Miaka 27 huna mtoto? Jichunguze

Kama wewe ni mwanaume au mwanamke na umetimiza miaka 27 lakini huna hata mtoto wa kusingiziwa na hata kutoa mimba hujawahi basi unapaswa kujichunguza huenda una matatizo ya kizazi.

Haiwezekani mtu anaefanya ngono hadi kufikisha umri huo hana mtoto, hilo ni tatizo maana maisha ya sasa ni mafupi sana! Sasa kama hutaacha legacy basi ni hatari sana kwako au subiri tu kuitwa babu au bibi na watoto wako..

Wenzako wanaacha kuzaa wewe ndio unaanza
Usilazimishe watu kuishi utakavyo wewe.

Usiwafundishe watu wenye akili zao kuhusu miaka/mwaka wa kuzaa kwani kila mtu ana plans zake na sababu lukuki.

Ishi maisha yako...Achana na maisha ya watu.
 
I worry for the things I have to struggle for, but not for those provided by nature. Hivyo mkuu wacha tuyasake maisha kwanza insu ya watoto mda wowote tutaifanya.
 
Mkuu lazima ufahamu kwamba kila mtu has gotten his own perspective juu ya maisha, na through hiyo perspective ndipo anapoendesha maisha yake.
Hiyo moja, lakini pili unachoamini wewe kuwa ndio purpose of human life na source of happiness to human life sio lazima na wengine waamini hivyo.
Tatu, kuna issue ya being endowed naturally, kwa maana ya kwamba kuna baadhi ya watu hukosa vizazi, je nao wayachukie maisha kwa sababu wanashindwa kuzaa kipindi watakacho wao?
KUNA WATU WANGAPI WAMEZAA MAPEMA, LAKINI BADO WAKO NA MISERABLE LIFE, LAKINI HAPO HAPO WAPO WATU NI AGED NA HAWANA HAO WATOTO/WANAO KATIKA UMRI MKUBWA STILL WAKO HAPPY WITH THEIR LIFE?

Maisha ni jinsi unavyoyataza tu, has gotten nothing with its events.
Well said.
 
Ndio maana mnazaa watoto wanaishia kuzagaa mitaani na mkiwapeleka shule basi zile za kidumu mkononi,1st born wangu nilikua na 30 years nilikua na uhakika wa kumlea katika njia sahihi ingawa wadogo zangu walinitangulia ila niliweka malengo mtoto aje anikute nimefanya ABC's sio nisake mtoto kisa umri.
Pata mtoto ukiwa na miaka 18 na mimi 30 ila muhimu wapate malezi bora sioni sababu ya kukimbizana kama wataishia mtaani tu,kwa wale ambao wanahisi wamechelewa fanyeni vitu kwa mipango siku hizi hakuna zile za mtoto kulelewa na babu na bibi au ba'mdogo lazima tujipange hakuna haja ya kuwasikiliza haw wanaowaaminisha eti lazima mtoto aje ukiwa umri fulani.
Hongera sana mkuu.
 
Kama wewe ni mwanaume au mwanamke na umetimiza miaka 27 lakini huna hata mtoto wa kusingiziwa na hata kutoa mimba hujawahi basi unapaswa kujichunguza huenda una matatizo ya kizazi.

Haiwezekani mtu anaefanya ngono hadi kufikisha umri huo hana mtoto, hilo ni tatizo maana maisha ya sasa ni mafupi sana! Sasa kama hutaacha legacy basi ni hatari sana kwako au subiri tu kuitwa babu au bibi na watoto wako..

Wenzako wanaacha kuzaa wewe ndio unaanza

Unadhani watu wote tuauza mechi kama wewe
 
Kama wewe ni mwanaume au mwanamke na umetimiza miaka 27 lakini huna hata mtoto wa kusingiziwa na hata kutoa mimba hujawahi basi unapaswa kujichunguza huenda una matatizo ya kizazi.

Haiwezekani mtu anaefanya ngono hadi kufikisha umri huo hana mtoto, hilo ni tatizo maana maisha ya sasa ni mafupi sana! Sasa kama hutaacha legacy basi ni hatari sana kwako au subiri tu kuitwa babu au bibi na watoto wako..

Wenzako wanaacha kuzaa wewe ndio unaanza
Hakyanani una laana... Na sala hufika mbali mkuu zitakupiga kweli kweli

Kuna watu washazaa hadi basi na mungu akafanya yake
 
Kama wewe ni mwanaume au mwanamke na umetimiza miaka 27 lakini huna hata mtoto wa kusingiziwa na hata kutoa mimba hujawahi basi unapaswa kujichunguza huenda una matatizo ya kizazi.

Haiwezekani mtu anaefanya ngono hadi kufikisha umri huo hana mtoto, hilo ni tatizo maana maisha ya sasa ni mafupi sana! Sasa kama hutaacha legacy basi ni hatari sana kwako au subiri tu kuitwa babu au bibi na watoto wako..

Wenzako wanaacha kuzaa wewe ndio unaanza

Mkuu Sio kila mtu ana uwezo wa kuzalisha / pili wengi wana malengo tofauti / tatu afya zetu zinatofautiana na pia hali ya maisha haifanani
 
Duuh, ndio nyie mnazaa ili mposti picha facebook, hata mtoto hajakatwa kitovu mshampost 'its a baby girl/boy' hata macho hajafungua, then after years unaanza waza ada ya international school ni ngumu unaishia mpeleka shule ya kata koz ulifata mkumbo wa facebook. All in all maisha hayana formula wala hakuna mashindano ya kuzaa live your life.
 
Kutokana na hii post yako nimegundua yafuatayo:
(1) Wewe utakuwa bado mtoto (ndio kwanza umebalehe/umevunja ungo) au;
(2) Huna uzoefu na kitu kiitwacho MAISHA au;
(3) Umekariri maana ya maisha na hivyo huelewi maana yake halisi!
NB:
Jitahidi usome au kuchunguza maisha ya watu walio karne 2 mbele yetu, utagundua kuwa kuoa/kuolewa, kuzaa ni almost NEGLIGIBLE, ndio maana kwa sasa hasa nchi za kimagharibi zina program za ku-import wafanyakazi toka oversees, eg Green Card (USA). Watu wanaojua maana ya maisha wana tabia ya kutanguliza furaha binafsi mbele na sio cjui mtoto, mume/mke, ndugu, nk!
 
Wewe ndiye unayepende kuendeleza utegemezi na kuleta lawama katika familia.
Maisha ni magumu na wakati huo huo unasema ni mafupi.
Sasa unataka ukiondoka duniani umwachie nani huyo mtoto? Zaa kwa mpangilio na hakikisha mtoto unakuwa na uwezo wa kumtunza. Sasa unataka uzae alafu umwache mtoto kwa baba yako na mama yako (Bibi na Babu) ndio wamlee?
 
Kwa dizain ya akil zako mtoa mada, nenda kapime D.N.A ya huyo so called mtoto wako
 
Nilipata mtoto wa kwanza nikiwa na 24yrs old. Thank you God, now this year anamaliza std 7 then nampeleka kwa kipingu akapige soka maana ni mwanasoka na tangu last year alikua timu ya Shule na mwaka huu pia yupo timu ya Shule.

We jamaa una miaka 36 sasa na mtoto wako alizaliwa 2004.
Hongereni.
 
Back
Top Bottom