Bitabo
JF-Expert Member
- Sep 27, 2011
- 1,900
- 687
Wakuu kwa swala la maji jimbo la ubungo huyu dogo mnamuonea. Anapambana kweli kweli ukizingatia na ukiritimba wa idara za maji na zile za serikali. juzi nilimuona kwenye baragumu ya channel ten na alizunguumzia swala hili la baadhi ya watu ku collude na watumishi wa DAWASA na kujiunganishia maji ili wauze kwenye malori na wananchi wengine wasipate maji ya bomba. Kwa kuwa hii biashara ni syndicate ya watu wengi, hutegemei suluhisho lipatikane kwa siku moja. kwa ufupi huu mchakato ni mrefu ila nilimsikia na jamaa wa wizara alipopigiwa simu alikiri tatizo hilo na akasema now wanashughulikia mawazo ya Mnyika na EWURA wameanza process ya kuwadhibiti hawa wauza maji kwa bei za kujipangia.
Tuache unafiki, Mnyika is realy serious na maji ya jimbo la ubungo.
Tuache unafiki, Mnyika is realy serious na maji ya jimbo la ubungo.