Kigogo
JF-Expert Member
- Dec 14, 2007
- 20,508
- 6,146
Vitumbua 2000 ha haa haaa rushwa zingine bana inabidi mtu ucheke tu.
hakuna kucheka ndo hivyo ..matumbua na buku mbili mbili kudadadeki
Vitumbua 2000 ha haa haaa rushwa zingine bana inabidi mtu ucheke tu.
Ndiyo hongo inayotolewa na SSM kwa wapiga kura. Mkuu umesahau kule Igunga na zile sahani za wali ambao una mchuzi bila nyama? Bei yake ni chini ya 2000 na kura Kafumuliwa alipata na matokeo yake ni yale ya hukumu majuzi.Duh! Vitumbua na elfu 2?
Huyu Dr (MPH, MBA) kitimbua kakipata wapi. ....Lol.?Vitumbua??????
Ndo kawaida ya CCM. Mwaka 2010 TAKUKURU walikamata sana rushwa kwenye kura za maoni za CCM baada ya hapo wakaenda likizo. Kwani hawa jamaa wanawajibika kwa CCM moja kwa moja? Kama ni kweli shame on you Dr Kigwangala.
Sasa hiyo ni rushwa au ukarimu? Nyie Takukuru hebu jaribuni kuwa na akili ili msiwe mnapelekwapelekwa tu. Kwahiyo na mimi nikimkaribisha mtu nyumbani kwangu na kumpa chai na vitumbua basi nakuwa nimetoa rushwa? Come on TAKUKURU!
watu wa CCM ni Cheap sana anza na waliopo JF
Hii ni kawaida yao, ubunge IGUNGA tuliona hata picha za USA Kinana tulimuona, Rushwa ya chakula, KAWAIDA.
ha ha ha ha ha ha ha ha M4C inatakiwa kuwaamsha watu bado wamelala, hata hum JF wapo.Ndiyo maana signature yangu inasomeka hivi
Sasa hiyo ni rushwa au ukarimu? Nyie Takukuru hebu jaribuni kuwa na akili ili msiwe mnapelekwapelekwa tu. Kwahiyo na mimi nikimkaribisha mtu nyumbani kwangu na kumpa chai na vitumbua basi nakuwa nimetoa rushwa? Come on TAKUKURU!
watu wa CCM ni Cheap sana anza na waliopo JF
tuliambiwa hakuna aliye safi ndani ya hicho chama