Mamushka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2010
- 1,595
- 99
Mkuu, pamoja na kuwa wewe ni tatizo, lakini pia unamatatizo. Fikra zako ni kuwa Ikulu ni sawa na ofisi CCM ambazo mnageuza vijiwe vya soga na majungu.
Pamoja na hilo, nina mashaka na tabia yako. Inaonyesha kama vile wewe ni mtu uliyezoea kusutwa. Unafikiri Kamati ya CHADEMA nayo iko hivyo. POLE!!
Hapo sasa ndo napataka, mwambie huyo.