Huwa natamani kuelewa vizuri. Sijajua vizuri kama Mbunge analipwa mshahara kila mwezi kwa miaka mitano, lakini ninachofahamu ni kuwa bunge likivunjwa baada ya miaka mitano huwa wanapewa hela nyingi sana, zaidi ya milioni 200 kwamba hiki ni kiinua mgongo.
Natamni kujua ni kigezo gani kilitumika kumpa Mbunge huyu milioni zote hizo kwa miaka mitano. Kwamba yawezekana hatarudi bungeni? Kama ni hivyo kwa nini mtumishi wa umma akiacha kazi asipewe hela zake zote za hifadhi ya jamii?
Lakini pia ni kigezo gani kilitumika kwa mtumishi wa umma kupewa 33% ya fedha zake za hifadhi ya jamii na kwa nini isiwe 50%?
Wastani wa maisha ya Mtanzania ni miaka 66, ni kigezo gani kimetumika kumfanya mtumishi wa umma akae kazini mpaka miaka 60 na apewe 33% ya fedha zake za hifadhin ya jamii wakati kiuhalisi bado ana mika 6 tuu ya kuishi duniani? Hata LOWASA ameishi miaka 70 tu na siyo 72 au 82?
Serikali yetu haina budi kuliangalia swala hili kwa jicho la tatu na kuwahurumia watumishi wa umma ambao kiuhalisia wanaishi maisha magumu tofauti na mfanyabishara. Bidha zikapanda mitaani, mshahara haupandi kila mwezi.
Mtumishi wa umma ni kukamuliwa tu PAYE, NSSF (ampapo akistaafu atapewa 33%), kodi mitaani kwa kila atakachonunua. Ndiyo unakuta mtumishi wa umma anastaafu hata nyumba hana maana yeye aliishi maisha ya kukamuliwa tu!
Natamni kujua ni kigezo gani kilitumika kumpa Mbunge huyu milioni zote hizo kwa miaka mitano. Kwamba yawezekana hatarudi bungeni? Kama ni hivyo kwa nini mtumishi wa umma akiacha kazi asipewe hela zake zote za hifadhi ya jamii?
Lakini pia ni kigezo gani kilitumika kwa mtumishi wa umma kupewa 33% ya fedha zake za hifadhi ya jamii na kwa nini isiwe 50%?
Wastani wa maisha ya Mtanzania ni miaka 66, ni kigezo gani kimetumika kumfanya mtumishi wa umma akae kazini mpaka miaka 60 na apewe 33% ya fedha zake za hifadhin ya jamii wakati kiuhalisi bado ana mika 6 tuu ya kuishi duniani? Hata LOWASA ameishi miaka 70 tu na siyo 72 au 82?
Serikali yetu haina budi kuliangalia swala hili kwa jicho la tatu na kuwahurumia watumishi wa umma ambao kiuhalisia wanaishi maisha magumu tofauti na mfanyabishara. Bidha zikapanda mitaani, mshahara haupandi kila mwezi.
Mtumishi wa umma ni kukamuliwa tu PAYE, NSSF (ampapo akistaafu atapewa 33%), kodi mitaani kwa kila atakachonunua. Ndiyo unakuta mtumishi wa umma anastaafu hata nyumba hana maana yeye aliishi maisha ya kukamuliwa tu!