usitake kudanganya watu, huyo rafiki yake "Barrick" ni wa kampuni ipi?

Board of Directors


Howard L. Beck, Q.C.

Toronto, Ontario
Corporate Director
Mr. Beck has been a Director of Barrick since 1984.
C. William D. Birchall

Toronto, Ontario
Vice Chairman and Director, Barrick Gold Corporation
Mr. Birchall has been a Director of Barrick since 1984.
Donald J. Carty, O.C.

Dallas, Texas
Chairman, Porter Airlines Inc. and Virgin America Airlines
Mr. Carty has been a Director of Barrick since 2006.
Gustavo A. Cisneros

Santo Domingo, Dominican Republic
Chairman, Cisneros Group of Companies
Mr. Cisneros has been a Director of Barrick since 2003.
Peter A. Crossgrove, O.C.

Toronto, Ontario
Corporate Director
Mr. Crossgrove has been a Director of Barrick since 1993.
Robert M. Franklin

Toronto, Ontario
President, Signalta Capital Corporation
Mr. Franklin has been a Director of Barrick since 2006.
J. Brett Harvey

Canonsburg, Pennsylvania
Chairman, President and Chief Executive Officer, CONSOL Energy Inc.
Mr. Harvey has been a Director of Barrick since 2005.
Dambisa Moyo

London, United Kingdom
International economist and commentator on the global economy
Elected to the Board of Directors at the 2011 Annual General Meeting.
The Right Honourable Brian Mulroney, P.C.

Montreal, Quebec
Chairman of Barrick’s International Advisory Board
Senior Partner, Norton Rose OR LLP
Mr. Mulroney has been a Director of Barrick since 1993.
Anthony Munk

Toronto, Ontario
Managing Director, Onex Corporation
Mr. Munk has been a Director of Barrick since 1996.
Peter Munk, C.C.

Toronto, Ontario
Founder and Chairman, Barrick Gold Corporation
Prior to September 2006, Mr. Munk was also the Chairman of Trizec Properties, Inc.
Aaron W. Regent

Toronto, Ontario
President and CEO, Barrick Gold Corporation
Mr. Regent has been a Director of Barrick since February 2009.
The Honourable Nathaniel P. Rothschild

Klosters, Switzerland
Corporate Director
Founder and Co-Chairman, Vallar PLC, Co-Chairman, EN+ Group Limited
Mr. Rothschild has been a Director of Barrick since 2010.
Steven J. Shapiro

Houston, Texas
Corporate Director
Mr. Shapiro has been a Director of Barrick since 2004.
Audit Committee

S.J. Shapiro, Chairman
D.J. Carty
P.A. Crossgrove
R.M. Franklin

Compensation Committee

D.J. Carty, O.C.,Chairman
G.A. Cisneros
J.B. Harvey
S.J. Shapiro

Corporate Governance and Nominating Committee

R.M. Franklin, Chairman
H.L. Beck
D. Moyo

Corporate Responsibility Committee

P.A. Crossgrove, O.C., Chairman
C.W.D. Birchall
J.B. Harvey
D. Moyo
A.W. Regent

Finance Committee

C.W.D. Birchall, Chairman
H.L. Beck
A. Munk
N. Rothschild

Number of Registered Shareholders

18,547
Hayo maswali ungemuuliza Karamagi ambaye alikwenda kusaini mikataba kwenye hoteli London. Kikwete na Mkapa yao ni moja. Kwanza wote ni mafisadi na wote wamefaidika na mikataba mibovu ya madini na kuuza nchi yetu to the lowest bidder.
 
Pasco,

..JK huwa anachekesha sana haswa anapohutubia wa kinamama.

..nakumbuka alipohutubia UWT na kusema: " kina mama wa Tanzania endeleeni kuzaa wasichana wazuri...."

..kauli yake nyingine ya kuvunja mbavu and most humurous ni hii: " Ikiwa tutaruhusu wasichana waliojifungua kuendelea na shule basi matiti yao yatakuwa yanachirizika maziwa darasani..."

NB:

..kuhusu "uhendsam" wa JK nadhani nilianza kusikia ktk mahojiano ya Butiama Radio na Muhidin Michuzi. Yaani badala ya kueleza sifa za uongozi za JK, Michuzi aliishia kumsifia JK kwamba ni bonge la "hendsam".
Mkuu Joka Kuu, kuna tofauti kati ya kuchekesha na kufurahisha, kuchekesha ni kuwafanya watu wacheke, kama comedians, na kufurahisha, ni kuwafanya watu wafurahi!. Mimi nilimaanisha, JK akihutubia, huwa ana crack jokes na watu wanafurahia kumsikiliza, na sio wanacheka kama vichekesho. A good sense of humour, its about kufurahisha na sio kuchekesha!.

Hilo la kuhusu kumsifia kuwa JK ni bonge la HB, that is a fact!, pia sometime inalipa!, si umeona ankal alipo?!.
 
Mkuu Joka Kuu, kuna tofauti kati ya kuchekesha na kufurahisha, kuchekesha ni kuwafanya watu wacheke, kama comedians, na kufurahisha, ni kuwafanya watu wafurahi!. Mimi nilimaanisha, JK akihutubia, huwa ana crack jokes na watu wanafurahia kumsikiliza, na sio wanacheka kama vichekesho. A good sense of humour, its about kufurahisha na sio kuchekesha!.

Hilo la kuhusu kumsifia kuwa JK ni bonge la HB, that is a fact!, pia sometime inalipa!, si umeona ankal alipo?!.

you are being satirical... arent you??? eeehh??? ati jokes zinafurahisha, mimi nilijua zinachekesha!!!

Pasco sasa wewe unatafuta shida kubwa
 
you are being satirical... arent you??? eeehh??? ati jokes zinafurahisha, mimi nilijua zinachekesha!!!

Pasco sasa wewe unatafuta shida kubwa
MTM, Nyerere alipokuwa akuhutubia with a good sense of humour, tulisikiliza tukitamani asimalize!, alikuwa anatoa jokes watu wanacheka kuonyesha furaha yao na sio kucheka kutokana na vichekesho!. Vivyo hivyo kwa JK!.
Kulia na kucheka zote ni kelele, tofauti ni expressions only ndio maana kuna mpaka kulia kwa furaha!. Kucheka pia kuna kucheka kwa furaha na kucheka kwa kuchekeshwa, wanaocheka kwa furaha ni sign ya appreciation ya walichokisikia/kuona, kucheka kwa kichekesho ni mshangao au tukio lililofanya adrenalin ikateremsha hormone za kuchekea tuu!.
 
Jasusi, mtoa mada anashauri tujadili kwanini alichaguliwa kwa "kishindo". Ingawa inawezekana kukawa na kufeli kwa "kishindo vile vile"

Hizi ni kura alizokopa kutoka kwa serikali ya Mkapa.
Kura zinazomshahili JK ni zile za last election.
 
Back
Top Bottom