Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,333
- 24,228
Gazeti la Uhuru lina Mkurugenzi Mtendaji wake Ernest Sungura.
Kwa wale wasio mfahamu huyu mheshimiwa, alikuwa akiongoza vile vile TMF, Tanzania Media Fund.
TMF ilikuwa ikitoa fedha za wafadhili katika vyombo vya habari kuendeleza uweledi wa The Free Press
TMF chini ya Sungura ilikuwa kichaka kilichokomaa cha rushwa.
Hali ya rushwa hapo ilikuwa mbaya..mbaya...mbaya.
Programme officers hapo walikuwa wakidai cha mbele kila wakitoa subventions za fedha toka kwa wafadhili.
Hali ikawa mbaya na malalamiko kutoka kwa walengwa yalikuwa makubwa hadi ikafikia wafadhili kusitisha misaada ya miradi.
Hivyo niliposikia Sungura anakuwa Mkurugenzi Mtendaji wa gazetinla Uhuru, nikajua wamelamba gharasha.