Imeitikaa
Screenshot_2019-03-28-00-43-30-1.jpeg
 
Hii kazi betting ishakua kazi rasmi kama ujasiriamali wowote ule kwanza tunatumia akili mingi sana kuliko baadhi ya shughuli nyinginezo actually sisi ni risk take na always marisk take ndio hufanikiwa kwenye life.

Sasa kama imekua ajira rasmi nawaomba tuunde kiikundi ambao tutakua tunashauriana namna ya kuboresha huu ujasiriamali na kwa kuanza napendekeza tuanzishe group la whatsap kwa wale walio serious ili tutengeneze money.

Alie tayari tunaweza kuanza kutumiana namba ili kuungwa,unaweza kuiweka hapa au ukanitumia imbox,yangu ni 0753282776,karibu tuboreshe maujanja.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu Magroup ya kubeti yapo zaidi 1000 hapa bongo na kote huko unachokiona kinafabyika hapa na huko kwenye magroup kinafanyika hicho hicho yani Hakuna jipya!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom