Miezi 6 waliyopewa Tanesco itaisha masika ya March 2024

Mtanke

JF-Expert Member
Nov 19, 2011
715
1,774
Ukisikia usanii ndio huu sasa. Umeme ni wa mgao kwasababu inasemekana watu washafungulia maji huko mtera japo Mama na Tanesco yake wanadai ni service ya mitambo.

Mama kawapa Tanesco miezi 6, kwa hesabu zangu miezi 6 ikiisha na mvua zitakuwa zinanyesha so hakutakuwa na maajabu yoyote maana mabwawa yatakuwa yamejaa. Usanii ni mwingi.

Pia Bwawa la Mwl Nyerere litakuwa kazini wakati huo
 
" Wanaiomba mvua kunyesha sie bado tunakesha, na wanangu saka mapesa mwaka huu tutawakomesha " Simba in Emeen chorus.
😳😳😳😳
 
Hiyo service ya Mitambo haiishi tu? Kuna kipindi fulani mwaka jana kama sikosei aliyekuwa Waziri wa Nishati January Makamba alisema hivi hivi, hiyo service gani ambayo inatumia muda mrefu kiasi hiki?
 
Ukisikia usanii ndio huu sasa. Umeme ni wa mgao kwasababu inasemekana watu washafungulia maji huko mtera japo Mama na Tanesco yake wanadai ni service ya mitambo.

Mama kawapa Tanesco miezi 6, kwa hesabu zangu miezi 6 ikiisha na mvua zitakuwa zinanyesha so hakutakuwa na maajabu yoyote maana mabwawa yatakuwa yamejaa. Usanii ni mwingi.

Pia Bwawa la Mwl Nyerere litakuwa kazini wakati huo
Na umesema ukweli bila chenga mkuu!
100% true.
 
Hiyo service ya Mitambo haiishi tu? Kuna kipindi fulani mwaka jana kama sikosei aliyekuwa Waziri wa Nishati January Makamba alisema hivi hivi, hiyo service gani ambayo inatumia muda mrefu kiasi hiki?
Nakukumbusha tu kuwa alisema baada ya miaka 6 ndio tumhukumu sasa kakaa miaka 2 tu
 
Kuna mambo yanayofanyika katika nchi hii hadi inabidi kumuomba Mwenyezi Mungu awaadhibu hawa watawala wanaoihujumu nchi na Kuwaongopea wananchi.

Na hakika nakuomba Mwenyezi Mungu uwaadhibu hawa uliowapa nafasi ya kuongoza lakini wamejaa ubinafsi na uongo.

Mwenyezi Mungu nakuomba umuhukumu kiongozi anayewaongopea wananchi.

Haribu Mali walizozipata kwa ulaghai na dhuluma, nakuomba hata sadaka zao usizipokee kwakuwa zimepatikana kwa dhuluma.

Eeh Mwenyezi wahurumie wanyonge na watoto wao, bali waadhibu watawala na watoto wao wasiolitendea haki Taifa hili.

Huzuni na masononeko ya wanyonge wanaoteseka yakahamie kwa hao watawala. Wape hata Maradhi
 
Ukisikia usanii ndio huu sasa. Umeme ni wa mgao kwasababu inasemekana watu washafungulia maji huko mtera japo Mama na Tanesco yake wanadai ni service ya mitambo.

Mama kawapa Tanesco miezi 6, kwa hesabu zangu miezi 6 ikiisha na mvua zitakuwa zinanyesha so hakutakuwa na maajabu yoyote maana mabwawa yatakuwa yamejaa. Usanii ni mwingi.

Pia Bwawa la Mwl Nyerere litakuwa kazini wakati huo
Kufungulia maji ya mtera kuna baraka toka kwa mhusika, sasa wameshakamilisha ufisadi wanangoja mvua ijaze bwawa waseme wameongeza umeme.
 
Ukisikia usanii ndio huu sasa. Umeme ni wa mgao kwasababu inasemekana watu washafungulia maji huko mtera japo Mama na Tanesco yake wanadai ni service ya mitambo.

Mama kawapa Tanesco miezi 6, kwa hesabu zangu miezi 6 ikiisha na mvua zitakuwa zinanyesha so hakutakuwa na maajabu yoyote maana mabwawa yatakuwa yamejaa. Usanii ni mwingi.

Pia Bwawa la Mwl Nyerere litakuwa kazini wakati huo
Mkiambiwa tunapelekeshwa kama Gari mbovu bado haikubaliwi ! Hawa wanatuona maNyan tuuh!
 
Ukisikia usanii ndio huu sasa. Umeme ni wa mgao kwasababu inasemekana watu washafungulia maji huko mtera japo Mama na Tanesco yake wanadai ni service ya mitambo.

Mama kawapa Tanesco miezi 6, kwa hesabu zangu miezi 6 ikiisha na mvua zitakuwa zinanyesha so hakutakuwa na maajabu yoyote maana mabwawa yatakuwa yamejaa. Usanii ni mwingi.

Pia Bwawa la Mwl Nyerere litakuwa kazini wakati huo
Tawala zilizo fitinika!! Nawahakikishia hata bwawa likianza uzalishaj umeme utakua ni changamoto tu!! Tuko hapa tuombe uzima.
 
Ukisikia usanii ndio huu sasa. Umeme ni wa mgao kwasababu inasemekana watu washafungulia maji huko mtera japo Mama na Tanesco yake wanadai ni service ya mitambo.

Mama kawapa Tanesco miezi 6, kwa hesabu zangu miezi 6 ikiisha na mvua zitakuwa zinanyesha so hakutakuwa na maajabu yoyote maana mabwawa yatakuwa yamejaa. Usanii ni mwingi.

Pia Bwawa la Mwl Nyerere litakuwa kazini wakati huo
Kuna Elinino inaanza mwezi wa 10 inaonekana Tanesco wameshughulikia tatizo ifikapo November!
 
Ukisikia usanii ndio huu sasa. Umeme ni wa mgao kwasababu inasemekana watu washafungulia maji huko mtera japo Mama na Tanesco yake wanadai ni service ya mitambo.

Mama kawapa Tanesco miezi 6, kwa hesabu zangu miezi 6 ikiisha na mvua zitakuwa zinanyesha so hakutakuwa na maajabu yoyote maana mabwawa yatakuwa yamejaa. Usanii ni mwingi.

Pia Bwawa la Mwl Nyerere litakuwa kazini wakati huo
Mtasema... Bado
 
Back
Top Bottom