mimi nilianza kumwamkia shikamoo kwenye issue ya Mbasha na Gwajima!Ama kweli usimdharau usiyemjua...
Hii pia imenifanya nitafakari 'vita' kubwa iliyokuwepo baina yetu (author The bold & I) mwaka jana.
Siamini kama ungekuja kuwa mtu ninayeheshimu masimulizi yake namna hii.
Nasikitika sikuona uwezo wako mkubwa wa akili kwa kipindi kile...
Leo hii wewe ni mmoja kati ya watu ninaowaheshimu sana humu JF.
Hivyo basi....mkasa wa Spaggiari sio tu kwamba umeniburudisha,umenifunza pia.
Heshima kwako The bold
uwe unanitag na mimi pls!Nimeweka siku nyingi nimekutag sijui kwanini notification hujaipata..
Mimi enzi hizo alikuwa 'adui' yangu wala nilikuwa simfuatilii kabisa.mimi nilianza kumwamkia shikamoo kwenye issue ya Mbasha na Gwajima!
Bila shaka Mkuu..uwe unanitag na mimi pls!
Hahaha!! Kwa kweli umekosa Mengi.. Ila mimi licha ya ule 'uadui' nilikuwa nafuatilia sana post zakoMimi enzi hizo alikuwa 'adui' yangu wala nilikuwa simfuatilii kabisa.
Nimekosa mengi basi
Nimeyafuta makosa yangu...nimetumia takribani masaa mawili kufuatilia yale niliyoyakosa.Hahaha!! Kwa kweli umekosa Mengi.. Ila mimi licha ya ule 'uadui' nilikuwa nafuatilia sana post zako
Nimeyafuta makosa yangu...nimetumia takribani masaa mawili kufuatilia yale niliyoyakosa.
Moja wapo ni kuhusu matapeli wa5 waliowahi kutokea Tzee.
Ila mbona unapenda story za kitapeli sana?
Basi tunatofautiana...mimi ukishakuwa 'adui' yangu kama vile sikufuatilii kwa lolote.
Itabidi nibadilike aiseeee .
Sitaki kuamini kama huu ni upako...you are
Ila sijui kwanini napenda stori za dizaini hiyo! Sijui nina 'upako' wa ushushushu
! I am ?? What's that hahahaSitaki kuamini kama huu ni upako...you are
Honestly hii ndio sababu iliyonifanya 'nijirudi' kwako.
Ktk hili tuko na the same interest.
Wote walikuwa "Wezi wa Daraja la Kwanza".Hivi tukio lile la DB COOPER na hili la SPAGGRIAR lipi kali sana?
Hahahaha!! Hatari sana shehe usijaribu..jamani natafuta partners,dili moja tu pasipo silaha wala ukatili
Nashukuru sana Mkuu..Niliusoma dakika ya kwanza kabisa baada ya kupostiwa ila sikuto shukrani
Shukrani sana mkuu siku hio nilikua na stresa ilikata ghafla
Nashukuru Mkuu..Tisha sana huyu jamaa