Mifumo ya kidunia ilishaamua mwanaume aishi kwa kukandamizwa na kufanyiwa ulaghai/ udanganyifu

Ndoa hazidumu sababu shida ni kote kote bado jamii ya kike na kiume hazija kubaliana na mfumo wa 50/50. Leo hii unaongea hivyo kesho utakuwa na mtoto wa kiume si ajabu unaye tayari hii ishu ya 50/50 hata yeye ita muumiza tuu si ajabu siyo mtoto tuu hata kaka au ndugu wa karibu wa kiume najua naye ana pitia changamoto juu ya wanawake wa sasa hivi hasa hawa wanao shupalia 50/50.
Kuhusu Agenda zipo na zitaendelea kuwepo, jaribu kuangalia yanayo endelea duniani kwa jicho la 3.

Fikirisha ubongo kidogo
Hapa suala siyo mimi kuwa na mtoto wa kiume au ndugu wa kiume suala hapa ni kujadili uhalisia je ubaya wa 50/50 uko wapi, maana hadi sasa sijaona mahali ulipoongelea ubaya wa 50/50 zaidi ya malalamiko tu juu ya wanawake, by the way kwani walioanzisha the whole agenda in the first place ni jinsia gani
 
Aiseee tunarudi palepale.
Hivi mtu kukupiga ngumi unajiona na mtu kukuvizia akakupiga kisogoni ipi inauma???
Labda nijitahidi kufafanua kwa mara ya mwisho.
Mwanamke kimaumbile huwezi mfananisha na mwanaume,ndio maana mwanaume anaweza tembea kifua wazi ila je mwanamke anaweza?
Kwahiyo mwanamke akichelewa kuolewa kesha akasemwa ni maumbile ndio yako hivyo.
Kuhusu ndoa kuvunjika tusidanganyane wanaume siku hizi tumeshapewa jina la wanyanyasaji.
Tukija katika suala la mtoto wa nje ya ndoa nadhani unafahamu kati ya baba wa kambo na mama wa kambo nani ana afadhali hilo sitaki kulizungumza.
Kuhusu hao masingle mother hukuwahi kukutana nao nadhani ila ungekutana nao nahisi ungeelewa,kwanza fuatilia sababu za wanawake kuwa masingle mother ni zipi utaelewa lawama zitaenda wapi.
Pia wanaume sie mambo yetu zoelefu yani hatuna mambo mengi pia huwezi fananisha athari ya matendo ya mwanamke na ya mwanaume.
Hivi kupigwa na kumsingizia mtu kesi ya ulawiti hivi vinafanana??

Mwanaume hajawahi play victim,mwanaume akilalamika ana sababu ya kulalamika.Ila mwanamke anaweza akaamua kukufanyia mambo ambayo ukijiuliza awali yake nini hupati tena kwa kutumia mgongo wa sheria inayomlinda.Hiyo ndio ku play victim.
Na siku hizi wamejisahau kabisa wao ni kina nani.
Ila tutawanyo
Hivi hapa tunajadili uhalisia au mawazo yako tu hebu fafanua kwanza ili nijue nadeal na mtu wa aina gani, yani haiwezekani bila aibu unasema kabisa eti makosa ya mwanaume yanajulikana, na hayaumizi kama ya mwanamke

Wewe ni nani wa kumuamulia au kumpangia mtu kiasi cha maumivu anayopata kutokana na makosa uliyomfanyia, yani umemkosea mtu halafu unasema hilo kosa lako ni dogo sasa hilo kosa linakuwa dogo kwa kipimo cha nani cha kwako wewe mkosaji au cha mkosewaji, asee hii sijawahi kuona hili nalo ni ajabu lingine la dunia dooh

Vipi na wanawake nao wakiamua kusema kwamba, makosa yao ni madogo kuliko ya wanaume nao watakuwa sahihi kwa upande wao siyo, halafu kuhusu suala la kutembea kifua wazi umetumia vigezo gani kusema kwamba kutembea kifua wazi ndio ishara ya kuwa superior

Zamani kabla ya wazungu kutuletea hizi nguo hata wanawake walikuwa wanatembea vifua wazi matiti yako nje, je hiyo ilimfanya mwanamke kuwa sawa na mwanaume katika namna yoyote ile, unaweza ukafafanua hapo

Bado sijaona uhusiano wa mwanamke kuchelewa kuolewa na maumbile yake, unaweza kufafanua maumbile ya mwanamke, yanahusiana nini na yeye kuwahi au kuchelewa kuolewa

Hapo uliposema kwamba ukiona mwanaume analalamika ujue ana sababu, hiyo ipo hivyo hata kwa wanawake wanapolalamika nao huwa wana sababu ila kama nilivyosema, huwezi kumuamulia au kumpangia mtu sababu ya kukulalamikia ikiwa wewe ndiye uliyemkosea huo ni umajnuni

Kuhusu suala la baba wa kambo na mama wa kambo hilo ni tabia za watu binafsi, na lina sababu zake tofauti kabisa hilo haliko kisheria, na wala hakuna sheria inayowatetea wamama wa kambo wanaotesa watoto
 
Hivi hapa tunajadili uhalisia au mawazo yako tu hebu fafanua kwanza ili nijue nadeal na mtu wa aina gani, yani haiwezekani bila aibu unasema kabisa eti makosa ya mwanaume yanajulikana, na hayaumizi kama ya mwanamke

Wewe ni nani wa kumuamulia au kumpangia mtu kiasi cha maumivu anayopata kutokana na makosa uliyomfanyia, yani umemkosea mtu halafu unasema hilo kosa lako ni dogo sasa hilo kosa linakuwa dogo kwa kipimo cha nani cha kwako wewe mkosaji au cha mkosewaji, asee hii sijawahi kuona hili nalo ni ajabu lingine la dunia dooh

Vipi na wanawake nao wakiamua kusema kwamba, makosa yao ni madogo kuliko ya wanaume nao watakuwa sahihi kwa upande wao siyo, halafu kuhusu suala la kutembea kifua wazi umetumia vigezo gani kusema kwamba kutembea kifua wazi ndio ishara ya kuwa superior

Zamani kabla ya wazungu kutuletea hizi nguo hata wanawake walikuwa wanatembea vifua wazi matiti yako nje, je hiyo ilimfanya mwanamke kuwa sawa na mwanaume katika namna yoyote ile, unaweza ukafafanua hapo

Bado sijaona uhusiano wa mwanamke kuchelewa kuolewa na maumbile yake, unaweza kufafanua maumbile ya mwanamke, yanahusiana nini na yeye kuwahi au kuchelewa kuolewa

Hapo uliposema kwamba ukiona mwanaume analalamika ujue ana sababu, hiyo ipo hivyo hata kwa wanawake wanapolalamika nao huwa wana sababu ila kama nilivyosema, huwezi kumuamulia au kumpangia mtu sababu ya kukulalamikia ikiwa wewe ndiye uliyemkosea huo ni umajnuni

Kuhusu suala la baba wa kambo na mama wa kambo hilo ni tabia za watu binafsi, na lina sababu zake tofauti kabisa hilo haliko kisheria, na wala hakuna sheria inayowatetea wamama wa kambo wanaotesa watoto
Aisee una mboyoyo nyingi sana.
Embu fikirisha ubongo kama jamaa alivyokuambia hata kidocho.
Ngojea nikuulize maswali kadhaa;
1)Kumpiga mtu na kusingiziwa umembaka mtu/umemlawiti mtu vinafanana??
2)Asilimia ya baba wa kambo watesi na mama wakambo watesi ipi kubwa?
3)Mke wa Ashraf Hakimi alikua na sababu gani ya kudai talaka na kutaka mgawanyo wa mali??

Naanza kuhisi naongea na mtu ambae hana exposure na mambo mengi.
Unawezaje leta uwiano kati ya mwanamke na mwanaume kulalamika??
Unaweza ukanipa sababu ya wale wanawake wanaosingizia wame zao ubakaji/ulawiti na upigaji kesha kudai fidia za uongo??
Kwani nimesema nampangia mtu kosa kuwa ni dogo au ni kubwa??
Tuchukulie una watoto,wakaanza kuonesha tabia tofauti,mmoja mkorofi anapiga sana wenzake ila mwingine ana tabia ya kuchezea wenzake makalio na michezo michafu ya kingono,jibu kama MWANAUME NA MZAZI lipi kosa kubwa hapa la kulitazamia na kuhangaika kumnasua mtoto!!??
Au hayo yanafanana!!???
HUNA EXPOSURE NARUDIA HUNA EXPOSURE.

Bro kipindi chetu kuna mambo mengi yalikua yanafanyika ni nje na ustaarabu,kwa akili ya kawaida ni busara mwanamke kuwa kifua wazi??
Embu nijibu hapo.
Tulikua tunakeketana je ni sawa kisa ni mila zetu za zamani??
Pia nimeongea kikubwa umeshindwa kuing'amua hiyo kauli.
Hivi mwanamke ana kikomo cha miaka mingapi mpaka yeye ashindwe kuzalisha??
Hivi kikawaida heshima ya mwanaume na mwanamke ipi rahisi kuanguka kutokana na sababu za maumbile??
Aiseeee!!!!
Embu usilazimishe kuweka usawa mkuu ilhali kuna mambo yamepishana mizani hapa.
Kuhusu mama na baba wa kambo kafuatilie tena asilimia kubwa wapi kuna tatizo.
Fuatilia asilimia nadhani nikitumia neno asilimia utaelewa.
 
Si kila mtu anaamini katika vitabu vya dini vipi kama hivyo vitabu navyo vilitungwa tu na wanaume kwa maslahi yao binafsi, mnaposema mwanaume anatakiwa kumtawala mwanamke mnatakiwa mtoe sababu zinazoeleweka kuwa kwanini iwe hivyo na si kinyume chake, siyo watu wanajiamulia tu kwamba fulani amtawale fulani halafu wanategemea huyo anayeambiwa atawaliwe naye akubali kirahisi tu
Kwahiyo nani anatakiwa amtawale mwenzie? Nani aliyemuoa mwenzie?
 
Okay kwahiyo wewe ulikuwa unashauri nini mkuu ulikuwa unataka wanawake waendelee kuvumilia kunyanyaswa au ulikuwa unataka watumie njia gani, ninyi mnaosema 50/50 ina malengo mabaya ndio mnaopotosha kwa sababu 50/50 lengo lake si mwanamke awe juu ya mwanaume bali mwanamke awe sawa na mwanaume katika nyanja mbalimbali na si lazima kimaumbile, lengo lake siyo eti mwanamke amtawale mwanaume bali kila jinsia ijitawale yenyewe kusiwe na wa kumtawala mwenzie bali washirikiane na wasaidiane
Line ya mwisho umesema washirikiane na wasaidiane, hebu niambie mnatusaidia nini cha maana kwenye ndoa?
 
Walitoa elimu lakini hawakuwa serious ku take actions. Hii ishu ya 50/50 ndiyo wako mauo serious kupita maelezo lengo lao kuu ni kuhakikisha jamii ina badilika hakuna mambo ya ndoa, watu watengane na wasioane mwisho wa siku mashoga na wasagaji wazaliane.
Huwezi ona mtoto wa kiume kalelewa na mama pekee single parent alafu huyo mtoto eti awe MWANAUME NGANGARI lazima tuu atakuwa ba vitabia tabia vya kike sawa siyo wote ila wengi wao, hata huyo mtoto wa kike akilelewa na mama pekee mimi siwezi oa sababu wengi wao wanakuwa wamejazwa chuki juu ya wanaume na kuaminishwa Mwanaume akileta shida yoyote achana naye haraka sana hata wewe unaweza ishi mwenyewe bila yeye sasa mwisho wa siku unakuta wasichana wengine hata kama mwanaume hana shida au shida ndogondogo tuu za kuvumiliana yeye ata singizia kutaka kuachana sababu ni kweli amesha jazwa maneno huko nyuma.

Kiufupi 50/50 ni AGENDA ya kishetani we fanya research uone madhara ya 50/50 na mfumo dume saaa kote kuna madhara lakini wapi kuna madhara makubwa zaidi.
Una akili kishenzi mwanangu.
 
Mkuu mimi naona hii dhana ya kwamba 50/50 ni mfumo wa kishetani nayo ni propaganda kama propaganda nyingine tu, kwani tangu 50/50 imeanzishwa hakuna ndoa zinazodumu na kama kweli ndoa hakuna je ni jinsia gani iliyoanzisha kampeni ya kukataa ndoa na kwanini, tusije tukawa tunalaumu kumbe shida siyo mfumo bali shida ni watu fulani tu ambao kwa sababu zisizo za msingi hawataki kukubaliana na mfumo mwingine na mabadiliko yake
Timu kataa ndoa ni kwasababu ya upumbavu wa wanawake.
 
Usihofu, nature itajishape tu kubalance mambo, kila kitu kina matokeo yake.

Mfano, sasa hivi kuna idadi ya vijana wapo tu wanamaliza vyuo hawana kazi. Kazi zinashikwa na mabinti. Baada ya muda jamii inakuwa na wanaume masikini na wanawake wenye uwezo kiuchumi. Nini kinafata?

Uhaba wa wanaume wenye uwezo wa kumtunza mwanamke, uwepo wa vijana mlenda mlenda na legelege na tegemezi, ongezeko la single mothers, jamii itaanza kuona umuhimu wa uwepo wa wanaume.

Ulinzi wa mtoto wa kiume utaongezeka. Semina za malezi ya mtoto wa kiume na kelele za muandae baba ajae zinashamiri, ajira zitamtazama mwanaume n.k n.k Ni suala la muda tu.
Umeandika ukweli mtupu mkuu
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Nani anayeamua kwamba maumivu ya kuolewa ndio makubwa kuliko ya kuoa
Si tunaona wanawake mnavyojazana kwa manabii kuombewa ili muolewe, uliwahi kuona wanaume tunaombewa tuoe? Mwanaume akiamua kuwa mwaka huu anaoa itatokea na mke anapatikana, mwanamke anaweza kuamua mwaka huu aolewe na ikatokea? Mpaka hapo ni wakina nani wanaotesekea kuitafuta ndoa? Namshukuru Mungu kwa kuniumba mwanaume, lasivyo namimi pengine ningekuwa nakanyaga mafuta kwa manabii.
 
Mkuu nachoweza kusema ni kuwa ukiamua kuishi na hawa viumbe fuata kanuni zifuatazo;
1)Kaa mguu ndani mguu nje.
2)Usiwe muwazi kupitiliza.
3)Jua sheria za mirathi na umiliki wa mali(maana hapa patakuliza sana ukifanya mchezo).
4)Nenda nao vile ambavyo wanaenda na wewe, ila usibishane nao.
5)Msome sana na umjue reaction zake na wewe uchukue hatua kulingana na reaction zake.

6)Mwisho kuwa sana mtu wa kuweka kumbukumbu ili umdhibiti kupitia hizo kumbukumbu(proof/evidence) maana hawachelewi kukuundia zengwe ukateketea pasi na kujua unajiteteaje.
Ok sawa, kuna jamaa nimepiga nae story leo, mke wake alitaka kumuua, alimkodia majambazi.
 
Hivi hapa tunajadili uhalisia au mawazo yako tu hebu fafanua kwanza ili nijue nadeal na mtu wa aina gani, yani haiwezekani bila aibu unasema kabisa eti makosa ya mwanaume yanajulikana, na hayaumizi kama ya mwanamke

Wewe ni nani wa kumuamulia au kumpangia mtu kiasi cha maumivu anayopata kutokana na makosa uliyomfanyia, yani umemkosea mtu halafu unasema hilo kosa lako ni dogo sasa hilo kosa linakuwa dogo kwa kipimo cha nani cha kwako wewe mkosaji au cha mkosewaji, asee hii sijawahi kuona hili nalo ni ajabu lingine la dunia dooh

Vipi na wanawake nao wakiamua kusema kwamba, makosa yao ni madogo kuliko ya wanaume nao watakuwa sahihi kwa upande wao siyo, halafu kuhusu suala la kutembea kifua wazi umetumia vigezo gani kusema kwamba kutembea kifua wazi ndio ishara ya kuwa superior

Zamani kabla ya wazungu kutuletea hizi nguo hata wanawake walikuwa wanatembea vifua wazi matiti yako nje, je hiyo ilimfanya mwanamke kuwa sawa na mwanaume katika namna yoyote ile, unaweza ukafafanua hapo

Bado sijaona uhusiano wa mwanamke kuchelewa kuolewa na maumbile yake, unaweza kufafanua maumbile ya mwanamke, yanahusiana nini na yeye kuwahi au kuchelewa kuolewa

Hapo uliposema kwamba ukiona mwanaume analalamika ujue ana sababu, hiyo ipo hivyo hata kwa wanawake wanapolalamika nao huwa wana sababu ila kama nilivyosema, huwezi kumuamulia au kumpangia mtu sababu ya kukulalamikia ikiwa wewe ndiye uliyemkosea huo ni umajnuni

Kuhusu suala la baba wa kambo na mama wa kambo hilo ni tabia za watu binafsi, na lina sababu zake tofauti kabisa hilo haliko kisheria, na wala hakuna sheria inayowatetea wamama wa kambo wanaotesa watoto
Yaani hata hujamuelewa aliyeandika, mwanamke kushindwa kutembea kifua wazi alimaanisha maumbile ya mwanamke ni tofauti na ya mwanaume, mwanamke anakoma kuzaa akiwa na miaka 45-50, je akichelewq kuolewa huoni hatopata mtoto? Bado hujaona uhusiano wa kimaumbile wa mwanamke na kuchelewa kuolewa? Na kuhusu mama wa kambo mbona umefukia fukia? Kwa kesi ulizozisikia kati ya baba wa kambo na mama wa kambo nani anaongoza kutesa watoto? Yaani kama hata wanawake hampendani wenyewe kwa wenyewe, mtatupenda sisi wanaume? Mliongea Nini na shetani kule Eden?
 
Pole sana, ss hivi mambo yamebadilika km enzi za utumwa, zilikuja zikapita kila mtu ana uhuru wake..!!!
 
Tatizo mkiishiwa hoja mnakimbilia kusema watu wabishi na wanapenda ligi, kwani niliyoyasema ni uongo je wanaume wengi hawatembei na wadada wa kazi kwa kisingizio hicho, au mnataka tuache kusema ukweli tukubaliane tu na lawama zote wanazotupiwa wanawake hata za uwongo
Suala la kutembea na dada wa kazi ilo ni binafsi sana. Halafu hakuna sehemu nimesema kwamba wanaume hawana makosa. Nimeongelea jinsi mifumo ilivyosukwa kumkandamiza mwanaume.
 
Ok sawa, kuna jamaa nimepiga nae story leo, mke wake alitaka kumuua, alimkodia majambazi.
Ndio namwambia jamaa hapo wanawake hujitegeza sana na ukiuliza sababu ya yeye kumtumia mumewe jambazi sidhani kama atakupa jibu linaloeleweka.
Hawa viumbe mtihani sana.
 
Wala hakuna anayewadhalilisha ila ni inferiority complex yenu au naweza kusema mnajidhalilisha wenyewe tu yani haiwezekani kosa ni lako halafu unayemkosea akichoka kuvumilia unamlaumu, kama unajua kusoma alama za nyakati basi utagundua njia wanayoitumia wanawake kujibu mapigo ni kutafuta namna ya kuwa na furaha bila ndoa, sasa ninyi mtakapojibu mapigo sijajua mtakuwa mnamkomoa nani hapo maana zile fimbo zote mlizokuwa mnawachapia wanawake taratibu wameanza kuzikata
Wala hakuna anayewadhalilisha ila ni inferiority complex yenu au naweza kusema mnajidhalilisha wenyewe tu yani haiwezekani kosa ni lako halafu unayemkosea akichoka kuvumilia unamlaumu, kama unajua kusoma alama za nyakati basi utagundua njia wanayoitumia wanawake kujibu mapigo ni kutafuta namna ya kuwa na furaha bila ndoa, sasa ninyi mtakapojibu mapigo sijajua mtakuwa mnamkomoa nani hapo maana zile fimbo zote mlizokuwa mnawachapia wanawake taratibu wameanza kuzikata
Mkuu katika hoja zako kuna kitu unajichanganya kidogo. Hakuna popote niliposema wanaume hawana makosa. Kama binadamu na mwanaume pia ana makosa hatuwezi kuanza kueleza makosa yote yanayofanywa na mwanaume na mwanamke. Mjadala unahusu namna mifumo inavyomkandamiza mwanaume na mwanamke anatumia nafasi iyo kutimiza malengo maovu. Ni kweli kuna wanaume wakatili, wabakaji, wanyanyasaji n.k lakini mada haihusiani na hayo
 
Back
Top Bottom