Mheshimiwa Zitto, kwa hili umekosea

Napenda nifafanue zaidi. Kwanza napenda mjadala huu. JF inapaswa kuwa hivi. Kujadiliana masuala ya kisera. Pili, kwanza sote tunakubaliana kwamba gharama za maisha zimepanda sana. Mwananchi wa kawaida ndiye anayeathirika zaidi na kupanda huku kwa gharama za maisha kuliko mwananchi mwenye kipato kikubwa. Hii inatokana na sababu kwamba bei zinapanda haraka zaidi kuliko kipato cha mwananchi wa kijijini ambacho ni cha msimu.
Kumekuwa na pengo kubwa sana kati ya matajiri na masikini. Sababu kubwa ni kwamba sekta za uchumi zinazokua zinafanya matajiri wawe matajiri zaidi. Sekta ya Kilimo inayoajiri watanzania takribani asilimia 65 haikui inavyotakiwa na hivyo masikini wanakua masikini zaidi.
Kwa kuwa watu masikini wanauza bidhaa zao kwa bei za vijijini, lakini wananua mahitaji yao kama sukari, mafuta nk kwa bei za mijini, basi mfumuko wa bei husukuma watu masikini kwenye lindi la umasikini. Policy intervention inapaswa kuokoa hawa masikini wasiwe masikini zaidi. Tunafanyaje -

Mosi, katika 'basket of goods and services' ambayo mtanzania hutumia kwa siku, chakula ni asilimia 47, umeme na mafuta 11 na usafiri 3. Kwa hiyo NBS wanapokokotoa inflation, asilimia 61 ni masuala hayo. Food inflation inapaswa, narudia, inapaswa kudhibitiwa kwa kuongeza uzalishaji wa chakula na kuhakikisha kinaingia sokoni. Hili ni suala la msimu maana kilimo chetu ni cha mvua. Hivyo inabidi kudhibiti bei ya mafuta.
Sisi hatuna visima vya mafuta ( kuna 1bn barrels of oil in mtwara yet to be officially declared). Bei ya mafuta hatuna mamlaka nayo. Sisi tuna mamlaka na kodi tunazotoza kwenye mafuta. CHADEMA inapendekeza tupunguze kodi hizi kwa asilimia 50.
Sasa tunazibaje pengo hilo la kodi? Ndio tunapendekeza mambo 3- kupunguza misamaha ya kodi kutoka 2.5% ya GDP sawa na 630bn tshs kwa mwaka mpaka 1% ya GDP sawa na kuokoa takribani 400bn tshs. Pili, tunataka kumilikisha umma uchumi. Tunauza hisa za serikali katika Airtel kwa njia ya IPO. Serikali ina hisa 40%, tutauza 25% na kupata takribani 324bn ths. Tutauzakwa IPO hisa za NBC 15% na kupata takribani 200bn.
Hizi ni njia za muda mfupi. Njia za muda mrefu ni kuongeza uzalishaji wa chakula na kuboresha miundombinu chakula kifike sokoni.
Tunapaswa kukuza uchumi na kuweka usawa ie growth with equity.

Ngoja niwahi kikao cha tathmini

Bei ya mafuta hatuwezi kuincontrol mpaka tuchimbe mafuta wenyewe na tuwe na uwezo wa kuyatumia wenyewe. Njia peke tunaweza kupunguza gharama za mafuta ni kupunguza kodi, kuweka subsidies katika wauzaji wa mafuta.

Venginevyo tuzalishe mafuta wenyewe (Mtwara au Makunduchi Zanzibar).

Mkuu Zitto unasomeka vizuri sana wasiokuelewa basi ila watanzania sasa hivi ni waelewa vizuri
 
You are too partisan my brother!!...This is our country that we're talking about,we are facing a recession and are trying to figure out the best way t curb the incoming inflation,and this my brother,is not the perfect time to play Karl Rove!

ooh noo.. I'm not partisan at all; najaribu kuelezea ukweli kama ulivyo. Unafikiri Republicans hapa US baada ya Obama kuscore big kwenye Osama wanataka Obama atawale miaka mingine minne? Hapana. Siasa (kama unakumbuka) ni mjumuisho wa mambo yote yanahusiana na maisha ya watu. Huwezi kuondoa siasa katika suala hili. Chadema wakijifanya ndiyo maconsultants wa CCM wanapoteza maana ya kuwa chama cha siasa. ni bora wawe jumuiya mojawapo ya CCM.

UVCCM na jumuiya nyingine za CCM ndio zinatakiwa kutoa mawazo ya kuikosoa CCM kama chama ili kitawale vizuri. Wale ambao hatuikubali CCM jukumu letu ni kuidhoofisha ili ikataliwe zaidi na wananchi na hatimaye iondolewe madarakani. Hivi unafikiri ni maslahi ya Taifa kwa CCM kuendelea kuwa madarakani?
 
Napenda nifafanue zaidi. Kwanza napenda mjadala huu. JF inapaswa kuwa hivi. Kujadiliana masuala ya kisera. Pili, kwanza sote tunakubaliana kwamba gharama za maisha zimepanda sana. Mwananchi wa kawaida ndiye anayeathirika zaidi na kupanda huku kwa gharama za maisha kuliko mwananchi mwenye kipato kikubwa. Hii inatokana na sababu kwamba bei zinapanda haraka zaidi kuliko kipato cha mwananchi wa kijijini ambacho ni cha msimu.
Kumekuwa na pengo kubwa sana kati ya matajiri na masikini. Sababu kubwa ni kwamba sekta za uchumi zinazokua zinafanya matajiri wawe matajiri zaidi. Sekta ya Kilimo inayoajiri watanzania takribani asilimia 65 haikui inavyotakiwa na hivyo masikini wanakua masikini zaidi.
Kwa kuwa watu masikini wanauza bidhaa zao kwa bei za vijijini, lakini wananua mahitaji yao kama sukari, mafuta nk kwa bei za mijini, basi mfumuko wa bei husukuma watu masikini kwenye lindi la umasikini. Policy intervention inapaswa kuokoa hawa masikini wasiwe masikini zaidi. Tunafanyaje -

Mosi, katika 'basket of goods and services' ambayo mtanzania hutumia kwa siku, chakula ni asilimia 47, umeme na mafuta 11 na usafiri 3. Kwa hiyo NBS wanapokokotoa inflation, asilimia 61 ni masuala hayo. Food inflation inapaswa, narudia, inapaswa kudhibitiwa kwa kuongeza uzalishaji wa chakula na kuhakikisha kinaingia sokoni. Hili ni suala la msimu maana kilimo chetu ni cha mvua. Hivyo inabidi kudhibiti bei ya mafuta.
Sisi hatuna visima vya mafuta ( kuna 1bn barrels of oil in mtwara yet to be officially declared). Bei ya mafuta hatuna mamlaka nayo. Sisi tuna mamlaka na kodi tunazotoza kwenye mafuta. CHADEMA inapendekeza tupunguze kodi hizi kwa asilimia 50.
Sasa tunazibaje pengo hilo la kodi? Ndio tunapendekeza mambo 3- kupunguza misamaha ya kodi kutoka 2.5% ya GDP sawa na 630bn tshs kwa mwaka mpaka 1% ya GDP sawa na kuokoa takribani 400bn tshs. Pili, tunataka kumilikisha umma uchumi. Tunauza hisa za serikali katika Airtel kwa njia ya IPO. Serikali ina hisa 40%, tutauza 25% na kupata takribani 324bn ths. Tutauzakwa IPO hisa za NBC 15% na kupata takribani 200bn.
Hizi ni njia za muda mfupi. Njia za muda mrefu ni kuongeza uzalishaji wa chakula na kuboresha miundombinu chakula kifike sokoni.
Tunapaswa kukuza uchumi na kuweka usawa ie growth with equity.

Ngoja niwahi kikao cha tathmini

Haya mambo yanahitaji kuja kufanywa na serikali ya Chadema; Chadema wanatakiwa kuyasukumiza mambo haya katika fikra za wananchi kuwa CCM haiwezi kuyatekeleza kwani nakumbuka vizuri baadhi ya mapendekezo yenu ya bajeti miaka yote iliyopita ambapo mmeweka wazi sana "vyanzo mbadala vya kodi" katika kile mlichokiita "kupanua wigo wa kodi". Nimemsoma Kikwete leo katika "semina elekezi" akilalamikia suala hili la kodi. Kama wangekuwa wanawasikiliza miaka mitano iliyopita labda mambo yangekuwa tofauti.

Ni jukumu la viongozi wa Chadema kuionesha chadema kama chama mbadala kinachojiandaa kushika madaraka kikiwa na sera ambazo zitaingilia haya matatizo - policy intervention - kwa sababu CCM na serikali yake haviwezi na haviko tayari kufanya hiyo intervention.
 
@Mchambuzi Brother umesema very well and this is the type of Leaders we want "katikati ya shida wewe unapasua raha"meaning inside the same political party CCM unasema unakubali sera za Chadema.........you are one in a million and to be frank embu andaaa na makala ya kuhusu CCM kuipondea JF(Jamii Forums). Umeona Jamii ilivyo effective na watu kama Zitto ni leaders by nature amekuonesha wazi how effective he is by coming back and respond to the very good thread uliyopost. Nape and Mukama should get some insights of what Tanzania's are waking up and not the same Tanzanians they used to know back in the stone age. I think wewe kuwepo huko CCM unakosea sana, Sera ndio Msingi wa maneno yako "Tanzania Kwanza, Siasa Baadae." Sasa Mchambuzi umesema wazi na unaelewa huhitaji kuambiwa tena Sera ziko chama gani.......Tatizo unafikiria mambo yako yataendaje bila CCM, na kama unaamaanisha ya Tanzania Kwanza usitizame chama then, nenda CDM gombea jimbo la Kinondoni uone results and believe me you will be suprised.

Ila na Mheshimiwa ZItto please provide us at Jamii more insights of the reasons beyond what you have just explained. Uchumi ni Mbovu wachache mnafaidika and i mean seriously you received a Cheque of 90million for your ride and yet hujapewa hela za kukaa bungeni na Majimboni unalalamika, na mind you sijasema si haki yako. Ila imagine kuwa kuna watu mamilioni ya watanzania hawajalipwa Mishahara for four months kama walimu wanalalamika ila sijawahi kukusikia ukiwatetea na unajua wazi hawana sauti...ya kuweza kujibiwa kama wewe unavyojibiwa na ofisa wa bunge. Please provide us with more information of what your proposing so as we clear our doubts and i dont question your integrity at all but i need more and what is the way forward kwa tatizo la mafuta na Uchumi Mbovu and not just a mere explanation of IPO and DSE Market Collapsing
 
Kazi ya Chadema siyo kuifanya CCM, isikubalike, bali kazi ya Chadema ni kuifanya CHADEMA ikubalike zaidi ya CCM.

Kazi ya Chadema siyo kujiandaa kutawala au kongoza tu, bali kazi ya Chadema ni pamoja na kuonyesha kwamba ukitawala unatawalaje au unaongozaje.

Kazi ya Chadema siyo kuinyima serikali mawazo mbadala, bali kazi ya Chadema ni kuonyesha mawazo mbadala ni kwa manufaa ya umma.

Aah wapi!
 
Napenda nifafanue zaidi. Kwanza napenda mjadala huu. JF inapaswa kuwa hivi. Kujadiliana masuala ya kisera. Pili, kwanza sote tunakubaliana kwamba gharama za maisha zimepanda sana. Mwananchi wa kawaida ndiye anayeathirika zaidi na kupanda huku kwa gharama za maisha kuliko mwananchi mwenye kipato kikubwa. Hii inatokana na sababu kwamba bei zinapanda haraka zaidi kuliko kipato cha mwananchi wa kijijini ambacho ni cha msimu.
Kumekuwa na pengo kubwa sana kati ya matajiri na masikini. Sababu kubwa ni kwamba sekta za uchumi zinazokua zinafanya matajiri wawe matajiri zaidi. Sekta ya Kilimo inayoajiri watanzania takribani asilimia 65 haikui inavyotakiwa na hivyo masikini wanakua masikini zaidi.
Kwa kuwa watu masikini wanauza bidhaa zao kwa bei za vijijini, lakini wananua mahitaji yao kama sukari, mafuta nk kwa bei za mijini, basi mfumuko wa bei husukuma watu masikini kwenye lindi la umasikini. Policy intervention inapaswa kuokoa hawa masikini wasiwe masikini zaidi. Tunafanyaje -

Mosi, katika 'basket of goods and services' ambayo mtanzania hutumia kwa siku, chakula ni asilimia 47, umeme na mafuta 11 na usafiri 3. Kwa hiyo NBS wanapokokotoa inflation, asilimia 61 ni masuala hayo. Food inflation inapaswa, narudia, inapaswa kudhibitiwa kwa kuongeza uzalishaji wa chakula na kuhakikisha kinaingia sokoni. Hili ni suala la msimu maana kilimo chetu ni cha mvua. Hivyo inabidi kudhibiti bei ya mafuta.
Sisi hatuna visima vya mafuta ( kuna 1bn barrels of oil in mtwara yet to be officially declared). Bei ya mafuta hatuna mamlaka nayo. Sisi tuna mamlaka na kodi tunazotoza kwenye mafuta. CHADEMA inapendekeza tupunguze kodi hizi kwa asilimia 50.
Sasa tunazibaje pengo hilo la kodi? Ndio tunapendekeza mambo 3- kupunguza misamaha ya kodi kutoka 2.5% ya GDP sawa na 630bn tshs kwa mwaka mpaka 1% ya GDP sawa na kuokoa takribani 400bn tshs. Pili, tunataka kumilikisha umma uchumi. Tunauza hisa za serikali katika Airtel kwa njia ya IPO. Serikali ina hisa 40%, tutauza 25% na kupata takribani 324bn ths. Tutauzakwa IPO hisa za NBC 15% na kupata takribani 200bn.
Hizi ni njia za muda mfupi. Njia za muda mrefu ni kuongeza uzalishaji wa chakula na kuboresha miundombinu chakula kifike sokoni.
Tunapaswa kukuza uchumi na kuweka usawa ie growth with equity.

Ngoja niwahi kikao cha tathmini
Mkuu nadhani hakuna mtu hapa anayepinga mtazano wa CDM kuhusiana na hali halisi ya kiuchumi lakini binafsi nachosema hizi sera zinauzwa kwa wananchi ndivyo kisiasa inavyotakiwa sio kuziuza CCM. Mwisho wa siku kila CCM wanapotekeleza sera za Chadema sifa huwafuata waliwezesha (CCM) na mwaka 2015, wataingia tena madarakani kwa sababu hapatakuwa na sababu ya kuwaondoa.

Hizi ndizo gharama za demokrasia ya vyama vingi yaani mawazo, falsafa, itikadi hadi sera za wale wanaokubaliana hukaa kundi moja, wengine hukaa kundi jingine na huja na zao pia kisha wananchi huchagua mawazo na njia zipi zinaonekana bora zaidi. sasa inapotokea hali kama hii sera za CCM zinashindwa kufanya kazi, ndio huwa nafasi ya Chadema na vyama vya upinzani kuwaonyesha wananchi sera bora ni zipi kwa maelezo na hotuba ili kudhibiti hali iliyopo na sii jukumu la chama pinzani kuuza sera zao kwa chama kinachotawala, ila CDM wanaweza kupinga maamuzi ya CCM kama itataka kuuza share za NCB na Airtel kinyume cha mtazamo wao na kutoa ushauri kama huu pinzani na huo wa CCM.

Binafsi mkuu wangu siamini kabisa kwamba maisha yanapanda tanzania kwa sababu za mfumko wabei isipokuwa Tanzania ni nchi tegemezi na walionacho ndio walioshika mpini kiasi kwamba wananchi (Consumers) ni wahitaji.. Kuna kitu tunaita reverse economy mahala ambapo supplier sii mhitaji wa soko kutokana na dhiki iliyopo. Leo hii Tanzania hakuna swala la Demand and supply kama wataalam wengi mnavyolitazama bali tupo ktk hatua za mwanzo kabisa yaani - Necessity against invention, hivyo msemo ule wa 'Necessity is the mother of invention' ndio unatakiwa zaidi kutazamwa..kuondokana na SHIDA hizi kwani demand ya mtu mwenye njaa na yupo at critical condition ni tofauti kabisa na mtu mwenye njaa inayotokana na tabia ya milo mara tatu kwa siku..

Kifupi leo hii mwananchi nyumbani wananyanyaswa kila mahala kutokana na shida waliyokuwa nayo na mfumo mzima wa CCM unamwezesha Mlanguzi ambao ndio matajiri wetu kuchukua nafasi kubwa ya ku dictate hali ya uchumi wa nchi yetu. Kila unapotazama nchini ni walanguzi watupu aidha wanauza mali ya nje au hata yetu nchini hakuna utaratibu mzuri baina ya mkulima na consumer pasipo kupitia kwa mlanguzi anayeongoza uchumi wa nchi na mafanikio madogo tunayojivunia...

Pili, kutokana na kuwa taifa tegemezi tunajaribu sana kurekebisha mambo mengi ktk mfumo huo huo wa kutegemea pasipo kuboresha uzalishaji wa kitu kile kile. Ama tutafikiria kuboresha pasipo kujali mahitaji yetu wakati huo huo. I mean mkuu wangu kuna sababu gani Tanzania leo haijitoshelezi kwa umeme, maji, kilimo na maghala ya chakula..

Kwa nini vitu hivi sio vipaumbele kwa zaidi ya miaka 20 toka tumeingia Ubepari hali population imeongezeka mara mbili..Kisha tunashangaa kwa nini maji ya chupa yanauzwa Tsh 1000 wakati kiafya tunaambiwa mtu mmoja anatakiwa kunywa lita nne za maji kwa siku... That is Tsh 4,000 ni watu wangapi wanaweza ku afford?..Lakini kama serikali ingeweza kuhakikisha maji yapo sidhani kama hii biashara ya maji ya kuchemsha na kuwa distilled ingekuwa big deal...Ufisadi tunautengeneza wenyewe kwa fikra mbaya za kiuchumi..

Kwa ushauri wangu Zitto, nakuomba sana jaribu kusimamia sera za Chadema na kuziuza kwa wananchi ili kesho mpewe nafasi ya kuongoza lakini kuwauzia CCM, waswahili hawataona tofauti ila CCM ndiye kawawezesha na maadam siasa hizi ni mpya kwetu wadanganyika hawataona umuhimu wa kuwaondoa CCM madarakani.
 
Mimi Na Ukoo wangu Tunaichukia CCM, na huwa tunaumia sana tubapoona CCM ina score point, lakini CCM iko score Huwa Siisifii bali naiponda na Kuzidi Kupandikiza Chuki ili Izidi Kuchukiwa

I hate CCM hata Ijichubue
 
You are too partisan my brother!!...This is our country that we're talking about,we are facing a recession and are trying to figure out the best way t curb the incoming inflation,and this my brother,is not the perfect time to play Karl Rove!
zitto being an economist knows that many countries around the world are facing inflationery pressure partly caused by scarcity of resources caused by the the so called bric countries. Insteady of honourable zitto to tell tt
touth to wananchi he is trying to deliberately misinform poor tanzania just for gainig cheap popularity.
 
Nashukuru sana. Nipo Sumbawanga. Hujanielewa. Ninashauri kufanya IPO ya Airtel na NBC ili kwanza kupata mapato kwa serikali lakini pili kwa kumilikisha uchumi kwa umma. IPO ni kwa wananchi kupitia soko la hisa.

Hukunielewa vema na ninaomba unielewe. Siku zote nimekuwa mstari wa mbele kuhakikisha DSE inakuwa more liquid. Nataka tuwe na kampuni nyingi sana DSE. Hii itawezesha uwazi.

Jaman zitto c unajua CCM wanakurupuka, sasa kaandika gazeti lote hili kumbe hata hajakusoma vizuri..... mh maskini CCM mmejivua gamba lakin sasa bado mmebaki na mikovu mikubwaaaaa heri hata mngebaki na gamba....................mh kweli kazi tunayo Wadanganyika
 
ooh noo.. I'm not partisan at all; najaribu kuelezea ukweli kama ulivyo. Unafikiri Republicans hapa US baada ya Obama kuscore big kwenye Osama wanataka Obama atawale miaka mingine minne? Hapana. Siasa (kama unakumbuka) ni mjumuisho wa mambo yote yanahusiana na maisha ya watu. Huwezi kuondoa siasa katika suala hili. Chadema wakijifanya ndiyo maconsultants wa CCM wanapoteza maana ya kuwa chama cha siasa. ni bora wawe jumuiya mojawapo ya CCM.

UVCCM na jumuiya nyingine za CCM ndio zinatakiwa kutoa mawazo ya kuikosoa CCM kama chama ili kitawale vizuri. Wale ambao hatuikubali CCM jukumu letu ni kuidhoofisha ili ikataliwe zaidi na wananchi na hatimaye iondolewe madarakani. Hivi unafikiri ni maslahi ya Taifa kwa CCM kuendelea kuwa madarakani?
Wow! Im really getting to know you guys!....can you tell me why Obama extended tax cuts for the rich?....failed to close guantanamo?...failed to bring public option?...well this aint the place but your MP wants to privatise NBC so he can get his paycheck,and my comrade said no!

I don't know why you guys think that you have the best philosophy!!....actually y'all aint got none!!
 
Jaman zitto c unajua CCM wanakurupuka, sasa kaandika gazeti lote hili kumbe hata hajakusoma vizuri..... mh maskini CCM mmejivua gamba lakin sasa bado mmebaki na mikovu mikubwaaaaa heri hata mngebaki na gamba....................mh kweli kazi tunayo Wadanganyika
Hajamsoma vizuri wakati amemnukuu,halafu mheshimiwa akayeyusha?
 
Hajamsoma vizuri wakati amemnukuu,halafu mheshimiwa akayeyusha?

Mh nakuomba usome majibu ya Zitto vzuri na utamuelewa, ukweli ni kwamba huyu mleta mada(aka wa chama cha magamba) hakumuelewa vizur coz yy kwa nukuu zake aliongelea tu uuzwaji wa hisa za serikali bila kuonyesha zinauzwa kwa nani na thats y Zitto akaetueleza kwamba serikali ikiziuza iziuze kwa wananchi wake japo hapo napo ni tatizo kwani sio mwananchi wa kawaida atafaidika (wenye uwezo wa kununua hzi hisa ni wale wale wa tabaka la juu).
Ki ukweli kabisa huyu mtoa mada hakuleta hii hoja kama ambavyo cdm waliiongelea instead ali skip baadh ya mambo kama hayo ambayo Zitto alikuja kuyasema (ya nani auziwe hisa), sasa sijui aliyaacha makusudi kwa faida za kisiasa au ni aje???
 
Wow! Im really getting to know you guys!....can you tell me why Obama extended tax cuts for the rich?....failed to close guantanamo?...failed to bring public option?...well this aint the place but your MP wants to privatise NBC so he can get his paycheck,and my comrade said no!

I don't know why you guys think that you have the best philosophy!!....actually y'all aint got none!!
Mkuu Republican wamepinga sera za Democratics lakini hawakuwaambia Obama afuate sera zao. Obama kaenda kinyume sera na Ilani zake yaani ahadi alizowapa wananchi na zinaweza kuwa na madhara lakini pengine kisiasa kapima madhara hayo kulingana na hali iliyopo.. Kufuta tax za matajiri ni swala ambalo bado linaendelea na litanaweza kuwa na madhara kwa chama ktk uchaguzi ujao kama hatafanikiwa..Obama analijua hili na amechukua risk hiyo. Na swala la Guatanamo sii la kiitikadi wala sera ya chama ni ilani yake ya uchaguzi jinsi angeweza kukabiliana na tatizo hilo.

Hapa tuna deal na CDM kuwa kimbelembele kuwaambia CCM jinsi ya kutekeleza sera zisizokuwa zao hata kabla hatujajua wao wanataka kufanya nini kama vile tunawafundisha badala ya kuwapinga au kukubaliana nao..Hii ni tofauti kabisa na kuwaunga mkono CCM ktk sera ambazo hata sisi tunakubaliana nao au kupinga matumizi ya sera fulani ambayo haiwezi kufanya kazi wakati huu ila tunawauzia idea na sera kitu ambacho kisiasa hakuna kabisa..
 
Mkuu Republican wamepinga sera za Democratics lakini hawakuwaambia Obama afuate sera zao. Obama kaenda kinyume sera na Ilani zake yaani ahadi alizowapa wananchi na zinaweza kuwa na madhara lakini pengine kisiasa kapima madhara hayo kulingana na hali iliyopo.. Kufuta tax za matajiri ni swala ambalo bado linaendelea na litanaweza kuwa na madhara kwa chama ktk uchaguzi ujao kama hatafanikiwa..Obama analijua hili na amechukua risk hiyo. Na swala la Guatanamo sii la kiitikadi wala sera ya chama ni ilani yake ya uchaguzi jinsi angeweza kukabiliana na tatizo hilo.

Hapa tuna deal na CDM kuwa kimbelembele kuwaambia CCM jinsi ya kutekeleza sera zisizokuwa zao hata kabla hatujajua wao wanataka kufanya nini kama vile tunawafundisha badala ya kuwapinga au kukubaliana nao..Hii ni tofauti kabisa na kuwaunga mkono CCM ktk sera ambazo hata sisi tunakubaliana nao au kupinga matumizi ya sera fulani ambayo haiwezi kufanya kazi wakati huu ila tunawauzia idea na sera kitu ambacho kisiasa hakuna kabisa..
Tax cuts for the rich ni republican philosophy/idea/policy/sera....and he is following it!..privatisation is CDMs sera/philosophy/idea....na tunaifuata sasa hivi ingawa mnajitahidi kuyeyusha.Azimio la Zanzibar halikuleta wawekezaji,ni Mtei/IMF Deal ndiyo inatunyonga sasa hivi.And I will never stop saying this.....it's just a FACT
Hizo ni sera za republicans na walimwambia azifuate
 
Mkuu umenena ila hilo lipicha toa au kabadilishe shati ndo uweke avatar nyingine hapo
 
Mchambuzi,

Kwanza niseme kudo kwa kurudi dimbani na kukumbusha enzi za 2007-2009. Good staff and kudos for that.

I will explain in advance badae concern DSE and why haina vigezo vya kuitwa soko huria la hisa.

Again, I am please kuona mada kama hizi. Mkadara I respet uchambuzi wako mzee.
 
Wow! Im really getting to know you guys!....can you tell me why Obama extended tax cuts for the rich?

Halikuwa chagua lake hilo angekuwa na uwezo angewatoza zaidi. Ameacha tu "Bush era- tax cuts" ziendendelee kuwepo. As a liberal ideologue anatamani matajiri watozwe zaidi kuwasaidia maskini.

...failed to close guantanamo?

Kwa sababu ingekuwa mwisho wake, hakuwa na option ya kuwapelekwa wale wafungwa wapi?

...failed to bring public option?
Kwa sababu bado ubepari ni mfumo na utamaduni wa nchi hii.

I don't know why you guys think that you have the best philosophy!!....actually y'all aint got none!!

sijui ni kina nani.. miye naamini kuna falsafa bora zaidi kuliko iliyopo sasa.
 
Back
Top Bottom