Inakuwaje nchi kuwa na jeshi (millitary base) kwenye nchi nyingine?

Doctor Ngariba

JF-Expert Member
Jan 28, 2020
480
765
Hi Kings and Queens.
Nimejiuliza swali hili baada ya kusikia nchi kama Ufaransa na Marekani kuwa na majeshi katika ardhi za nchi nyingine.
Naomba kujifunza kwa kujibiwa maswali haya:-

1. Hawa mabeberu wanaanzisha kambi zao kibabe kwa maana bila ridhaa ya wananchi au wanapewa ardhi na wenye nchi zao?

2. Na kama wanapewa kwa ridhaa ya wenye nchi, je hio ardhi yenye base yao inakuwa kwenye umiliki wa mabeberu au inakuwa imekodishwa kwa muda tu.

3. Kwa nini wanaanzisha au kuweka majeshi yao kwenye ardhi za kigeni?

4. Zipi faida au athari zipatikanazo kwa nchi mwenyeji kukaribisha vikosi vya kigeni katika ardhi yake.

Karibuni wajuvi tujifunze.
 
1.hua wanaanzisha kambi kwa ridhaa kama Americant pale qatar nakwengineko pia hua wanaanzisha kinguvu wakiamua kama Americant pale Syria


2.sijui kama hua wanakodishwa ama laa ila hua kuna na muda waku renew uwepi wake kama walivyo fanya qatar mwaka jana kwa Americant

3.sababu zakueka hua nyingi ikiwemo zakisiasa ama kiuchumi au madai kwamba wanajilinda na tishio la nchi fulani ama wanamlinda muhusika walomuekea kambi

4.faida unahakikishiwa usalama maana mataifa yanayoeka kambi hua yananguvu kisiasa kijeshi kiuchumi mfano kama Syria aliposaidiwa na Russia dhidi ya waasi walotaka kumpindua hasara ni kwamba ikitokea vita akapigwa huyo mueka kambi hapo kwako nawewe maumivu yatakufikia


Maoni yangu
 
Inategemea na nchi, kama ni "yakinyonge sana" tunatumia nguvu, hakuna cha ridhaa kwa wanyonge hata kama makaratasi yakisema hivyo. Mfano Marekani na Ghana

Kama ni mnyonge ila una umuhimu kidogo plus una viongozi wanaoweza kucheza karata za siasa za dunia (Geopolitics) inaweza ikawa win win, Mf Marekani na Saudi Arabia

Kama ni mnyonge ila mtata, tunakupiga bila huruma, mfano Iraq au Syria

Kama mkubwa mwenzetu tunatumia wanyonge wa karibu yako (proxy) mfano Ukraine

Kwa nchi kama Senegal au malawi huko tukitaka tunajenga bila kuwambia
 
Inategemea na nchi, kama ni "yakinyonge sana" tunatumia nguvu, hakuna cha ridhaa kwa wanyonge hata kama makaratasi yakisema hivyo. Mfano Marekani na Ghana

Kama ni mnyonge ila una umuhimu kidogo plus una viongozi wanaoweza kucheza karata za siasa za dunia (Geopolitics) inaweza ikawa win win, Mf Marekani na Saudi Arabia

Kama ni mnyonge ila mtata, tunakupiga bila huruma, mfano Iraq au Syria

Kama mkubwa mwenzetu tunatumia wanyonge wa karibu yako (proxy) mfano Ukraine

Kwa nchi kama Senegal au malawi huko tukitaka tunajenga bila kuwambia
Kujenga bila kutoa taarifa weeuuu😂😂😂😂ila undava n mtamm na ujue kuutumia.
 
Inategemea na nchi, kama ni "yakinyonge sana" tunatumia nguvu, hakuna cha ridhaa kwa wanyonge hata kama makaratasi yakisema hivyo. Mfano Marekani na Ghana

Kama ni mnyonge ila una umuhimu kidogo plus una viongozi wanaoweza kucheza karata za siasa za dunia (Geopolitics) inaweza ikawa win win, Mf Marekani na Saudi Arabia

Kama ni mnyonge ila mtata, tunakupiga bila huruma, mfano Iraq au Syria

Kama mkubwa mwenzetu tunatumia wanyonge wa karibu yako (proxy) mfano Ukraine

Kwa nchi kama Senegal au malawi huko tukitaka tunajenga bila kuwambia
Ila uliingiaa anga zetu Vietnam tukakuchapa vilivyo ukatoka mkuku bila kugeuka nyuma
Na Somalia pia
na Afghanistani hutaki hata kuja kututembelea
 
Inategemea na nchi, kama ni "yakinyonge sana" tunatumia nguvu, hakuna cha ridhaa kwa wanyonge hata kama makaratasi yakisema hivyo. Mfano Marekani na Ghana

Kama ni mnyonge ila una umuhimu kidogo plus una viongozi wanaoweza kucheza karata za siasa za dunia (Geopolitics) inaweza ikawa win win, Mf Marekani na Saudi Arabia

Kama ni mnyonge ila mtata, tunakupiga bila huruma, mfano Iraq au Syria

Kama mkubwa mwenzetu tunatumia wanyonge wa karibu yako (proxy) mfano Ukraine

Kwa nchi kama Senegal au malawi huko tukitaka tunajenga bila kuwambia
Hiyo ya mwsho kwa kwl ni kicheko...unaamka asubuh unakuta wazambuli washaweka bikon kabisa na huwaambii kitu oote
 
Hiyo ya mwsho kwa kwl ni kicheko...unaamka asubuh unakuta wazambuli washaweka bikon kabisa na huwaambii kitu oote
Mataifa makubwa yanatenga budget nzuri kwenye jeshi kukwepa dharau kama hizi
Huko Ghana, Wamarekani wanauwezo wa kutumia uwanja wa ndege wa Accra bila kutoa taarifa kwa serikali ya Ghana, Wanajeshi wa Marekani wanaingia ghana bila passports na rais wa Ghana haruhusiwi kuingia kambi ya jeshi la Marekani bila ruhusa (Hio kambi ipo ndani ya Ghana)

Kuna kipindi bunge la Iraq lilipitisha sheria ya kutaka Marekani waondoe wanajeshi wao, Wamarekani hata kuwajibu hawakuwajibu mpaka leo wapo
 
Ila uliingiaa anga zetu Vietnam tukakuchapa vilivyo ukatoka mkuku bila kugeuka nyuma
Na Somalia pia
na Afghanistani hutaki hata kuja kututembelea
Mi sio Pro America, nimetumia Marekani kama mfano cause ndio nchi ya kwanza kwa kuwa na base nyingi za kijeshi nje ya nchi (bases 800)

Ya pili China ina base moja.

Pia Marekani pamoja na fujo zao zote haijawahi ku face existential threat yoyote, kwa maneno mengine jeshi la Marekani halijawahi kupimwa sawasawa kwenye uwanja wa vita kama Urusi au Ujerumani

Advantage kubwa aliyonayo Marekani ni kwamba ni master wa Logistics, anauwezo wa ku supply chakula na silaha kwa wanajeshi wake sehemu yoyote ile duniani kwa mda mfupi bila kuishiwa
Wanajeshi wa Ujerumani wakati wa vita ya pili ya dunia walishanga kukuta keki kwenye magari ya wanajeshi wa Marekani, keki zilitoka Marekani usiku wa jana na zikafika

Ila naona mda si mrefu itazidiwa na China kwenye Logistics
 
Mataifa makubwa yanatenga budget nzuri kwenye jeshi kukwepa dharau kama hizi
Huko Ghana, Wamarekani wanauwezo wa kutumia uwanja wa ndege wa Accra bila kutoa taarifa kwa serikali ya Ghana, Wanajeshi wa Marekani wanaingia ghana bila passports na rais wa Ghana haruhusiwi kuingia kambi ya jeshi la Marekani bila ruhusa (Hio kambi ipo ndani ya Ghana)

Kuna kipindi bunge la Iraq lilipitisha sheria ya kutaka Marekani waondoe wanajeshi wao, Wamarekani hata kuwajibu hawakuwajibu mpaka leo wapo
Dharau ya kiwango Cha juu sanaa...unanikalia kimabavu kweny ardh yangu na hata barua hujibu....ila Hawa wenzetu wametuacha sanà mbali...hiii yote ni umaskin
 
Inategemea na nchi, kama ni "yakinyonge sana" tunatumia nguvu, hakuna cha ridhaa kwa wanyonge hata kama makaratasi yakisema hivyo. Mfano Marekani na Ghana

Kama ni mnyonge ila una umuhimu kidogo plus una viongozi wanaoweza kucheza karata za siasa za dunia (Geopolitics) inaweza ikawa win win, Mf Marekani na Saudi Arabia

Kama ni mnyonge ila mtata, tunakupiga bila huruma, mfano Iraq au Syria

Kama mkubwa mwenzetu tunatumia wanyonge wa karibu yako (proxy) mfano Ukraine

Kwa nchi kama Senegal au malawi huko tukitaka tunajenga bila kuwambia
We jamaa wewe
Eti malawi tunaweka mzigo bila taarifa hahaa
 
Kama hutaki wakupangie cha kufanya na wewe ni masikini, fanya maamuzi magumu ya kuwashindisha raia njaa halafu pesa peleka jeshini, lengo liwe ni silaha za Nyuklia zitakazofika na kwao bila kuzuilika kwa maneno mengine vaa mabomu

Kama huwezi, basi usiingilie masilahi yao, na wakitaka chako jitahidi ku negotiate nao uambulie hata 10%

Au kubali kuwa vassal state, wakutumie mfano Rwanda na Uganda
Huku tuna bahati Nyerere alikua mjanja
Dharau ya kiwango Cha juu sanaa...unanikalia kimabavu kweny ardh yangu na hata barua hujibu....ila Hawa wenzetu wametuacha sanà mbali...hiii yote ni umaskini
 
Kama hutaki wakupangie cha kufanya na wewe ni masikini, fanya maamuzi magumu ya kuwashindisha raia njaa halafu pesa peleka jeshini, lengo liwe ni silaha za Nyuklia zitakazofika na kwao bila kuzuilika kwa maneno mengine vaa mabomu

Kama huwezi, basi usiingilie masilahi yao, na wakitaka chako jitahidi ku negotiate nao uambulie hata 10%

Au kubali kuwa vassal state, wakutumie mfano Rwanda na Uganda
Huku tuna bahati Nyerere alikua mjanja

Hapo kwa nyerere, shusha nondo kidogo, aliweza nini na aliwezaje??
 
Inategemea na nchi, kama ni "yakinyonge sana" tunatumia nguvu, hakuna cha ridhaa kwa wanyonge hata kama makaratasi yakisema hivyo. Mfano Marekani na Ghana

Kama ni mnyonge ila una umuhimu kidogo plus una viongozi wanaoweza kucheza karata za siasa za dunia (Geopolitics) inaweza ikawa win win, Mf Marekani na Saudi Arabia

Kama ni mnyonge ila mtata, tunakupiga bila huruma, mfano Iraq au Syria

Kama mkubwa mwenzetu tunatumia wanyonge wa karibu yako (proxy) mfano Ukraine

Kwa nchi kama Senegal au malawi huko tukitaka tunajenga bila kuwambia

Dah! hi dharau sasa 'mkitaka mnajenga' base bila kumuambia mwenyewe?
 
Back
Top Bottom