DR. MWAKABANJE
JF-Expert Member
- Nov 7, 2012
- 1,976
- 3,124
Husika na kichwa tajwa.
Kama member wa Jf, nasikitika kuona kuwa threads zangu zinafutwa muda mfupi baada ya kuziweka hapa, sijawahi kuandika kwa kutukana yeyote kwa namna yeyote ile na pia sijawahi pewa sababu zozote kwa njia yoyote zinazoeleza sababu za ama kunitaka nirekebishe kasoro ama kusudio la moderators kutaka kuzifuta.
Jana niliweka mada yenye kichwa " waache waandamane ujinga wao...CCM mbele kwa mbele na huku mnaogopa maandamano" ili futwa muda mfupi baadaye, sijajua nini sababu japo kuna threads zipo kwa muda hata tija kwa jamii siioni.
Mapendekezo; ni vyema mods. wakamtaarifu mtoa mada juu ya kasoro zilizopo kwenye threads husika kabla ya kuchukua maamuzi ya kujifutia threads ya member, naamini kufuta na hatua kali karibu na kufunguwa uanachama kwa muda bila mhusika kujua sababu. Ni hayo tu mods nimeona nimevumilia kwa muda sasa.
JF the home of great thinkers and not threads deleting thirsts!
Kama member wa Jf, nasikitika kuona kuwa threads zangu zinafutwa muda mfupi baada ya kuziweka hapa, sijawahi kuandika kwa kutukana yeyote kwa namna yeyote ile na pia sijawahi pewa sababu zozote kwa njia yoyote zinazoeleza sababu za ama kunitaka nirekebishe kasoro ama kusudio la moderators kutaka kuzifuta.
Jana niliweka mada yenye kichwa " waache waandamane ujinga wao...CCM mbele kwa mbele na huku mnaogopa maandamano" ili futwa muda mfupi baadaye, sijajua nini sababu japo kuna threads zipo kwa muda hata tija kwa jamii siioni.
Mapendekezo; ni vyema mods. wakamtaarifu mtoa mada juu ya kasoro zilizopo kwenye threads husika kabla ya kuchukua maamuzi ya kujifutia threads ya member, naamini kufuta na hatua kali karibu na kufunguwa uanachama kwa muda bila mhusika kujua sababu. Ni hayo tu mods nimeona nimevumilia kwa muda sasa.
JF the home of great thinkers and not threads deleting thirsts!