Troublemaker
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 19,922
- 38,605
Ukiweka kumbuka na ile bahati niliyokwambia ninayo siku hizi
FCSB | 1 - 1 | Viitorul Constanta |
Ukiweka kumbuka na ile bahati niliyokwambia ninayo siku hizi
FCSB | 1 - 1 | Viitorul Constanta |
goli moja odd zilikuwa 2troublemaker uliweka hii? Goli mbili HT
Hata ningezirusha Mkuu, wala usingezifuata.void mbona sijaziona hz ukirusha
Hapana!!! 1-1&2+ maana yake wa nyumbani aongoze kipindi cha kwanza na ashinde mwisho wa siku na yapatikane magoli 2 na kuendelea hizi option ndo zile zinaitwa halftime/full time and 2+ hapa ikitokea halftime wametoka draw mkeka unakuwa umechanika huo.Hiyo1-1&2+ nahisi ashinde wa nyumbani halafu goli zake zianzie mbili yaani 2-1,3-1
Hiyo x-1&2+ nahisi ni mechi iishe draw ambapo wa nyumbani aanzie goli mbili mfano 2-2,3-3
Wakuu inakuwaje Premierbet Ukitoa pesa Wanakataa unakuja ujumbe wa NOT ALLOWED DUE TO PLAYER BLOCK mbona kuingiza iliingia kwa haraka?
msaada please
WOOOOOOOOOOOON TUKUTANE KWA WAKALA. AISEEEEEEEEEEEEEPesa hii TUKUTANE baadaye.View attachment 1195183
safi mkuuWOOOOOOOOOOOON TUKUTANE KWA WAKALA. AISEEEEEEEEEEEEE
atletico ni bingwa mwaka huuTuanze kuwafariji..View attachment 1195266
Hata ningezirusha Mkuu, wala usingezifuata.
Haya Mkuu tupo pamoja, vipi hiyo hapo juu uliruka nayo??ungezirusha m ni mfuasi wako mtiifu, huwa naruka na option zako
Mimi pia Ni mfuasi wako sanaa mpk PMHaya Mkuu tupo pamoja, vipi hiyo hapo juu uliruka nayo??
Duuuh yaani kuna kampuni mpya inaitwa pigabet?Wakuu anaetumia pigabet naomba kujua ukiwithdraw wanachukua muda gani kukuingizia hela yako
Mkeka mwingine ninao kwenda nao ni huu, angalizo, match ya river plate unaweza ukaiweka single.View attachment 1194699
Hizi za inplay huwa nazibahatisha kwa sababu muda mwingi sipo online ila za kustake na kutulia zote naenda nazoHaya Mkuu tupo pamoja, vipi hiyo hapo juu uliruka nayo??
Xhanks mkuuHiyo1-1&2+ nahisi ashinde wa nyumbani halafu goli zake zianzie mbili yaani 2-1,3-1
Hiyo x-1&2+ nahisi ni mechi iishe draw ambapo wa nyumbani aanzie goli mbili mfano 2-2,3-3
Hapana!!! 1-1&2+ maana yake wa nyumbani aongoze kipindi cha kwanza na ashinde mwisho wa siku na yapatikane magoli 2 na kuendelea hizi option ndo zile zinaitwa halftime/full time and 2+ hapa ikitokea halftime wametoka draw mkeka unakuwa umechanika huo.
X-1 & 2+ maana yake kipindi cha kwanza matokeo yawe draw lakini second half inabidi huyo wa nyumbani ashinde na matokeo ya magoli yawe kuanzia 2 nakuendelea so hapa mfano half time wakitoka 0:0 halafu second half matokeo yakawa 1:0 mkeka unakuwa umechanika maana yaahitajika ushindi lakini kuwe na magoli 2 na kuendelea!! Ovrrr