Mhe. Waziri Mkuu uliahidi bungeni kuwa serikali itaacha kununua Mashangingi na itaanza kutumia magari yasiyozidi 2000 CC. Lini ahad yako itaanza kutekelezwa? Inauma kuendelea kulipa kodi a ajili ya kununua magari ya kifahari yasiyo na tija kwa taifa. Huku hospitali na shule za umma zikiwa hoi
Mhe. Waziri Mkuu uliahidi bungeni kuwa serikali itaacha kununua Mashangingi na itaanza kutumia magari yasiyozidi 2000 CC. Lini ahad yako itaanza kutekelezwa? Inauma kuendelea kulipa kodi a ajili ya kununua magari ya kifahari yasiyo na tija kwa taifa. Huku hospitali na shule za umma zikiwa hoi