Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 8,782
- 8,671
Duh ya kweli hayo?Tatizo maisha magumu mkuu. Mimi nilikua tayari kuzaa hata nikiwa na miaka 18 ili niwakuze wanangu nikiwa bado kijana. Maisha yamefanya watu tumegonga miaka 38 bila mke wala mtoto.