Marire
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 12,328
- 5,267
Leticia amekuwa anajitahidi sana kuulizia matatizo ya hilo jimbo la Kwimba na amemfunika kabisa mbunge wa kuchaguliwa ambaye ni wa CCM, leo bungeni amemwomba waziri wa maji waende wakaone tatizo la maji, na Kwimba sijawahi ona mkutano wa M4C tokea uchaguzi mkuu.
Namshauri aombe makamanda waende wakaamshe waliolala.
Namshauri aombe makamanda waende wakaamshe waliolala.