Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,783
- 66,962
D.B Cooper hana mfano wake.Hivi tukio lile la DB COOPER na hili la SPAGGRIAR lipi kali sana?
D.B Cooper hana mfano wake.Hivi tukio lile la DB COOPER na hili la SPAGGRIAR lipi kali sana?
Shukrani sana Mkuu..I like you stories, very impressive, can't get tired, yaaani kila page ikiisha natamani kuendelea zaidi, hongera sana mkuu, THE BOLD.
Nadhani hizi mbili haujazisoma bado:hongera sana muheshimiwa THE BOLD, wanaadamu kama albert spaggiari nahisi kila siku wanapungua,kiukweli sijidharau ila ningelichukua miaka 100 kutengeneza plani kama ya huyo jamaa,hii ni makala yako ya nne mimi kusoma tokea nijiunge jamiiforums ikiwemo ile ya D.B COOPER,na leonardo davinci na pamoja na ile ya mfanya biashara ya madawa ya kulevya.je munaweza kunipa link zenye kuhusiana na chambuzi kama hizi zilizoanzishwa
Na humu tunao ila wenyewe wameishia kujiita majina tu hatujasikia umahiri wao wowote katika nyanja hiyo.Binadamu kama hawa kwa kizazi chetu kupatika ni shida
Mimi kila ninayejaribu kumuhadithia hataki kuamini kuwa Cooper alikuwa binaadamu.Ata mm mpaka sasa huwa najiuluza hiv huyo cooper alikuwa binadam kwel? Yaani akuonekana kabisa Dah!
Dunia ya Mungu ila vitu vya mzungu...achana na hyo kitu nyeupe aiseeWakati bongo zetu zinawaza kuandika tungo za kiwaki na kipuzi kama "akunaga ushemeji tunakula.." Kuna watu bongo zao walikua na wanazitumia kwa vitu ya mantiki.. Mda mwngine waga naweka pemben chuki zangu juu ya hawa watu weupe, wamejaliwa bongo zilizoshiba malifa kiukwel
Shukrani Mkuu!Uko vizuri mkuu.....
Big up.....!!!....what next...
Shukrani Mkuu..Mkuu simulizi zako ni zakipekee sana.
Nipo Mkuu..Mkuu The Bold habari,umepotea kweli!
Sijaona bandiko MkuuNipo Mkuu..
Hii umeisoma Plata O Plomo: Ulimwengu Wa Siri Kiganjani Kwa Binadamu MmojaSijaona bandiko Mkuu