MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,640
- 33,421
Wakuu nakubaliana na hoja ya zitto na cdm kwa ujumla juu ya sera yao ya uchumi na hata mm ningependa sana mjadala uwe na mtizamo huo.lakini napenda kumuunga mkono Mwanakijiji hasa nini cdm kama chama cha siasa na hasa mantiki nzima ya siasa kutokuwa ma consultant wa ccm.wanapaswa kunadi sera zao mbadala ambazo watuhakikishie ccm hawawezi kuzitekeleza.kazi yao ni kufanya ccm ikataliwe na wananchi ili lengo la kwanza la chama cha siasa kutawala litimie.siasa ina definition yake na itabaki hivyo na faida yake ni kila chama kuwa makini kibaki madarakani kwa kufanya yale wanayotaka wananchi.otherwise juhudi binafsi za kufanya DSE kuwa more liquid ni nzuri kiuchumi hasa tukiwahamasisha hata watu wa kawaida kuwekeza kwani naamini ordinary citizen wengi wakiwa na share pale maana rahisi ni kurudisha uchumi kwa public.Hajamsoma vizuri wakati amemnukuu,halafu mheshimiwa akayeyusha?