Hivi introduction ya mwanamke inakamilika mpaka utaje wewe ni Mke wa fulani?
Just asking!
Mimi Kaunga Boss, small house wa JF- MMU King of 2011! LOL
Umeona hiyo, kwanini asijitaje tu yeye ni Tunu Pinda; n she is married to the title sio hata Mizengo Pinda!
@the boss, angalia hapo juu nishajitambulisha!
BTW Ki mantiki kama wewe ni mke wa mkubwa ni lazima utataka ustress position yako katika jamii... Kua mimi ndio mke wa Fulani. However that requires intelligence, kujulikana kua ni mke wa nani kwa kuitamka hasa kama mumeo ni Mkubwa na amekua katika uongozi more than four years; na bado hujulikani. Ina maana hutumii nafasi yako ipasavo kuweza gusa jamii husika.... Hivo you are not worth knowing....
angeenda kutafuta 'TUITION' kwa Ester Sumaye....lol
Hivi introduction ya mwanamke inakamilika mpaka utaje wewe ni Mke wa fulani?
Just asking!
Hebu kabla sijampa ushauri huo nipe wasifu wake.... Huyo mwana mama nilikua simfahamu nimelisoma tu jina lake bahati mbaya mahala na kilichonifanya nikumbuke ni sababu nilijiuliza kama ndio the wife wa Sumaye...
If you are proud of your husband ..yes you must! This lady look so down to the earth ,keep low profile ,interact with people -she has what so called interpersonal skills.....if you just know how to read picture and to see more that what eyes can see.