Jumakidogo
R I P
- Jul 16, 2009
- 1,851
- 417
Mh Rais swala hili limezua mjadala miongoni, tunaomba majibu haraka ikibidi. Kwa nini hujibu mapigo dhidi ya tuhuma za Mh Lowasa alizozitoa nec juu yako.
Kukaa kwako kimya kunafanya tuamini kuwa wewe ndio muhusika mkuu wa RICHMOND. Vinginevyo unambebesha zigo la dhambi lisilostahili Mh Lowasa. Au tuamini kuwa mh Lowasa ni jasiri kuliko wewe?
Kukaa kwako kimya kunafanya tuamini kuwa wewe ndio muhusika mkuu wa RICHMOND. Vinginevyo unambebesha zigo la dhambi lisilostahili Mh Lowasa. Au tuamini kuwa mh Lowasa ni jasiri kuliko wewe?