Nanyaro Ephata
JF-Expert Member
- Jan 22, 2011
- 1,221
- 1,788
Makupa,jaribu kushirikisha kichwa kabla ya kupost
Wamekua na umasikini huo chini ya utawala wa CCM,wanainchi wa igunga ni masikini wa kutupwa kula yao ya shida, majuzi tu walikuwa wakigombea mahindi ya msaada leo wawachangie chadema 5mil, uwongo mwingine wa kitoto kabisa.
wanainchi wa igunga ni masikini wa kutupwa kula yao ya shida, majuzi tu walikuwa wakigombea mahindi ya msaada leo wawachangie chadema 5mil, uwongo mwingine wa kitoto kabisa.
Kwa mujibu wa taarifa za vyombo vya habari vya leo ni kwamba cdm walipewe michango na wananchi wa igunga ili kusaidia gharama uendeshaji wa kesi.Hata hivyo kwa kutumia akili kidogo tu utagundua kuwa cdm wanawadaa watanzania ili kujenga hisia kwa wananchi kuwa cdm inapendwa.
Kwa mujibu wa taarifa za vyombo vya habari vya leo ni kwamba cdm walipewe michango na wananchi wa igunga ili kusaidia gharama uendeshaji wa kesi.Hata hivyo kwa kutumia akili kidogo tu utagundua kuwa cdm wanawadaa watanzania ili kujenga hisia kwa wananchi kuwa cdm inapendwa.
Watanzania bado wengi wetu CCM imetufumba macho kutukana na Umaskini wetu kamwe CCM haitaleta maendeleo maana tukielimika tu CCM haina Bao lakini kwa sasa hivi watu wanasubiria Mlo tu kwenye Kampeni za huko Igunga lakini watu wazima na akili zao hili hawalioni wana-bwabwaja maneno tu.hakimu aliwauliza magamba aliyekufa kwa njaa igunga nani mpaka ikawalazima serikali kugawa mahindi kipindi cha kampeni?.
gamba kazini!wanainchi wa igunga ni masikini wa kutupwa kula yao ya shida, majuzi tu walikuwa wakigombea mahindi ya msaada leo wawachangie chadema 5mil, uwongo mwingine wa kitoto kabisa.
wanainchi wa igunga ni masikini wa kutupwa kula yao ya shida, majuzi tu walikuwa wakigombea mahindi ya msaada leo wawachangie chadema 5mil, uwongo mwingine wa kitoto kabisa.
Kwa mujibu wa taarifa za vyombo vya habari vya leo ni kwamba cdm walipewe michango na wananchi wa igunga ili kusaidia gharama uendeshaji wa kesi.Hata hivyo kwa kutumia akili kidogo tu utagundua kuwa cdm wanawadaa watanzania ili kujenga hisia kwa wananchi kuwa cdm inapendwa.
Hujajipanga wewe! chama cha siasa ni kama timu za mpira hasa soka. kujua timu inapendwa tazama mahudhurio ya mashabiki wake siku wanacheza.watajaa na pengine ili kuona timu yao huingia kwa kiingilio kikubwa tu.VIVYO HIVYO kwa chama cha siasa kujua kama kinapendwa nenda kwenye mikutano yao watu kibao waliohamasika na wenye shauku ya jambo fulani watahudhuria bila kulazimishwa au kulipwa. ukifika hapo lazima ujue chama hicho kina pendwa usipo kubali huo utakuwa ubishi ambao hauna maana.Kwa mujibu wa taarifa za vyombo vya habari vya leo ni kwamba cdm walipewe michango na wananchi wa igunga ili kusaidia gharama uendeshaji wa kesi.Hata hivyo kwa kutumia akili kidogo tu utagundua kuwa cdm wanawadaa watanzania ili kujenga hisia kwa wananchi kuwa cdm inapendwa.
Duh! hii kali ya mwaka, hata hizo pumba zako unathubutu kuziita fikra!mkuu huwezi zuiya fikra mbadala kama umechukia sana kunywa sumu ndio utamaliza hasira vizuri
Makupa, unaongea na niaba ya wananchi?
Kwa mujibu wa taarifa za vyombo vya habari vya leo ni kwamba cdm walipewe michango na wananchi wa igunga ili kusaidia gharama uendeshaji wa kesi.Hata hivyo kwa kutumia akili kidogo tu utagundua kuwa cdm wanawadaa watanzania ili kujenga hisia kwa wananchi kuwa cdm inapendwa.
Unawaacha uchi
Kwa mujibu wa taarifa za vyombo vya habari vya leo ni kwamba cdm walipewe michango na wananchi wa igunga ili kusaidia gharama uendeshaji wa kesi.Hata hivyo kwa kutumia akili kidogo tu utagundua kuwa cdm wanawadaa watanzania ili kujenga hisia kwa wananchi kuwa cdm inapendwa.