mhhh! BAADA YA CUF ,SASA CHADEMA

Wakuu,
Ndo tabu ya kujenga demokrasia kwenye nchi masikini kama Tanzania, sio kazi rahisi hasa mafanikio yakishaanza kuonekana au kupata mafanikio kidogo sana, taasisi zinazoijenga demokrasia hasa vyama vya siasa husambaratika. Vikipona kusambaratika huushia kwenye migogoro isiyokuwa na kichwa wala miguu na hivyo vyama husika hudumaa>

Nchini tumeshuhudia kudumaa kwa NCCR-Mageuzi, TLP na sasa CUF inakoelekea SIO KUFA kama wengi wanavyotabiri isipokuwa KUDUMAA baada ya wanachama wengi wenye tija kwa chama kukihama na kuanzisha vyama vingine au kujiunga na vyama vingine.

Tafiti ndani na nje ya nchi zinaonyesha kuwa mara nyingi vyama hivi hudumazwa na migogoro ya ndani ya Chama ambayo huibuka mara tu baada ya kuanza kupata mafanikio kidogo katika harakati zao (mifano mizuri kwa hapa nchini ni NCCR-Mageuzi na TLP na sasa CUF).

Sioni namna ambayo Chadema wanakwepa shimo hili, either sioni juhudi zozote za kumulika na kuliona shimo hili zinazofanywa na Chadema,chama ambacho kiukweli kingeweza kutegemewa kuwa Chama mbadala au mshindani wa dhati wa CCM.

Najua kwa asili ya JF iliyojinyonyoa manyoya nitatukanwa na kubezwa lakini, hoja yangu hii nitaitunza na nitaileta hapa siku mambo yakiana kwenda kama nnavyo au tunavyoyaona wachambuzi wa mambo ya sayansi ya siasa.

Eti mchambuzi wa sayansi ya siasa!! My foot!!!
 
Wakuu,
Ndo tabu ya kujenga demokrasia kwenye nchi masikini kama Tanzania, sio kazi rahisi hasa mafanikio yakishaanza kuonekana au kupata mafanikio kidogo sana, taasisi zinazoijenga demokrasia hasa vyama vya siasa husambaratika. Vikipona kusambaratika huushia kwenye migogoro isiyokuwa na kichwa wala miguu na hivyo vyama husika hudumaa>

Nchini tumeshuhudia kudumaa kwa NCCR-Mageuzi, TLP na sasa CUF inakoelekea SIO KUFA kama wengi wanavyotabiri isipokuwa KUDUMAA baada ya wanachama wengi wenye tija kwa chama kukihama na kuanzisha vyama vingine au kujiunga na vyama vingine.

Tafiti ndani na nje ya nchi zinaonyesha kuwa mara nyingi vyama hivi hudumazwa na migogoro ya ndani ya Chama ambayo huibuka mara tu baada ya kuanza kupata mafanikio kidogo katika harakati zao (mifano mizuri kwa hapa nchini ni NCCR-Mageuzi na TLP na sasa CUF).

Sioni namna ambayo Chadema wanakwepa shimo hili, either sioni juhudi zozote za kumulika na kuliona shimo hili zinazofanywa na Chadema,chama ambacho kiukweli kingeweza kutegemewa kuwa Chama mbadala au mshindani wa dhati wa CCM.

Najua kwa asili ya JF iliyojinyonyoa manyoya nitatukanwa na kubezwa lakini, hoja yangu hii nitaitunza na nitaileta hapa siku mambo yakiana kwenda kama nnavyo au tunavyoyaona wachambuzi wa mambo ya sayansi ya siasa.

Huko kwenye nyekundu ni kwamba umeonyesha udhaifu mkubwa sana. Kwa nini unajihisi? Mtu yeyote asiyejiamini siku zote anachokiongea huwa hakiwezi kutuliwa maanani.
 
Ni ukweli usiofichika kwamba demokrasia yetu kama nchi bado ni changa sana. Wafuasi wengi wa vyama vya siasa wapo kwa sababu ya kutafuta kula na njaa zimetawala vinywani mwao. Wanasiasa wengi pia wako kwenye vyama vya siasa siyo kwa sababu wana uchungu na nchi yetu na wanataka kuleta mabadiliko, bali ni kwa sababu wameona ndiyo namna yao ya kula na kuendesha maisha yao. Chadema kimefanikiwa kuwakusanja wanasiasa wanaoonekana kuwa makini na ninaamini kwamba kwa sasa bado wana uwezo wa kuyakabili matatizo ya makundi na kimaslahi ili kuweza kujenga chama imara. Ila huko mbeleni changamoto ni kubwa siyo kwa chadema tu bali hata kwa chama tawala na vingine. CCM wana hali mbaya zaidi hasa watakapoondoka madarakani.. kwa urahisi sana yanaweza yakawakuta yaliyowakuta wenzao wa Kenya---KANU. Fikra za chadema kuanzisha chuo chao cha uongozi ni nzuri sana na inabidi watumie hela wanayopata sasa hivi pamoja na wapenzi walionao kuweza kukamilisha ndito hiyo, ili hapo baadae viongozi wao wawe wamepikwa katika chungu kimoja na wakaiva vizuri, wajue wanatetea nini, falsafa yao ni ipi na pia adui wao mkubwa ni nani. Mungu Ibariki Tanzania, Mungu kibariki CHADEMA na Viongozi wake!!
 
Aka kambumbu kametoka wapi!!!hana akili ata1,nanisha ata yakisafisha seemu zilizo fichwa namakalio.
 
Tatizo letu tunapenda kuhisi vitu ndo maana hatuelezi matatizo husika na kutoa mapendekezo. Fine cdm chaweza kufata kwa cuf kwa lipi labda;sera mbovu,uongozi mbovu,makundi ndani ya chama,ulafi wa madaraka..... Toa mifano na mapendekezo ili tuone hoja yako ina mashiko.

Mkuu mwenye mapendekezo/ushauri huwa anayaweka bayana,mwenzetu ameiandika hii thread kwa matarajio ya kusubiri mgogoro ili aje kusema alitabiri/alishauri cku nyingi.Atasubiri sana mkuu,msamehe bure.
 
Wakuu,
Ndo tabu ya kujenga demokrasia kwenye nchi masikini kama Tanzania, sio kazi rahisi hasa mafanikio yakishaanza kuonekana au kupata mafanikio kidogo sana, taasisi zinazoijenga demokrasia hasa vyama vya siasa husambaratika. Vikipona kusambaratika huushia kwenye migogoro isiyokuwa na kichwa wala miguu na hivyo vyama husika hudumaa>

Nchini tumeshuhudia kudumaa kwa NCCR-Mageuzi, TLP na sasa CUF inakoelekea SIO KUFA kama wengi wanavyotabiri isipokuwa KUDUMAA baada ya wanachama wengi wenye tija kwa chama kukihama na kuanzisha vyama vingine au kujiunga na vyama vingine.

Tafiti ndani na nje ya nchi zinaonyesha kuwa mara nyingi vyama hivi hudumazwa na migogoro ya ndani ya Chama ambayo huibuka mara tu baada ya kuanza kupata mafanikio kidogo katika harakati zao (mifano mizuri kwa hapa nchini ni NCCR-Mageuzi na TLP na sasa CUF).

Sioni namna ambayo Chadema wanakwepa shimo hili, either sioni juhudi zozote za kumulika na kuliona shimo hili zinazofanywa na Chadema,chama ambacho kiukweli kingeweza kutegemewa kuwa Chama mbadala au mshindani wa dhati wa CCM.

Najua kwa asili ya JF iliyojinyonyoa manyoya nitatukanwa na kubezwa lakini, hoja yangu hii nitaitunza na nitaileta hapa siku mambo yakiana kwenda kama nnavyo au tunavyoyaona wachambuzi wa mambo ya sayansi ya siasa.

Wewe unashauri nini kifanyike? Kama umesoma tafiti nyoingi kama unavyotuhabarisha je!,ni nini unatala kutunufaisha nacho kama mshauri?
Kama huna jambo basi na wewe ni another Gamba
 
Back
Top Bottom