MICROSOFT Vs VIRUS

Mndengereko

JF-Expert Member
Mar 24, 2011
7,280
3,345
HIVI wadau ngoja tudiscuss kuhusu virus na operting system za microsoft, toka nimenaza kuzijua tokea window 95,98,2002,xp na sasa window 7 na hivi punde itatoka window 8 zote zinakuwa atacked na virus wakati os ya ubuntu na apple nasikia wana os yao haingii virus

swali:kipi kinaifanya os za microsoft ziwe zinaingia virus alafu za wamiliki wengine wa os kama vile ubuntu zinakuwa haziingii virusi kwani hawawezi kuweka /kufanya na yeye zikawa hazaingii virus.
SHARING IS CARING
 
Inaaminika kwamba sababu windows ndiyo os maarufu zaidi duniani hivyo inakabiliwa
na virusi kutokana na
umaarufu wake. Zaidi ya 87% ya kompyuta duniani zina tumia winndows os hivyo basi madeveloper na madesigner wa viruses wengi wanatengeneza viruses za kurun on windows.

sababu nyingine ni usanifu wa msingi wa
mfumo wa uendeshaji wa os yenyewe. Windows, pamoja na
DOS kabla yake, ilitengenezwa kuwa single-user
os . Hii ina
maana kwamba mfumo wa
uendeshaji uliundwa kumwezesha mtumiaji kuwa na
utawala kamili juu ya mfumo
mzima. Hivyo, mfumo
hauna njia ya kujua ni nani
anafanya nini kwenye mfumo,
na hakuna njia ya kuzuia baadhi ya watumiaji wasiweze kutawala mfumo wa comp. Kama vile, virusi wanaweza kwa urahisi
kupitia mtandao
bila wewe kuwa na ufahamu au kuwaruhusu.
Apple Mac OSX na Linux hawakabiliwi na tatizo hili kwa kias kikubwa. Hii
ni kwa sababu wao os zao z
iliyoundwa kutoka chini juu na
usalama katika akili, ambapo
Microsoft Windows iliundwa kwa urahisi na usalama kuwa
kidogo juu ya ya nani kutawala os.
Mac OSX na Linux wote
wanatumia filesystem ambayo
nimadhubuti
sana na inahakikisha ruhusa ambazo zinatokana na kila faili na
folder katika mfumo zinatolewa na mmiliki wa comp, pia wanahakikisha hasa nani
anaruhusiwa kufanya nini na
kila file au folder. Katika
Windows, kwa ili virusi viweze kuambukiza mfumo wako,
ni lazima kwanza kujifanyia installation au uvifanyie installation kwenye mfumo
wako. Kama ilivyoelezwa hapo
awali, ni kawaida sana kwa
virusi kufanya automatic installation bila ya maarifa yako au ruhusa.

Lakini Mac OSX au
Linux, unaweza kuwa na
uwezo wa kiutawala ili
kufunga au kufuta mpango flani katika mfumo wako. kwa Mac OSX au baadhi ya Linux, kama vile
Ubuntu, ili ku install kitu
au kufuta mpango wowote lazima kuingiza
password yako. hivyo hata virus haviwezi kufanya installation bila kupewa alert ya kukutaka uingize password yako (root password)
Mac OSX
na Linux ni njia salama zaidi
kuliko Windows - kwa sababu
virusi tu hawana ruhusa ya kufanya kuinstall wenyewe
nyuma ya mgongo wako.

Note: hata kwenye windows 7 unaweza weka rootpassword kuzuia installation ya kitu chochote bila ruhusa yako mfano mm situmii antivirus yoyote na nimeweka rootpassword hakuna kirusi anaweza chezea pc yangu
 
Inaaminika kwamba sababu windows ndiyo os maarufu zaidi duniani hivyo inakabiliwana virusi kutokana na umaarufu wake. Zaidi ya 87% ya kompyuta duniani zina tumia winndows os hivyo basi madeveloper na madesigner wa viruses wengi wanatengeneza viruses za kurun on windows.sababu nyingine ni usanifu wa msingi wa mfumo wa uendeshaji wa os yenyewe. Windows, pamoja na DOS kabla yake, ilitengenezwa kuwa single-user os . Hii ina maana kwamba mfumo wa uendeshaji uliundwa kumwezesha mtumiaji kuwa na utawala kamili juu ya mfumo mzima. Hivyo, mfumo hauna njia ya kujua ni nani anafanya nini kwenye mfumo,na hakuna njia ya kuzuia baadhi ya watumiaji wasiweze kutawala mfumo wa comp. Kama vile, virusi wanaweza kwa urahisi kupitia mtandao bila wewe kuwa na ufahamu au kuwaruhusu.Apple Mac OSX na Linux hawakabiliwi na tatizo hili kwa kias kikubwa. Hii ni kwa sababu wao os zao ziliyoundwa kutoka chini juu na usalama katika akili, ambapo Microsoft Windows iliundwa kwa urahisi na usalama kuwa kidogo juu ya ya nani kutawala os.Mac OSX na Linux wote wanatumia filesystem ambayo nimadhubuti sana na inahakikisha ruhusa ambazo zinatokana na kila faili na folder katika mfumo zinatolewa na mmiliki wa comp, pia wanahakikisha hasa nani anaruhusiwa kufanya nini nakila file au folder. Katika Windows, kwa ili virusi viweze kuambukiza mfumo wako,ni lazima kwanza kujifanyia installation au uvifanyie installation kwenye mfumo wako. Kama ilivyoelezwa hapo awali, ni kawaida sana kwa virusi kufanya automatic installation bila ya maarifa yako au ruhusa.Lakini Mac OSX au Linux, unaweza kuwa na uwezo wa kiutawala ilikufunga au kufuta mpango flani katika mfumo wako. kwa Mac OSX au baadhi ya Linux, kama vile Ubuntu, ili ku install kitu au kufuta mpango wowote lazima kuingiza password yako. hivyo hata virus haviwezi kufanya installation bila kupewa alert ya kukutaka uingize password yako (root password) Mac OSX na Linux ni njia salama zaidi kuliko Windows - kwa sababu virusi tu hawana ruhusa ya kufanya kuinstall wenyewe nyuma ya mgongo wako. Note: hata kwenye windows 7 unaweza weka rootpassword kuzuia installation ya kitu chochote bila ruhusa yako mfano mm situmii antivirus yoyote na nimeweka rootpassword hakuna kirusi anaweza chezea pc yangu
thanks kwa darasa zuri ndugu yangu, nimeenjoy sana. ila nina swali. " Je ni namna gani unaweza kuset root password kwenye windows?
 
thanks kwa darasa zuri ndugu yangu, nimeenjoy sana. ila nina swali. " Je ni namna gani unaweza kuset root password kwenye windows?

Ni kawaida yani una tengeneza a.c 2 mmoja inakuwa administrator a.c unaweka password ambapo mtu hawezi install any prog au ku i unstall bila password hata virus wakijaribu kuji install italeta elert ya insert password, hata updates za windows haziinstall bila password,
 
Ni kawaida yani una tengeneza a.c 2 mmoja inakuwa administrator a.c unaweka password ambapo mtu hawezi install any prog au ku i unstall bila password hata virus wakijaribu kuji install italeta elert ya insert password, hata updates za windows haziinstall bila password,
thanks in advance
 
Ingawa imekua ikizungumzwa kuwa Linux, Unix na Mac Os zimejengwa katika mfumo imara ambao ni ngumu kutengeneza virus, ukweli ni kwamba Windows zinakua attacked zaidi kwa sababu ya hujuma.

Kwanza kabla hatujaenda mbali jiulize ni nani anatengeneza virus. Halafu jiulize motivation yake nini hadi aamue kutengeneza virus.

Ukipat majawabu ya hayo maswali utajua why windows.

Nimetua windows na linux. Linux pia ina holes nyingi tu za kutosha kutengeneza exploit za kutisha.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom