Kwl nyanni haoni kundule hata mbowe nae alikataaa shangingi kwa kudakia hoja ya zitto mwisho uzalendo ukamshinda hhahahah
Hapo kila serikali Ya kibongo inashindwa mkuuMhe. Waziri Mkuu mbali na kufanya ziara za kushtukiza Bandarini ni lini SERIKALI itaacha magari ya kifahari "MASHANGINGI"?