Mzalendo JR
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 1,193
- 515
Kapote njia tu alichokua amekariri kimemchanganya....Mtafuteni polepole!
mwenye namba ya Juma Mgaza tafadhali!! nendeni msitu wa pande haraka
we ulizia vuzri tu hapo mtaani kwako utaujua ukweli.....huenda yuko msikitini
jamani kuna habari ktk mitaa yangu, zinanipa haiba ya kujua ukweli, naomba mwenye habari kamili aweke hapa, eti mhadhiri wa kiislam sheikh Nurdini Kishki katekwa nyara na watu wasiojulikana, mwisho naomba kuwasilisha.
Alikuwa anasimamia jambo gani au haki ya nani ambayo ilikuwa inagusa serikali?
INAELEKEA HAO WATANGAZAJI WA HICHO KIREDIO HAWAKO SAWA KWENYE HALMASHAURI YA VICHWA VYAO!!!
Sasa ni sababu zipi zilizopelekea wao kutangaza kwamba ametekwa wakati hakuna mazingira yoyote ya utekaji? Au kila anayekamatwa na polisi redio zitangaze kwamba ametekwa na hajulikani aliko? Non Sense, TCRA wawe wanaangalia wanapotoa vibali vya kurusha matangazo kwa public.
Huyu ni Mhadhiri au ni mhubiri..naomba kujua hili ikiwezekana mturushie CV yake..Maana tusije tukawa tunatumia vibaya maana ya neno Mhadhiri..tena maarufu. Anafundisha chuo gani, elimu yake etc.
jamani kuna habari ktk mitaa yangu, zinanipa haiba ya kujua ukweli, naomba mwenye habari kamili aweke hapa, eti mhadhiri wa kiislam sheikh Nurdini Kishki katekwa nyara na watu wasiojulikana, mwisho naomba kuwasilisha.
jamani kuna habari ktk mitaa yangu, zinanipa haiba ya kujua ukweli, naomba mwenye habari kamili aweke hapa, eti mhadhiri wa kiislam sheikh Nurdini Kishki katekwa nyara na watu wasiojulikana, mwisho naomba kuwasilisha.
Mkuu jazba ya nini tulizana subiri usikie habari vizuri wewe unaona binadamu ni Ulimboka peke yake.
jamani kuna habari ktk mitaa yangu, zinanipa haiba ya kujua ukweli, naomba mwenye habari kamili aweke hapa, eti mhadhiri wa kiislam sheikh Nurdini Kishki katekwa nyara na watu wasiojulikana, mwisho naomba kuwasilisha.
mmh, mbona hana impact kwa jamii, sababu sijasikia chombo chochote kikubwa cha habari kikisema hii mambo