glass amo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2017
- 3,569
- 4,192
Hizi n akili za usiku. Sio bureBadala yakuuliza nafsi yako mamaako amekula nini leo unauliza Makamu wa Rais? Idiot
Hizi n akili za usiku. Sio bureBadala yakuuliza nafsi yako mamaako amekula nini leo unauliza Makamu wa Rais? Idiot
Mimi nimeomba wanifungie indefinitely, au wanifute kabisaasasa hivi hata mimi siwaelewi
Wao waende hata ikulu, mimi naomba nifutwe au nijuzwe jinsi ya kujitoaNasikia JF yote imeahmia CCM kumuunga mkono JPM
Hahaha shauri yake huyoHizi n akili za usiku. Sio bure
Nasikia JF yote imeahmia CCM kumuunga mkono JPM
Uoga hauna jinsia, naamini jamii forums wamo jinsia zoteinakera kuona mwanaume mwoga
Sina katibakasome ibara ya 47 hadi 50 ya katiba utajua ni muda gani makamu wa rais atashika madaraka
Ingia praystore inapatikanaSina katiba
Vipi sisi wenye maoni dhaifu kuondolewa?!Yes, tulishatoa maoni hoja dhaifu ziwe zinafutwa haraka sana. Asante jf kwa utekelezaji
Sina App , nataka niondolewe mimiIngia praystore inapatikana
Sitaelewa huwa naeleweshwakama una access ya kuingia jf pia katiba ipo mtandao ni kiasi cha kudownload na kuisoma
Hii ni jamii forums, kama hujui wewe mwingine anajua usihofubasi nenda class ukafundishwe sheria huko utaelewa zaidi
haha nimekuelewa mkuu, what you need!Hii ni jamii forums, kama hujui wewe mwingine anajua usihofu
JF wanafuata maelekezo kutoka juu, nimeshafutiwa sana na kufungiwa. JF wameshikwa na woga wa mtoto wa Dikitekta uchwaraMaoni yangu mnayaondoa kila nikiyatoa tatizo ni nyie au CCM?!
Nimeuliza; "Ni lini makamu wa Rais atakaimu nafasi ya Rais?" Mkafuta, muwe mnanijibu basi kabla hamjafuta maoni yangu.
Au nifungieni sio tatizo kabisa kwangu.