Mndengereko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 7,280
- 3,345
HIVI wadau ngoja tudiscuss kuhusu virus na operting system za microsoft, toka nimenaza kuzijua tokea window 95,98,2002,xp na sasa window 7 na hivi punde itatoka window 8 zote zinakuwa atacked na virus wakati os ya ubuntu na apple nasikia wana os yao haingii virus
swali:kipi kinaifanya os za microsoft ziwe zinaingia virus alafu za wamiliki wengine wa os kama vile ubuntu zinakuwa haziingii virusi kwani hawawezi kuweka /kufanya na yeye zikawa hazaingii virus.
SHARING IS CARING
swali:kipi kinaifanya os za microsoft ziwe zinaingia virus alafu za wamiliki wengine wa os kama vile ubuntu zinakuwa haziingii virusi kwani hawawezi kuweka /kufanya na yeye zikawa hazaingii virus.
SHARING IS CARING