Excel
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 19,865
- 10,318
Unatoa kwa bei gani hizo?Mpaka tarehe 1 Juni japo zimebaki Gb 2 karibu
Unatoa kwa bei gani hizo?Mpaka tarehe 1 Juni japo zimebaki Gb 2 karibu
Chukua hiyo hela.Wakuu ninataka nijilipue 400k kwa gem mbili direct winn PSG na REal kesho nipeni ushauri maana muhindi kanipiga hii miezi miwili nina loss ya 3m aisee
Psg achana nae.Wakuu ninataka nijilipue 400k kwa gem mbili direct winn PSG na REal kesho nipeni ushauri maana muhindi kanipiga hii miezi miwili nina loss ya 3m aisee
We jamaa yaonesha ujitambui, na usipokuwa makini usije ukatapeliwa . Mtu mzima usikiliza na kuuliza kwanini ili apewe sababu. Sasa nakwambia Chukua iyo stake zidisha na odds afu toa na iyo TAX uone kama inakuja iyo hela taslimu.Wewe ndio ufungue macho!! Sio kila mtu hana pesa kama wewe
Mkuu Muhindi akikupiga ukipanik tuu anakumaliza mazimaaaaWakuu ninataka nijilipue 400k kwa gem mbili direct winn PSG na REal kesho nipeni ushauri maana muhindi kanipiga hii miezi miwili nina loss ya 3m aisee
Bila shaka alifata ushauri tuliompa.
Mdau Natumai maoni yangu yalikufikiaWakuu ninataka nijilipue 400k kwa gem mbili direct winn PSG na REal kesho nipeni ushauri maana muhindi kanipiga hii miezi miwili nina loss ya 3m aisee
imetoa kwa mbinde... Brkane wewe😅😅huu mkeka niliwapa toka jana saa tano usikuView attachment 2983684
Usisahau kunitag ukiweka wa leo mkuu