Mimi ni mwanachuo second year ambaye ckufanikiwa kupata mkopo kwa mwaka jana,hivyo ilinilazimu kuomba tena mwaka huu,lakin cku majina yalipotoka account yangu ilisoma NOT SECURED bt baada ya muda haikuonyesha tena chochote yaani kama nimepata ama cjapata, na nimejaribu kuchunguza nimeona hii ni kwa wote walioomba wakiwa vyuoni yaani continuing students.
Mwenye uelewa na hii kitu, msaada tafadhali.
Mwenye uelewa na hii kitu, msaada tafadhali.