Livingstone Lusinde ndiye mbunge wetu tuliyemchagua,alishasema ni kichaa wa kuzaliwa sasa huyu wagogo wawakumuona , huyu ni mvuvi au ni mbeba mizigo kariakoo, alafu anajua kuwa wanaume wana mabwana, labda yeye ndio kawafundisha
wana JF ebu sikilizeni UHARO WA MDOMO WA MH,LUSINDE .Mh. Livingstone Lusinde akimwaga Sera za CCM Arumeru - YouTube
Pole sana wana mtera kwakuchagua kituko. '' poleni sana watanzania kwakuwa naviongozi wasio jali haadili hata kidogo. Ingekuwa nchi za wenzentu angepigwa risasi mchana peupe
Mwangalie huyu kichaa wa CCM kweli chama hiki ni cha wendawazimu.
Lusinde Matusi_0002.wmv - YouTube!
Wakati umefika sasa tuachane na huu usanii wa kuita wabunge WAHESHIMIWA! Mtu kama Lucinde anakuwa mheshimiwa kwa lipi?