Sema tu huyo ni wewe, kajiuzie mwenyewe mikeka yako,
Utaja frwa wewe. Onhoo. Mimi nimejaribu kuangalia nani ana upepo. Huyu jamaa yuko vzuri. Ndio maana nimemleta hapa. Yaani nipoteze muda kusuka mkeka kutumia watu ntaweza kweli mm.
 
Wazee kuweni makini na ligi hizi ndogo, Kuna clip nimeona Kuna jamaa ligi ya Kenya kakutwa na mchezaji wanapanga matokeo jamaa ameshushiwa kipigo Cha kufa mtu na wenye timu 😃😃
Kiujumla soka la Kenya cyo,,,,, kuna mahali wameamua kupita njia zao
 
Kuna muda unapata kichapo hadi unaona timu zote ni moto.
Jana nimebeti mikeka 9 nimekula 2 nimefanikiwa kurejesha hela yangu tu.

Kama anavyosemaga memba mmoja, kihasibu bado ni hasara.
 
IMG_20240512_101528_332.jpg
 

Attachments

  • IMG_20240512_101621_070.jpg
    IMG_20240512_101621_070.jpg
    73.2 KB · Views: 6
Back
Top Bottom