FundiNgoma
Senior Member
- Dec 26, 2019
- 132
- 264
Wakubwa shikamooni wadogo zangu habari zenu...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, mimi ni mtumishi wa umma kada ya ualimu nimejiendeleza kielimu kwa sasa nahitaji kujiunga na masomo ngazi ya shahada ila natamani kusoma shahada ya mawasiliano ya umma (mass communication), jambo lililonileta kwenu wanajamvi ni kwamba Je? Kuna uwezekano wa kusoma hiyo kozi nikiwa bado kazini (open university) au campus? Kwa maana ni tofauti na kada niliyopo.
Na je baada ya kupata shahada yangu ni nini ntapaswa kufanya kwa mwajiri wangu? Na mengine mengi yanayofanana na hayo.
Msaada tafadhali maana natamani sana kutimiza ndoto zangu...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, mimi ni mtumishi wa umma kada ya ualimu nimejiendeleza kielimu kwa sasa nahitaji kujiunga na masomo ngazi ya shahada ila natamani kusoma shahada ya mawasiliano ya umma (mass communication), jambo lililonileta kwenu wanajamvi ni kwamba Je? Kuna uwezekano wa kusoma hiyo kozi nikiwa bado kazini (open university) au campus? Kwa maana ni tofauti na kada niliyopo.
Na je baada ya kupata shahada yangu ni nini ntapaswa kufanya kwa mwajiri wangu? Na mengine mengi yanayofanana na hayo.
Msaada tafadhali maana natamani sana kutimiza ndoto zangu...