Mh Mkapa; Kauli yako inahitaji maelezo ya ziada, otherwise.....!

Rafiki wa mwizi mwizie,inakuwa watu wanena mwanao mwizi harafu weye wamtetea!
 
Mkapa is a lot of worse things.. Ufisadi... ikiwa moja wapo (thou not yet proven).... But katika Maraisi walopita (Mwalimu pembeni) the most intelligent na the most calculated akijua fika nini anafanya. Jamaa anajua hali ni mbaya ya CCM na siwezi shangaa kama anatafuta upenyo wa kuhemea so that hata Chama kipya kikishinda waone ni mwenzao. Juu ya Mkapa na habari zake yananishangaza mambo mawili:-
  1. Ni kiongozi ambae alikua anakwepa saana vyombo vya habari wakati wa Uraisi na hata baada tu ya kustaafu na hasa pale zilipo rise kashfa juu yake... Kitu gani kimemfanya saizi ghafla bin vuu yupo kwenye Siasa related activities katika sura ya Media... na kwa nini saizi yupo more confident kuongelea Utawala na madhaifu yake.... Very very iff.... (IMO)
  2. Wanahabari wetu wa hapa Tanzania... Kitendo cha kusema wanakutana na the guy face to face na badala ya kumuuliza yale maswali ambayo yana linger katika back of our brains and for long... Wana entertain upuuzi wa kuendelea kuchapisha habari ambazo ni kama anajikosha... Hivi kwamba hawa wanahabari wamenunuliwa na hawana guts ya kuuliza the right questions... AU kwamba anawasiliana tu na wale wana habari ambao wapo katika his back pocket??

Asante sana mkuu, halafu aliwatukana fyombo fya habari pia. Ana bifu sana na tasnia ya habari. siyo mtu anayependa demokrasia. Lipo lipo tu silipendi ka nini. Wanahabari waendelee kumsuta tu na aache kujipendekeza.
 
maskini Tanzania ndoo mkapa anatuacha hivoo!!!!!!!!!!
nakumbuka mwinyi wakati wa uongozi wake alijichotea mpaka kesho hatumwongelei ,
bado kidogo naye tutamsahau. kumbuka mwinyi alikuwa ni Raisi wa tatu kuwa na mkwanja afrika ukiwaacha GADDAF NA MAREHEM SESEKO MABUTU!
nashauri afanyiwe kitu mbaya iwe kumbukumbu ikiwemo kuhalibiwa mjengo wake mmoja au masafiri yake
 
HE never took action on obeying the RULE OF LAW in the Valambhia case, instead it was under his Presidency when a legal suit between two business partners became the most expensive legal suit in history of Dar, when the gvt. intervened.
WHO BENEFITTED and continues to BENEFIT today?
Tanzanians should not believe in FALSE HOPE.
 
Why now..!! ameona maji yameshafika shingoni..!! anafikiri hatujui ye ndo kiranja mkuu wa MAGAMBAZ..!!
 
Kama kuna kiongozi aliyelipotezea dira hili taifa kabisa nafikiri ni huyu jamaa aisee..
 
Back
Top Bottom